Dress Code Za Wanaume Nisizopenda

Dress Code Za Wanaume Nisizopenda

thumb_434936942.jpg
 
hahahah, ukitupa mawe gizani anaepiga kelele limempata. Afu wewe unavaaga suruali za kushonesha, zenye celebrations afu dont-touch-my-shoes eeh?

Kwenye red ndo masherehe gani yapo kwenye suruali ya kushonesha..............?:confused2:
 
Funguka kama ulivyochana mwanzo sio kufunika jumla eti well dressed......fitting.....smart.....good scent.......

BE CATEGORICAL ama vipi acha masela wavae ile roho inapenda we unataka wote wavae kama MKWEZI wako ebhoooo

mkwezi wangu sio msela kama wewe na mkanda wako wa rasta
 
mkwezi wangu sio msela kama wewe na mkanda wako wa rasta


Ha ha haaaa acha ujeuri bi mdogo mi ni full official bana kama mkwezi wako........ila si unajua kuna watu kazi zao zinawapa uhuru kwa kuvaaa!!!!!!!!

Ndo mana nikakuchokoza utupe hints za smart looking ili ni match na za wifi yako huku
 
1. Kuvaa suruali za kubana.
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
Ni kama unauliza swali halafu unajijibu.
Sasa wewe unataka nini hasa, anaevaa nguo za kike? Naona una stress tu unatafuta pa kuzitolea.
 
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?
1+1=11....
 
Ebwanaeeee, ndio maana wanasema muonekano wako wa nje huonesha akili yako ilivyo. Ndio maana hukuti kichaa msafi wakati akili zake chafu. SASA HAPO JUU NDIO MTINDO MPYA WA SURUALI AU?
 
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?
weka picha

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Kaptula za kiba anazovaa sasa hivi ni kama boxer vijipaja vyote inje sijui anatafuta
 
Back
Top Bottom