Dress Code Za Wanaume Nisizopenda


tu t.a.k.o twenyewe kama buns
 

Matatizo ya kwenda "guest house" na ma-house boy...!
 
Mkuu kwenye red, mfano No,8 socks ya pundamilia!No,7 underwear imeandika TMK wanaume lol!,No,6 Mkanda umeandika bob marry au bendela ya taifa!agh!No 4,Huuuwiii nike na suruali ya kitambaa!!wapemba ndo zao
 
how did u know? these arusha people arent welcoming at all full kuogopa mie kugegeda dada zao. dresscode ya mwanaume wa kweli ni suit bwana...cant go wrong there.

Jana hukuopoa?
 
Mkuu kwenye red, mfano No,8 socks ya pundamilia!No,7 underwear imeandika TMK wanaume lol!,No,6 Mkanda umeandika bob marry au bendela ya taifa!agh!No 4,Huuuwiii nike na suruali ya kitambaa!!wapemba ndo zao

KakaKiiza wewe ni mwishoooo! Am dead!! Hahahhhaaaa
 
how did u know? these arusha people arent welcoming at all full kuogopa mie kugegeda dada zao. dresscode ya mwanaume wa kweli ni suit bwana...cant go wrong there.

Suit na joto la dar si utakoma.. labda ujifunge fan. au AC utembee nayo
 

Kuna siku utasema huwataki wanaume kwa sababu wana sehemu za kiume
 
KakaKiiza wewe ni mwishoooo! Am dead!! Hahahhhaaaa
Na cheni ya bati!imeliwa na kutu! hadi basi yumo tu nivitu vingi mtu kama mwanaume unashushwa thamani kwa sababu za kutojua au ujinga basi mtu umevaa vizuri unakuja kumalizia na kacheni ka dhaabu kadunchu kama kamtoto!kakidemu au umeuramba lakini umevaa skuna kama yawale waimbaji wa rose mhando!!chines type au umevaa mkanda wa suruali ni plasitic na umechakaa upande wa baiklos sasa nini hiyo au suruali ya kitambaa ina marindakama sketi ya wanafunzi wa meta!!
 
hapo umeua,
 
Mi nachukia sana milegezo, mtu anayevaa milegezo huwa namtoa kabisa kwenye ubinadamu namuona kama takataka tu ndani ya jalala
 
kama ni hivo basi mimi tayari unanipenda imebaki kuniona tu,,, hizo zote sinaga
nina swagga za kichaga full,,,suruali ya kitambaa, shati la mikono mirefu,
napenda pia pensi za kupita goti
 
mi natumia yolanda.
Akyanani umenikumbusha mbali ...... yolanda..... Lakini wakati huo tulikuwa tunaonekana wa maana saanaaaa.... Anyway nikabadili na nikaanza kutumia COBRA.....
 
kama ni hivo basi mimi tayari unanipenda imebaki kuniona tu,,, hizo zote sinaga
nina swagga za kichaga full,,,suruali ya kitambaa, shati la mikono mirefu,
napenda pia pensi za kupita goti

aaafffuuu we si mchaga....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…