Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Tuendelee kumwombea kwa Mungu amponye haraka. Na kama Mungu atampenda zaidi, tusiogope maana damu yake iliyomwagika itaendelea kunena makuu zaidi.
 
Magamba wanajiandaa kwa rambirami, washindweeee. Mungu mrejeshee afya njema
 
Kwa kuwa ameshasema atasema yote! Lazima wale wanaoitwa "trained to kill" wamerudi kwa sura nzuri wakiwa na nia mbaya!!
 
Latest Pictures of Dr. Ulimboka.......................Get Well Soon Brother
 

Attachments

  • Ulimboka.jpg
    Ulimboka.jpg
    35.5 KB · Views: 6,488
  • Ulimboka 1.jpg
    Ulimboka 1.jpg
    38.2 KB · Views: 6,413
  • Ulimboka 2.jpg
    Ulimboka 2.jpg
    29.6 KB · Views: 175
  • Ulimboka 3.jpg
    Ulimboka 3.jpg
    36.4 KB · Views: 6,383
  • Ulimboka 4.jpg
    Ulimboka 4.jpg
    30 KB · Views: 6,464
  • Ulimboka 5.jpg
    Ulimboka 5.jpg
    36.6 KB · Views: 199
Amepata renal shutdown or insufficiency (figo kushindwa kufanya kazi) kutokana na sababu mbalimbali but most likely clinically itakuwa crush syndrome. Crush syndrome mara nyingi hufuatia trauma especially involving muscles. Huwa haina prognosis nzuri, really very sad.

Anaweza hitaji Hemo-Dialysis among other treatment options. Madaktari kwa sasa wanaungana na wasamaria wema kokote walipo katika nchi yetu na kwingineko ili waweze kuraise chochote pesa ili kugharamia dialysis yake na matibabu mengine.

Yeyote atakayeguswa kusaidia kwa hali na mali tafadhalini sana karibuni. Utaratibu utawekwa hadharani ili walioguswa na wenye nia ya kumsaidia waweze kufanya hivyo.

Tunamuombea kiongozi wetu Mungu amjalie na apate kupona, zaidi sana pole nyingi na Faraja zitokazo kwa Mungu wetu mponya ziende kwa familia yake Mke na watoto wake, wazazi ndugu jamaa na marafiki zake, madaktari wote na watanzania kwa ujumla, na Mungu atuunganishe katika hili na kwa haya yaliyotokea na Shetani ashindwe.
 
mlio karibu naye fanyeni juu chini aongee aliyotaka kusema,anaweza toweka huyo
 
True ....ni kweli figo zimefail na madaktari wanahangaika kum stabilize....

Mateke aliyopigwa yanaweza kuwa yameharibu viungo vingi ndani i.e ini.
Mungu sikiliza sala za wanyonge wako.
 
Tunajua kuwa waliomfata pale ni trained people na vitendo walivyomfanyia inaonesha u professional wao kwa kufanya hivyo vitenda na no one can lie me kuwa the government haihusiki hapa.
Wanajua uhai wake ni kifo cha serikali hivyo wako tayari kutumia kila njia kuhakikisha ukweli anaoufahamu Dr Ulimboka haufahamiki.
Guys this is the only time we have,lets PRAY he retains his normal condition and speak out
 
Amepata renal shutdown or insufficiency (figo kushindwa kufanya kazi) kutokana na sababu mbalimbali but most likely clinically itakuwa crush syndrome. Crush syndrome mara nyingi hufuatia trauma especially involving muscles. Huwa haina prognosis nzuri, really very sad.

Anaweza hitaji Hemo-Dialysis among other treatment options. Madaktari kwa sasa wanaungana na wasamaria wema kokote walipo katika nchi yetu na kwingineko ili waweze kuraise chochote pesa ili kugharamia dialysis yake na matibabu mengine.

Yeyote atakayeguswa kusaidia kwa hali na mali tafadhalini sana karibuni. Utaratibu utawekwa hadharani ili walioguswa na wenye nia ya kumsaidia waweze kufanya hivyo.

Tunamuombea kiongozi wetu Mungu amjalie na apate kupona, zaidi sana pole nyingi na Faraja zitokazo kwa Mungu wetu mponya ziende kwa familia yake Mke na watoto wake, wazazi ndugu jamaa na marafiki zake, madaktari wote na watanzania kwa ujumla, na Mungu atuunganishe katika hili na kwa haya yaliyotokea na Shetani ashindwe.

Wow...if that is true then it's very sad. And even if he pulls through he will never be the same again. I wish I could get hold of one those muh'fukas that did that to him.....
 
Jamani tuambieni tufanyeje tuje huko muhimbili na senti zetu mbili tatu,renal failure ni mbaya tunalia machozi tufanyeje jamani mumepata namba ya mchango tuanze kuchangia
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa karama na haya yote yalompata Ulimboka yalikuwa lazima yatokee ili sisi tupate kujifunza na kuwa wabora zaidi na pengine kuchukua maamuzi magumu zaidi. Sasa jamani, sii kila siku mnasema JK dhaifu ilihali sisi wote ni wadhaifu vile vile kama yeye ktk kuchukua maamuzi magumu tunawalinda wale wale tunaowakemea siku zote.

Mimi siku zote nasikia domotindi tu, sijui ikitokea hivi watatukoma! Leo Dr.Ulimboka amelala peke yake Hospital watu wengine ndio kwanza wanatafuta vijiwei ktk Club za bia kwenda danganya watu wengineo wakati undani wa swala hili unauma zaidi. Kuna kina Ulimboka karibu 100 ICU huko Mahospitalini ambao wao hawapati huduma ya matibabu kwa sababu ya mgomo wa Madaktari na Mungu mwingi wa makarama katuonyesha leo kamweka Dr wetu Ulimboka ktk kiatu cha wagonjwa maana angeweza kabisa kumwondoa roho akiwa porini lakini kamleta Hospital awe na wagonjwa wengine walokuwa ktk hali kama yake mwenyewe (aonje joto la jiwe).

Watu mnamwombea Mungu sana apone na kuilaani serikali ambayo nyote bado mnaitumikia na kuwalinda hawa hawa mnaowalaani. Aaaah! Mola wangu wee nimechoka na Unafiki wa Wabongo jamani!..
 
ashukuru Mungu kua ni mtu anajulikana, leo hii kuna binadamu wengine ambao wametekwa na majambazi au wameumizwa vibaya hawataweza kupata huduma kama ya huyo doctor kwa kua madaktari wako kwenye mgomo
 
Mbona haonekani kama yuko mahututi,au ndio madoctor wanakuza mambo tu?
 
kikwete na serikali yake wanaua wangapi pesa ya
1 rada
2 wasiolipa kodi madini
3 wasiolipa kodi makampuni ya simu
4 mikata yote mibovu
pesa zile zingeweza kulipa mishahara waalimu madoctor mishahara mizuri
hivyo kikwete na pinda ni wauwaji sana kuliko mgomo wa madoctor
 
Back
Top Bottom