Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Kwani Tumaini Makene yupo wapi mbona ishu kama hz hazitolei ufafanuzi haraka

Ndio hawa wanaotuchemsha akili, watu wengine wana presha, wakiwekwa roho juu juu itakuwa shida, hizi dakika za majeruhi sio za mafarakano, vita haina kanuni wa macho, USA walitumia hadi nuclea hiroshima kupata ushindi
 
Slaa kahongwa hela hiyo inajulikana..aisee.slaa kweli wananchi mamilion nyuma yake leo unatakankuwasaliti kwa style hii..kweli ccm itatawala milele

Mkuu usikubali.mtego wa mleta mada lengo.lake tupanic na kuanza kumsema vibaya Dr Slaa.Mleta mada ni mzushi
 
Namheshimu sana huyu mzee...extremely principled...huwa hapindishi kama "mwenyekiti"

Oh my God, leo ndio unamuheshimu!! Wewe!! Wewe yule uliyekuwa ukimkashifu kila uchwao na kumuita majina lukuki ya kebehi. Na kwa Hili nitashangazwa na Dr. Kama atachagua kuwafurahisha wana CCM maana jukwaa Hili ni uthibitisho tosha ya kuwa wana CCM pekee ndio wanaosubiri kwa bashasha uamuzi kama huo kwa Dr. Mimi kama mfuasi wa Dr. Leo nasomama kidete kumshauri kama kweli hawezi kuchangamana na Lowassa Sio vibaya akachagua wakati sahihi wa kufanya hivyo ili kulinda heshima yake kwa kuepuka kadhia hii kwa pande zote mbili. Yaani ule upande wa ccm unaotamani Hilo litokee ili wandeleze ufedhuli wao, na upande ule wa wale wanaoseme wamelipwa ili kumpokea lowassa
 
Huyo Ndiyo Mwanaume na siyo wale akina Mbowe, Tundu Lisu,Lowasa &Co.!

Ndiyo Slaa wewe ndiyo ulipikwa na ukapikia na Unasimama kwa kile unachokiamini na siyo kuyumbishwa na kununulika Fedha, Mungu akutangulie kwenye safari yako, mchango wako unajulikana, na hakuna takataka yoyote yule atakayeweza kulifuta Hilo!

.
.
.
Respect!


If it is true than he is man's man
 
Tuweke akiba....tukumbuke mapito.....tusubiri uhakika wa taarifa hizi.....
....ndio maana nimesisitiza kwenye bandiko langu kuwa siamini bado taarifa hii....na nilichoandika ni angalizo tu kwa dr. Slaa....asifanye maamuzi ya kuacha chama wakati huu muhimu...bali ajue kuwa chama kwanza mengine baadae....Lengo wamelisisitiza wenyewe kuwa ni kuwatoa ccm madarakani kwa namna yoyote....na sasa wamempokea lowassa kama mkakati maalumu wa kuwatoa ccm madarakani....basi wasimame pamoja na wenzao wa UKAWA .....ili wafanikishe hili...Mambo mengine yaje baadae....Ningependelea sana wakati huu kuskia kuwa Dr. Slaa anakwenda kugombea ubunge Karatu....ama jimbo lolote hapa dar....maana hakika atashinda....alafu wakiwatoa ccm madarakani hawa ndio future leaders wa taifa hili....kuna nafasi lukuki wakifanikiwa.....zikiwamo uwaziri mkuu nk.....

....kuanza kuhama vyama ukiwa UKAWA ni kufifisha upinzania na kuwapa ahaueni ccm...jambo ambalo hamna mpenda mabadiliko atalielewa...
 
Nilikuwepo leo pale ufipa,pengine kutokana na watu kuwa wengi sikumuona.Dr,ila kuna picha nimeiona Dr akiwasili pale ufipa katika shughuli ya kimkabidhi Dr Fomu
 
Kama dr ataondoka kweli nitaamini huu ni mda wa usajiri,
sipati picha kwa tetesi kama hizi jinsi gani timu kibwa kama ccm na act zinvyopigana kupata saini yake.
Hadi mwezi wa kumi dirisha la usajiri litakapofungwa tutakuwa tumeshuhudia mengi.
 
Jf habari zenu sio za kuaminika jana mlisema ilyepigwa na Ndungai kafariki leo Dr Slaa anaondoka,hizi habari za kizushi za ccm
 
Hili ni tukio kubwa na muhimu katika historia ya nchi yetu, hakika tunakwenda kuizila ccm

unanikumbusha...wakati mgombea mwenza wa magufuli alipotangazwa na jk alisema naomba tushangilie sana hili ni tukio la kihistoria tanzania kuwa na makamu wa rais mwanamke...hahah alisema kwa kujiamini % kwamba bado nchi ni yao...lol upepo umegeuka
 
Nina akili timamu kabisa. Nina tuzo za uandishi wa habari za uchunguzi. Amini nilichoposti hapa.

You have posted what you believe is a true information, and you have challenged non belivers, tunalazimika kujua hata Masaa 48. You are courageous man
 
Slaa kahongwa hela hiyo inajulikana..aisee.slaa kweli wananchi mamilion nyuma yake leo unatakankuwasaliti kwa style hii..kweli ccm itatawala milele

Dr.Slaa siyo Mbowe akubali kuhongwa.anajiheshimu na siyo mnafiki
 
Back
Top Bottom