tetea tete
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 388
- 127
Dr.slaa kama kweli in mwana mageuzi siamini kama utatoka chadema
Naona zikiwa za kweli utapata kiharusi!
Tulia dawa ikuingia mbona umepagawa Dr.Slaa anaenda kumuangukia Zitto sijui mtafanyaje mtabakia na fisadi Lowassa wasiwasi wa nini.Kwanini ayafanye hayo usiku? Ofisi gani inafanya kazi usiku? kwani imekuwa kituo cha polisi?
Dr Slaa yupo, haondoki chadema, yupo na ataendelea kuwepo daima.
upuuzi tu huu Dr harudishi kadi wala nini
Mkuu mambo mengine huwa hayatolewi matamko. Wangetoa tamko kwa nini Dr. hajaonekana kwenye matukio ya CHADEMA yanayomhusu EL.mkuu Yericko Nyerere wajulishen wasemaji wa cdm waje walitolew tamko hili maana tumechoshwa na ukimya wao wakati lumumba wapo kazin
Tulia dawa ikuingia mbona umepagawa Dr.Slaa anaenda kumuangukia Zitto sijui mtafanyaje mtabakia na fisadi Lowassa wasiwasi wa nini.
kama ni kweli ntampa respect
Nawaaambia, ijumaa ya kesho haitapita bila kukubaliana na mimi. Dk. Slaa anajiengua.Bora kidogo yericko umetupa matumain, maana hata msosi wengine umekuwa shida baada ya kusoma post ya manyerere
Nyie ni wale mkikaa mnaangalia 'movie' unakua unatafsiri matukio, ....."ona Rambo atamchapa kofi, subiri utaona.....!" Kwa nini msiache vitetesi, mtuache tuipate hiyo 'sapraizi' live????!!!!
Nawaaambia, ijumaa ya kesho haitapita bila kukubaliana na mimi. Dk. Slaa anajiengua.
...we ni kati ya wale wenye mawazo/fikra sizizokubali kubadilika....na wala sikushangai maana wabongo wengi mko hivyo....kwa fikra kama zako kule kenya (mfano) hadi leo ungeikuta KANU madarakani...maana kule wenzetu walizikubali tofauti zao wakaungana na kuwa kitu kimoja na kufanya yaliyotokea.....we naona huamini kuwa hata fisi anaweza kulishwa nyama na binadamu na hata kuwa rafiki yake ...kwa fikra zako sahau mageuzi nchi hii..maana huamini kwenye reconciliation...nyie ndio mkipewa nchi mnawageukia maadui zanu na kuwaangamiza.....acheni roho mbaya bana....Lengo halikuwa kumtoa kenge ukamuweka mamba! Fikiria kabla hujafanya maamuzi ya kuleta mawazayako hapo