Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

17e60df099a68dd2e5475956325e3642.jpg

Uvaaji wa Asili wa Wanaume wa Kisomali sasa hivi asilimia kubwa wanavaa Kanzu.

portrait-of-young-african-muslim-man-wearing-religious-clothing-an-scarf-2HXK527.jpg

portrait-of-young-african-muslim-man-wearing-religious-clothing-an-scarf-2HXK56B.jpg

Wasomali wa leo, Arabization is real.

Dr. Umar Johnson yuko sahihi.
 
Wasudan wa Kaskazini ndio usiseme bora kidogo hata Wasomali.

Wasudan wengi hadi lugha zao za Asili zimepotea kabisa forever.
 
View attachment 3119878
Senegal na Nchi nyingine za West Africa zimeanza kuamka na kupiga Marufuku Hijabu.

Mungu Mkubwa hatimae Mwafrika anaamka.


Mwaka 2016 nikiwa barabarani jijini Kairo nchini Misri (Egybt) nilikutana na mwarabu mmoja raia wa nchi hiyo na katika mazungumzo akaniambia kwamba "rais wa Misri ( mh Abdel Fattaah Al sisi ) anauchukia uislamu"
( Binafsi sikukubaliana na mtazamo wake, bali nilichoelewa ni kwamba yule bwana alikuwa mfuasi wa wapinzani wa serikali ya Misri hasa kundi la muslem brotherhood kwa hiyo ilikuwa lazima aiseme vibaya serikali)

Mimi jawabu nililompa ni kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa rais wa Misri kuuchukia uislamu kwa Sasa ,firauni ambaye ni mtawala wa zamani wa nchi hiyo alikuwa akiuchukia uislamu zaidi ya huyu mtawala wa sasa lakini muda wake alioandikiwa kutawala ulivyofika mwisho aliondoka. Nilichomaanisha ni kwamba uwepo wa watawala wanaouchukia na kuupiga vita uislamu ni swala limeanza zamani sana lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha , FIRAUNI NA WAFUASI WAKE WALIANGAMIA NA UISLAMU UMEBAKIA.
Sasa yeyote atakayejitokeza leo au kesho kuanza kupiga vita mafundisho ya dini tukufu ya uislamu YEYE ATAKUFA KAMA ALIVYOKUFA FIRAUNI Wa MISRI NA UISLAMU UTAENDELEA KUBAKIA.

Kwahiyo siyo Senegal na Rwanda tu, bali hata wangeungana watawala wa DUNIA NZIMA kwamba hawataki kuona tamaduni za kiislamu katika nchi zao, WAO WATAKUFA KAMA ALIVYOKUFA FIRAUNI WA MISRI NA UISLAMU UTABAKIA MILELE.
 
View attachment 3119969
Rwanda wameshapiga Marufuku Burka. Safi sana.
Mwaka 2016 nikiwa barabarani jijini Kairo nchini Misri (Egybt) nilikutana na mwarabu mmoja raia wa nchi hiyo na katika mazungumzo akaniambia kwamba "rais wa Misri ( mh Abdel Fattaah Al sisi ) anauchukia uislamu"
( Binafsi sikukubaliana na mtazamo wake, bali nilichoelewa ni kwamba yule bwana alikuwa mfuasi wa wapinzani wa serikali ya Misri hasa kundi la muslem brotherhood kwa hiyo ilikuwa lazima aiseme vibaya serikali)

Mimi jawabu nililompa ni kwamba kwa vyovyote itakavyokuwa rais wa Misri kuuchukia uislamu kwa Sasa ,firauni ambaye ni mtawala wa zamani wa nchi hiyo alikuwa akiuchukia uislamu zaidi ya huyu mtawala wa sasa lakini muda wake alioandikiwa kutawala ulivyofika mwisho aliondoka. Nilichomaanisha ni kwamba uwepo wa watawala wanaouchukia na kuupiga vita uislamu ni swala limeanza zamani sana lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha , FIRAUNI NA WAFUASI WAKE WALIANGAMIA NA UISLAMU UMEBAKIA.
Sasa yeyote atakayejitokeza leo au kesho kuanza kupiga vita mafundisho ya dini tukufu ya uislamu YEYE ATAKUFA KAMA ALIVYOKUFA FIRAUNI Wa MISRI NA UISLAMU UTAENDELEA KUBAKIA.

Kwahiyo siyo Senegal na Rwanda tu, bali hata wangeungana watawala wa DUNIA NZIMA kwamba hawataki kuona tamaduni za kiislamu katika nchi zao, WAO WATAKUFA KAMA ALIVYOKUFA FIRAUNI WA MISRI NA UISLAMU UTABAKIA MILELE.
 
Usinihamishe kwenye Mada nilikujibu uliposema Waarabu walimpinga Mohamed.

Nikasema Mohamed alikuwa Mwarabu na Dini yake ni ya Kiarabu alichobadilisha ni kuondokana na Polytheism ndio maana alichukiwa.

Lakini ibada za Wapagani za kuzunguka maka na kubusu JIWE JEUSI ziko palepale hadi leo.
Kuzunguka Al Kaaba na kubusu jiwe jeusi sio upagani bali ni ibada iliyoasisiwa na Nabii Ibrahim na mwanae Nabii Ismaili عليهما السلام.
Na kilichosababisha waarabu WAMPIGE vita mtume صلى الله عليه وآله وسلم ni kwa sababu aliwakataza kufanya ibada za kibagani kama ushirikina na kuzunguka Al Kaaba wakiwa uchi na maovu mengine yaliyokuwa yameenea katika jamii ya waarabu wa kipindi hicho.
Nimekwambia kanunue vitabu vya kiislamu usome uache kubishana mambo ambayo huyajui.
 
FIRAUNI NA WAFUASI WAKE WALIANGAMIA NA UISLAMU UMEBAKIA.
Huo ni uongo wa mchana Wakati wa Muhammed katika Karne ya 7 hakukutana na Farao ni stori alizozikopi kutoka kwenye Bible na Torah.
 
Kuzunguka Al Kaaba na kubusu jiwe jeusi sio upagani bali ni ibada iliyoasisiwa na Nabii Ibrahim
Huo ni uongo wa mchana Ibada za Kipagani ziliingizwa kwenye Uisilamu kilichobadilishwa ni kuzunguka Kaaba huku wamevaa nguo kabla ya Muhammad walikuwa wakizunguka uchi.
 
Huwa anavaa Khanga na Vitenge sio lazima niweke picha.
Khanga na vitenge huvaliwa kwa namna na mitindo tafauti.
Hata suti ya khanga na vitenge inawezekana na pia yapo Madera na magauni yanayoshonwa kwa kutumia khanga na vitenge.
Miaka mitatuniliyopita pia ilikuwa Kuna barakoa zilizoshonwa kwa kutumia vitambaa vya khanga na vitenge ndiyo maana nikasema tuletee picha ya mkeo tuone hivyo vitenge na khanga anavivaaje?!
 
Huo ni uongo wa mchana Wakati wa Muhammed katika Karne ya 7 hakukutana na Farao ni stori alizozikopi kutoka kwenye Bible na Torah.

Nimefikiria nikutukane lakini nikaona bora niache tu.!!
Hebu tufanye ni habari za kwenye biblia lakini Farao / Firauni hakutawala Misri?
Na si alikuwa akiwatesa wayahudi waliomkubali nabii Musa kabla FIRAUNI/Farao kuangamizwa ndani ya bahari ya sham/red sea?!

Yote kwa yote nikuulize hiyo dini yako ya kiafrika unayotaka tufuate, mafundisho yake yameandikwa kwenye kitabu gani?!
Na je Tanzania, Kenya, Uganda na nchi nyingine za Africa tutakuwa dini Moja yenye Mila na desturi zinazofanana au kila nchi na dini yake?! Na je kwa hapa Tanzania wewe unavyoona mmasai, msukuma,mkurya,mchaga, Muhaya na mmakonde wanaweza kuwa kwenye dini Moja inayofanana kwa Mila na desturi zake au kila kabila libaki na dini yake?!
 
Ninachotaka kukuelewesha ni kwamba Mke wangu havai Mabuibui wala Hijabu.
Wewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.
Sasa ndiyo nikataka utuletee picha ya mkeo tuone kama anavaa hivyo ili na sisi wake zetu tuwanunulie nguo za kiafrika!
 
Wewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.
Sasa ndiyo nikataka utuletee picha ya mkeo tuone kama anavaa hivyo ili na sisi wake zetu tuwanunulie nguo za kiafrika!

Mimi MKE wangu anavaa hivi na nikimuona hivi moyo wangu unavutiwa sana na nakuwa mwenye furaha upendo na amani sana ya kwamba Al hamdu lillaah Allaah kanipa MKE anayejua lengo la yeye na Mimi kuwepo hapa duniani kuwa ni kumtimikia yeye Allaah na kufuata amri zake pamoja na Mila, tamaduni, desturi na maadili aliyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
 

Attachments

  • IMG_20241009_191210.jpg
    IMG_20241009_191210.jpg
    52.7 KB · Views: 5
Wewe umetuletea picha za wanawake toka Iswatini na Afrika Kusini kwamba ndivyo wanawake wakiafrika wanavyovaa.
Sasa ndiyo nikataka utuletee picha ya mkeo tuone kama anavaa hivyo ili na sisi wake zetu tuwanunulie nguo za kiafrika!
Huna Hoja
 
Mimi MKE wangu anavaa hivi na nikimuona hivi moyo wangu unavutiwa sana na nakuwa mwenye furaha upendo na amani sana ya kwamba Al hamdu lillaah Allaah kanipa MKE anayejua lengo la yeye na Mimi kuwepo hapa duniani kuwa ni kumtimikia yeye Allaah na kufuata amri zake pamoja na Mila, tamaduni, desturi na maadili aliyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
 
Nimefikiria nikutukane lakini nikaona bora niache tu.!!
Hebu tufanye ni habari za kwenye biblia lakini Farao / Firauni hakutawala Misri?
Muhammed na kundi lake walikopi hizo Stori kutoka kwenye Bible na Tora.
 
Mimi MKE wangu anavaa hivi na nikimuona hivi moyo wangu unavutiwa sana na nakuwa mwenye furaha upendo na amani sana ya kwamba Al hamdu lillaah Allaah kanipa MKE anayejua lengo la yeye na Mimi kuwepo hapa duniani kuwa ni kumtimikia yeye Allaah na kufuata amri zake pamoja na Mila, tamaduni, desturi na maadili aliyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
 
Mimi MKE wangu anavaa hivi na nikimuona hivi moyo wangu unavutiwa sana na nakuwa mwenye furaha upendo na amani sana ya kwamba Al hamdu lillaah Allaah kanipa MKE anayejua lengo la yeye na Mimi kuwepo hapa duniani kuwa ni kumtimikia yeye Allaah na kufuata amri zake pamoja na Mila, tamaduni, desturi na maadili aliyofunfisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
Hizo ni tabia za kiarabu za kuzuia Nyege kwa VITAMBAA wakati Nyege inatakiwa izuiwe kwenye NAFSI.

Hayo Mahijabu hayasaidii kama NAFSI ni CHAFU.
 
Back
Top Bottom