DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
....ndio maana nimesisitiza kwenye bandiko langu kuwa siamini bado taarifa hii....na nilichoandika ni angalizo tu kwa dr. Slaa....asifanye maamuzi ya kuacha chama wakati huu muhimu...bali ajue kuwa chama kwanza mengine baadae....Lengo wamelisisitiza wenyewe kuwa ni kuwatoa ccm madarakani kwa namna yoyote....na sasa wamempokea lowassa kama mkakati maalumu wa kuwatoa ccm madarakani....basi wasimame pamoja na wenzao wa UKAWA .....ili wafanikishe hili...Mambo mengine yaje baadae....Ningependelea sana wakati huu kuskia kuwa Dr. Slaa anakwenda kugombea ubunge Karatu....ama jimbo lolote hapa dar....maana hakika atashinda....alafu wakiwatoa ccm madarakani hawa ndio future leaders wa taifa hili....kuna nafasi lukuki wakifanikiwa.....zikiwamo uwaziri mkuu nk.....
....kuanza kuhama vyama ukiwa UKAWA ni kufifisha upinzania na kuwapa ahaueni ccm...jambo ambalo hamna mpenda mabadiliko atalielewa...
Lengo halikuwa kumtoa kenge ukamuweka mamba! Fikiria kabla hujafanya maamuzi ya kuleta mawazayako hapo