Dress Code Za Wanaume Nisizopenda

Dress Code Za Wanaume Nisizopenda

Karucee, naomba nikuletee ile kitu ya Arusha :majani7:bila shaka umeimiss..
:focus: still loading...
 
Last edited by a moderator:
Akili za wanawake zipo wenye nguo. Ndio maana mnagongwa na magari hovyo kwa kuwaza ulichovaa zaidi ya unakokwenda.

Na ukiona mwanaume anaangalia saaaaana mavazi, hizo ni dalili za .....tito zinamnyemelea
 
Last edited by a moderator:
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?
sasa wewe mbona hutaki kila kitu, kweli uko kwenye muddy ya kudiss wanaume.
 
Usikhofu kabsa hao ni sehemu ya wanaofanya opposite sex kuwa so interesting....lol
hao huwaelezi kitu wanaishi in the world of their own. Kitu cha "don't touch me untanichafua"......nawapendaje, wanajiamini bana

ndio hawahawa wanavaaga sharpshooters za abunuwas. Halafu wana swaga flani ya kuongea ili waonekane dignified
 
hahahahahaha
umenifanya nicheke

you are wrong. So throw another rock at me for saying this. Mwanaume wa ukweli ni yule anaevaa nguo zinazomtosha vizuri, safi na smart zinazomfanya aonekane mtanashati na mwenye kujiamini. Mwanaume wa ukweli goes beyond what he is wearing. Asiwe na midevu na mikucha kama nyau. Asinuke kikwapa wala socks wala anywhere else.
 
Karucee you have made my night hahahahaa
 
Last edited by a moderator:
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?


No 9 Umetuonea kwa kweli lol
 
Watu hatuko sawa hapa duniani. Wengi wanavaa 'cheap jewellery' kwa kuwa ndiyo uwezo wao; 'pointed shoes, belts za rangi za rasta, etc.' kwa kuwa ndicho wanachokipenda/chagua; wanachomekea soks kwa sababu ni utamaduni wao, etc. Just appreciate how diverse & wonderful the world is.

yap, umesema vema cynic, kama punjab anazovaaga balotelli haimaanishi hana pesa ya kununua nguo nyingine, kuna wengine kuvaa vituko wanapenda au wanafanya makusudi kuvuta macho ya watu kwao, kama kwenye music awards usa wengi huvaa tofauti kuvuta macho kwao kama lady gaga anavyovaaga.
 
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?

mbona hueleweki hapo kwenye namba 1 na 13
 
hahahah, ukitupa mawe gizani anaepiga kelele limempata. Afu wewe unavaaga suruali za kushonesha, zenye celebrations afu dont-touch-my-shoes eeh?

Umekumbuka vi boyfriend vyako vya Galanos? lol
 
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?



Na hawa macelebrity wa kibongo unawaonaje na uvaaji huu kwani hawa kwa sasa ndiyo kioo cha jamii yetu ya kibongo.
DIAMOND SHOGA2.jpg 281x211.jpg lil wayne 04.jpg ScreenShot2012-09-10at32722PM.png
 
Nilitegeme mleta mada uanze kuchukia dress code ya wanawake ambayo kwa sasa inaelekea kwenye nakedness!!!
Issue-14-Dress-Code.jpg
 
Back
Top Bottom