DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
....ndio maana nimesisitiza kwenye bandiko langu kuwa siamini bado taarifa hii....na nilichoandika ni angalizo tu kwa dr. Slaa....asifanye maamuzi ya kuacha chama wakati huu muhimu...bali ajue kuwa chama kwanza mengine baadae....Lengo wamelisisitiza wenyewe kuwa ni kuwatoa ccm madarakani kwa namna yoyote....na sasa wamempokea lowassa kama mkakati maalumu wa kuwatoa ccm madarakani....basi wasimame pamoja na wenzao wa UKAWA .....ili wafanikishe hili...Mambo mengine yaje baadae....Ningependelea sana wakati huu kuskia kuwa Dr. Slaa anakwenda kugombea ubunge Karatu....ama jimbo lolote hapa dar....maana hakika atashinda....alafu wakiwatoa ccm madarakani hawa ndio future leaders wa taifa hili....kuna nafasi lukuki wakifanikiwa.....zikiwamo uwaziri mkuu nk.....
....kuanza kuhama vyama ukiwa UKAWA ni kufifisha upinzania na kuwapa ahaueni ccm...jambo ambalo hamna mpenda mabadiliko atalielewa...
kiongozi bora ni yule ayejua msimamo wake na anaweza kusimamiya msimamo wake.Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: Mimi mwenyewe.
Hata kama hii habari haitakuwa kweli (naamini ni kweli kwa kuwa J Manyerere ni mzee mwenzangu na huwa hasemi uongo) lakini kitu kimoja ni hakika kwa kuangalia matukio: kwamba Dr. Slaa hajafurahishwa na ujio wa EL. Haiwezekani Katibu Mkuu wa Chama asiwepo kwenye tukio la kukaribishwa EL na pia katika tukio la kuchukua Form bwna EL.Nilikuwepo leo pale ufipa,pengine kutokana na watu kuwa wengi sikumuona.Dr,ila kuna picha nimeiona Dr akiwasili pale ufipa katika shughuli ya kimkabidhi Dr Fomu
Mkuu rais wa mioyo yetu anaenda wapi tena.Haya Zitto aliyasema haya
Hata kama hii habari haitakuwa kweli (naamini ni kweli kwa kuwa J Manyerere ni mzee mwenzangu na huwa hasemi uongo) lakini kitu kimoja ni hakika kwa kuangalia matukio: kwamba Dr. Slaa hajafurahishwa na ujio wa EL. Haiwezekani Katibu Mkuu wa Chama asiwepo kwenye tukio la kukaribishwa EL na pia katika tukio la kuchukua Form bwna EL.
Oh my God, leo ndio unamuheshimu!! Wewe!! Wewe yule uliyekuwa ukimkashifu kila uchwao na kumuita majina lukuki ya kebehi. Na kwa Hili nitashangazwa na Dr. Kama atachagua kuwafurahisha wana CCM maana jukwaa Hili ni uthibitisho tosha ya kuwa wana CCM pekee ndio wanaosubiri kwa bashasha uamuzi kama huo kwa Dr. Mimi kama mfuasi wa Dr. Leo nasomama kidete kumshauri kama kweli hawezi kuchangamana na Lowassa Sio vibaya akachagua wakati sahihi wa kufanya hivyo ili kulinda heshima yake kwa kuepuka kadhia hii kwa pande zote mbili. Yaani ule upande wa ccm unaotamani Hilo litokee ili wandeleze ufedhuli wao, na upande ule wa wale wanaoseme wamelipwa ili kumpokea lowassa
Na akiondoka utamfuata au utabakia na fisadi Lowassa?Asipoondoka tukufanye nini?
Kila kitu kina price yake, tutafurahi kumpata Lowassa at a price ya kumpoteza Slaa, kama askari ni kuwa tayari kwa lolote ni kujua nini mwisho wa siku unataka. Makamanda wa kweli haina haja kudespair hata kama ni kweli, vita ni kali twist and turns lazima zitakuwepo ni kujitayarisha kwa lolote.
Kuutoa mfumo uliojijenga kwa muda wa zaidi ya miaka 50 si mchezo. THE HARDER THE BATTLE THE SWEETER THE VICTORY!!!!!
Jicommit isipokuwa hivyo ukubali ban ya mwezi..
Naona zikiwa za kweli utapata kiharusi!Naomba taarifa hizi zisiwe za kweli.
"Over my dedi bodeee"...vyupi vinawabana
Dr Slaa yupo, haondoki chadema, yupo na ataendelea kuwepo daima.
Mkuu weka akiba ya maneno: una uhakika gani kwamba ataendellea kuwepo daima? Una uungu kamamnda?Dr Slaa yupo, haondoki chadema, yupo na ataendelea kuwepo daima.