tetea tete
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 388
- 127
Acha uongo wako Dr. Slaa in kiongozi anajua siasa lengo lake no kuhakikisha ccm inaondoka madarakani
Mkuu rais wa mioyo yetu anaenda wapi tena.
Teh Teh teh
Mkuu rais ya mioyo ya watanzania ndani ya CHADEMA yupo kama hayupo! Kuna siku server ya JF itapigwa kombora ili tusiweze ku retrieve baadhi ya kauli za makamanda ambazo wamekuwa wakizitoa humu.Tulia dawa ikuingia mbona umepagawa Dr.Slaa anaenda kumuangukia Zitto sijui mtafanyaje mtabakia na fisadi Lowassa wasiwasi wa nini.
Bora kidogo yericko umetupa matumain, maana hata msosi wengine umekuwa shida baada ya kusoma post ya manyerere
Hawa watoto ndiyo watakaompigia kura fisadi Lowassa nasikia wote wamejiandikisha jana.
Tulia dawa ikuingia mbona umepagawa Dr.Slaa anaenda kumuangukia Zitto sijui mtafanyaje mtabakia na fisadi Lowassa wasiwasi wa nini.
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: Mimi mwenyewe.
Nawaaambia, ijumaa ya kesho haitapita bila kukubaliana na mimi. Dk. Slaa anajiengua.
Dr Slaa yupo, haondoki chadema, yupo na ataendelea kuwepo daima.
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. Slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa CHADEMA. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: Mimi mwenyewe.
Mkuu siku hizi si tunaambiwa siasa ni science uwa hamna adui wa kudumu.Dr Slaa hawezi kufanya hivyo maana nako huko atakuwa ameramba matapishi yake, kweli tuweke akiba ya maneno.
Ni Chadema ndio wanapaswa wamuangukie Dr Slaa, wakikubali Dr Slaa aondoke sasa athari zake hawataweza kuzimudu sasa.
Acha uongo wako Dr. Slaa in kiongozi anajua siasa lengo lake no kuhakikisha ccm inaondoka madarakani