Umeshawaji kujiuliza kwanini baadhi ya wanawake siku ya kufunga ndoa wanalia?

Daydream

Member
Oct 26, 2023
58
328
Nadhani tumeshawahi kuona katika baadhi ya ndoa iwe ukumbini au kanisani unakuta bibi harusi anaanza kumwaga machozi

Wapo baadhi ya watu wanapoona hali ile wanasemezana kwamba "umeona analia, atakua amempenda sana yule mwanaume na haamini kama kaolewa nae"

Binafsi huwa naamini mwanamke anapolia siku ya ndoa hamaanisha kwamba amekupenda sana na badala yake anasikitika kwamba anaenda kuishi na kitu cha ajabu kwenye maisha yake

Kila mtu atakua anaongelea lake lakini je wewe mdau wa JF ushawahi kujiuliza kwanini baadhi ya wanawake huwa wanalia siku ya kufunga ndoa?
 
Nadhani tumeshawahi kuona katiba baadhi ya ndoa iwe ukumbini au kanisani unakuta bibi harusi anaanza kumwaga machozi

Wapo baadhi ya watu wanapoona hali ile wanasemezana kwamba "umeona analia, atakua amempenda sana yule mwanaume na haamini kama kaolewa nae"

Binafsi huwa naamini mwanamke anapolia siku ya ndoa hamaanishi kwamba amekupenda sana na badala yake anasikitika kwamba anaenda kuishi na kitu cha ajabu kwenye maisha yake

Kila mtu atakua anaongelea lake lakini je wewe mdau wa JF ushawahi kujiuliza kwanini baadhi ya wanawake huwa wanalia siku ya kufunga ndoa?
 
Nadhani tumeshawahi kuona katiba baadhi ya ndoa iwe ukumbini au kanisani unakuta bibi harusi anaanza kumwaga machozi

Wapo baadhi ya watu wanapoona hali ile wanasemezana kwamba "umeona analia, atakua amempenda sana yule mwanaume na haamini kama kaolewa nae"

Binafsi huwa naamini mwanamke anapolia siku ya ndoa hamaanishi kwamba amekupenda sana na badala yake anasikitika kwamba anaenda kuishi na kitu cha ajabu kwenye maisha yake

Kila mtu atakua anaongelea lake lakini je wewe mdau wa JF ushawahi kujiuliza kwanini baadhi ya wanawake huwa wanalia siku ya kufunga ndoa ?


Unachoamini ndo sawa, anakumbuka x wake
 
Kwa kuwa wanaume tuna majukumu makubwa mbele na ndio viongozi wao huwezi kukuta tunalia
Lakini wao wanalia kwa sababu wanaondoka kwao jumla na kwenda kuishi maisha mapya na sio kwenda kuishi na kitu cha ajabu maana hata Baba yake anaishi na mama yake na sio likitu la ajabu

Hili neno sijui umewaza nini kutuita wa ajabu wakati wanatuona kila siku na kuishi nao kama ndugu, watoto, wapenzi, na hata wazazi

Kuondoka nyumbani ni huzuni sana kwao kwani wanawaacha wadogo zao waliozaliwa pamoja na hata mama yake pia na ndio maana wanalia
 
Unalia na mengi.

Kuwaacha wazazi

Kumshukuru mume kwa kukuheshimisha

Kuumia maana misele ndiyo basi tena

Kuumia waenda kwenye ndoa sababu ya pesa ila upendo na mume huna.

Kuumia waingia kwenye ndoa na MTU maskini ila kilichokupeleka ni kuvaa shela na kuogopa midomo ya waja ati mbona huolewi😭😭😭😭😭😭
 
Unalia na mengi....
Kuwaacha wazazi
Kumshukuru mume kwa kukuheshimisha
Kuumia maana misele ndiyo bas tena
Kuumia waenda kwenye ndoa sababuya pesa ila upendo na mume huna
Kuumia waingia kwenye ndoa na MTU maskini ila kilichokupeleka ni kuvaa shela na kuogopa midomo ya waja ati mbona huolewi
 
Wanawake wengi wanalia kwa sababu ya usaliti wa kuwaacha wanaume wanaowapenda. Chozi ni karma ya usaliti. Ni wachache wanaolia kisa kutimiza ndoto zao za kuolewa na kuonekana mbele ya hadhira kubwa
 
Unalia na mengi....
Kuwaacha wazazi
Kumshukuru mume kwa kukuheshimisha
Kuumia maana misele ndiyo bas tena
Kuumia waenda kwenye ndoa sababuya pesa ila upendo na mume huna
Kuumia waingia kwenye ndoa na MTU maskini ila kilichokupeleka ni kuvaa shela na kuogopa midomo ya waja ati mbona huolewi😭😭😭😭😭😭
Una rejea yoyote ya namna ya kuwa kweli itokayo kwa wanawake ambao walishapitia hali hio?
 
Back
Top Bottom