Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

Tumsubiri Dr. Slaa aongee mwenyewe maana wasemaji wake mmekuwa wengi mno!
 
Naendelea kusisitiza, amini niliyoyaleta hapa. Hili si jukwaaa la porojo na wala siwezi kushusha hadhi yangu kwa kuleta uongo. Dk. Slaa anaondoka usiku huu. Take my word.

Itakuwa jambo la faraja sana na heshima kubwa sio tu kwake bali kwa waumini wa kweri kwenye mageuzi.hakika Slaa hajawahi kuwa mtumishi wa magenge ya wasaka madaraka.
 
Naendelea kusisitiza, amini niliyoyaleta hapa. Hili si jukwaaa la porojo na wala siwezi kushusha hadhi yangu kwa kuleta uongo. Dk. Slaa anaondoka usiku huu. Take my word.

Tunakuuliza kwanini akakabidhi usiku huu? Kwani yeye alikabidhiwa hivyo vitu usiku? Au kawaambia wahusika wamsubiri usiku huu anataka kwenda kuwakabidhi vitu vyao? Wakati mwingine mnajishushia hadhi kwa cheap politics kama hizi!
 

Ni wapi imeandikwa Slaa anahama?
Imeandikwa anaondoka, sasa kwani kuondoka ni lazima ahamie sehemu nyingine?
Huyo Ndiyo Mwanaume na siyo wale akina Mbowe, Tundu Lisu,Lowasa &Co.!

Ndiyo Slaa wewe ndiyo ulipikwa na ukapikia na Unasimama kwa kile unachokiamini na siyo kuyumbishwa na kununulika Fedha, Mungu akutangulie kwenye safari yako, mchango wako unajulikana, na hakuna takataka yoyote yule atakayeweza kulifuta Hilo!

.
.
.
Respect!


Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa chadema. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.

Chanzo: mimi mwenyewe.


mnafiki anajichanganya...
 
HUU uzushi kumuhusu Dr.Slaa umezidi.

Naomba Invisible wasiliana na Dr. Slaa au hata Myika tufahamu lipi ni lipi..Ili tufunge mjadala wa Slaa na Myika
Kwani Tumaini Makene yupo wapi mbona ishu kama hz hazitolei ufafanuzi haraka
 
Dr Slaa hawezi kuodoka Chadema hata Kama mtajaribu kumnunua kwa mabilioni.
Dr Slaa si mroho Wa vyeo kiasi kwamba asipopewa nafasi ya kugombea urais ndio aondoke kwenye Chama!

Na mroho wa cheo ni Lowasa kakosa kwao kahamia ugenini!!
Teh teh teh ikulu tamu sana
 
Hakuna haja ya kushangaa.
Mambo kama haya huletwa na ukuaji wa Demokrasia.
"Sometime Democracy is a source of chaos"
 
Namheshimu sana huyu mzee...extremely principled...huwa hapindishi kama "mwenyekiti"
 
Najua wapo watakaobeza na hata kutukana lakini napata ushujaa wa kuyasema haya. Dk. slaa usiku huu anaingia makao makuu kukabidhi gari, kadi, walinzi na cheo. Anajitoa chadema. Naomba uzi huu uachwe hapa hapa ili baadaye nihukumiwe kwa haki.

Chanzo: mimi mwenyewe.

Kwanini iwe usiku?
 
Ameogopa kulowana, ameamua anyeshewe kabisa???

Ushauri kwake kama anaondoka: Bora astaafu tu siasa!

By the way, Kijani must go this time than any other in the history of Tanzania!
 
Naendelea kusisitiza, amini niliyoyaleta hapa. Hili si jukwaaa la porojo na wala siwezi kushusha hadhi yangu kwa kuleta uongo. Dk. Slaa anaondoka usiku huu. Take my word.

Kwa mtu makini mwenye msimamo thabiti na anaeamini na kukisimamia kile anachokisema ni wazi kabisa hawezi kamwe kula matapishi yake.Kama Dr Slaa ataondoka CDM itakuwa amefanya kile kinachosubiriwa na watu wenye msimamo.Ni watu wanafiki tu wenye uwezo wa kufanya kazi katika mazingira kama hayo yaliyopo CDM sasa.
 
Naendelea kusisitiza, amini niliyoyaleta hapa. Hili si jukwaaa la porojo na wala siwezi kushusha hadhi yangu kwa kuleta uongo. Dk. Slaa anaondoka usiku huu. Take my word.
Hadhi yako kushi-neh huna tofauti Na mtu aliyejinyea
 
Nitakua na amani sana kama Dr Slaa atachukua uamuzi huu.

Hata kama ukawa watashinda sipendi kuona Slaa akiwa sehemu ya ushindi heshima yake ni kubwa sana.


Historia ya upinzani itamlinda .
Kwa nini Dr alishindwa kutumia influence yake kwenye kamati kuu kuzuia hili fisadi kuhamia CDM? Nashindwa kabisa kuelewa haya mambo.
 
Back
Top Bottom