Tetesi: DSTV kuleta king'amuzi cha antenna

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,478
20,390
Kuna mdau wangu mmoja tunafahamiana naye anafanya kazi DSTV kitengo cha R&D.

Anasema sasa hivi DSTV wako kwenye mchakato wa kushusha mzigo mpya robo ya kwanza ya mwaka 2022.

Wanaleta antena badala ya dishi. Pamoja na hilo pia wataleta decoder mpya ndogo saizi ya simu ya mkononi ambayo badala ya kutumia kadi kubwa za zamani hii itakuwa inatumia kadi ndogo saizi ya laini ya simu.

Pamoja na faida nyingine vifaa hizi vitakuwa na gharama ndogo, chini ya elfu 25,000.

Wakuu the future is here
 
Dstv nadhani wanajidanganya wenyewe,izo gharama za kuzalisha visimbuzi vipya ni kujidanganya,ushauri wa bure kama watapenda decoda uza 150000/=
Epl weka 30000/= tu
Alafu sikilizia soko ndani ya mwezi tu mitaa yote ina dishi na mapato pia yatazidi maradufu .....
Kibiashara decoder sio continues business ukinunua ndo umemaliza ila kifurushi ni kila mwezi unanunua
 
Kibiashara decoder sio continues business ukinunua ndo umemaliza ila kifurushi ni kila mwezi unanunua
Yah sasa kama utapunguza kifurushi mfano cha michezo ukaweka 30000/= uoni hapo kama utateka soko kubwa sanaaa,uku ukiwa unaingiza wateja wapya kwa kununua kisimbusi kipya kwani watu wanaitaji zaidi kuona epl,la liga,etc....
 
Dstv nadhani wanajidanganya wenyewe,izo gharama za kuzalisha visimbuzi vipya ni kujidanganya,ushauri wa bure kama watapenda decoda uza 150000/=
Epl weka 30000/= tu
Alafu sikilizia soko ndani ya mwezi tu mitaa yote ina dishi na mapato pia yatazidi maradufu ......
KWELI KABISA KIONGOZI ULIFAA KUWA MTU WA MASOKO WA HII KAMPUNI, MAANA HILI ULILOTOA LINGEWASAIDIA SANA KUINUA MASOKO YAO.
 
Azam anawakimbiza sana DSTV kwenye hii premier league ya kibongo na DSTV naye anamkimbiza AZAM kwenye EPL....matokeo yake nyumba moja inakubidi uwe na madish mawili la AZAM na DSTV..
 
Kuna mdau wangu mmoja tunafahamiana naye anafanya kazi DSTV kitengo cha R&D.

Anasema sasa hivi DSTV wako kwenye mchakato wa kushusha mzigo mpya robo ya kwanza ya mwaka 2022.

Wanaleta antena badala ya dishi. Pamoja na hilo pia wataleta decoder mpya ndogo saizi ya simu ya mkononi ambayo badala ya kutumia kadi kubwa za zamani hii itakuwa inatumia kadi ndogo saizi ya laini ya simu.

Pamoja na faida nyingine vifaa hizi vitakuwa na gharama ndogo, chini ya elfu 25,000.

Wakuu the future is here
Siku wakishusha kifurushi hasa cha Compact ndio ntawapongeza
 
Back
Top Bottom