Jemedari81
Member
- May 1, 2015
- 40
- 9
Duuuuuh mbona itakuwaaaa hata sijuia nini niseme!!!!Kama ila Kama itakuwa kweli CDM wasiichukulie pouwa italeta Matokeo hasi kwao.
ni hatar,labda ajitoe anyamaze,akiwa kinyume mhHaya tunasubiri tuone ukweli wake na ushujaa wako bwana Jackson Manyerere
Mnadanganyana sana
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa chadema. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: mimi mwenyewe.
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa chadema. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.
Chanzo: mimi mwenyewe.
Ccm utawajua tu kwa maneno ya uchochezi,anaondoka anaondoka aende wapi,act?ccm?makosa gani yalimuondoa zito kwa hiyo huko anaenda kunywa matapishi au kulamba,ccm ndo mfumo fisadi aende wapi?acheni uchochezi Slaa ni chadema na hawezi kuondoka na maneno ya uchochezi
Wala usiwe na shaka. Ni mimi manyerere jackton. Naomba mniamini. Wanaonibeza nawasamehe.
Josephine anaweza kuhama.... siyo Dr. Slaa
Mleta mada kabla ya Thread hii nilikuwa nakuheshimu sana bt nw.....
Asipoondoka tukufanye nini?
nimecheka sana mkuu kwa hii post yakoSasa usiku huu anakwenda kumkabidhi nani hivyo vitu? Kwanini asiende mchana? Au anakwenda kuvitelekeza hivyo vitu maana ofisi zitakuwa zimefungwa.Hebu jipange basi mleta maada!