Unakuta dada anafunga ,anaomba apewe mume ,Mungu anampa mume baada ya ndoa anarudi kwa ex wake ,hapo ndipo unajua shida yake ilukuwa ni SHEREHE/HARUSI nae wamwone kaolewa na si MUME wala NDOA.
Hapo utajua kuna wanawake wanaopenda SHEREHE/HARUSI ila hawapendi maisha ya NDOA wala mume,kwani anaye mchepuko wake anao upenda kutoka moyoni ambao kila siku unamtenda,haumjali ila still yupo tu kakomaa nae.
Sometimes wanasemaga ukitaka kuingia kwenye ndoa husifikirie sana kwani unaweza ukagaili,kuna wanawake michepuko yao ya nyuma hawawezi kuiacha sijui wana mikataba gani.
Tushukuru DNA kwa Tanzania kidogo kipimo chake wamefanya process zake ziwe ngumu, ila kama ingekuwa simple kama wenzetu ndoa nyingi zingevunjika,ndio maana wazee wetu walikubali unyonge kwa kujipa moyo "kitanda hakizai haramu".
Hapo utajua kuna wanawake wanaopenda SHEREHE/HARUSI ila hawapendi maisha ya NDOA wala mume,kwani anaye mchepuko wake anao upenda kutoka moyoni ambao kila siku unamtenda,haumjali ila still yupo tu kakomaa nae.
Sometimes wanasemaga ukitaka kuingia kwenye ndoa husifikirie sana kwani unaweza ukagaili,kuna wanawake michepuko yao ya nyuma hawawezi kuiacha sijui wana mikataba gani.
Tushukuru DNA kwa Tanzania kidogo kipimo chake wamefanya process zake ziwe ngumu, ila kama ingekuwa simple kama wenzetu ndoa nyingi zingevunjika,ndio maana wazee wetu walikubali unyonge kwa kujipa moyo "kitanda hakizai haramu".