Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

Kinachofuatia kwenye haya ulosema ni Way out.......hebu pendekeza ama unavyofikiri wewe, ama inavyopaswa kuwa badala ya watu kupiga domo na kutoa matamko.
What shall the sons and daughters of the this land do...........or at least those who dare.

Mwenyezi Mungu mwingi wa karama na haya yote yalompata Ulimboka yalikuwa lazima yatokee ili sisi tupate kujifunza na kuwa wabora zaidi na pengine kuchukua maamuzi magumu zaidi. Sasa jamani, sii kila siku mnasema JK dhaifu ilihali sisi wote ni wadhaifu vile vile kama yeye ktk kuchukua maamuzi magumu tunawalinda wale wale tunaowakemea siku zote.

Mimi siku zote nasikia domotindi tu, sijui ikitokea hivi watatukoma! Leo Dr.Ulimboka amelala peke yake Hospital watu wengine ndio kwanza wanatafuta vijiwei ktk Club za bia kwenda danganya watu wengineo wakati undani wa swala hili unauma zaidi. Kuna kina Ulimboka karibu 100 ICU huko Mahospitalini ambao wao hawapati huduma ya matibabu kwa sababu ya mgomo wa Madaktari na Mungu mwingi wa makarama katuonyesha leo kamweka Dr wetu Ulimboka ktk kiatu cha wagonjwa maana angeweza kabisa kumwondoa roho akiwa porini lakini kamleta Hospital awe na wagonjwa wengine walokuwa ktk hali kama yake mwenyewe (aonje joto la jiwe).

Watu mnamwombea Mungu sana apone na kuilaani serikali ambayo nyote bado mnaitumikia na kuwalinda hawa hawa mnaowalaani. Aaaah! Mola wangu wee nimechoka na Unafiki wa Wabongo jamani!..
 
Mungu amsaidie. Nina mashaka sana na yule alisema "bado hajafa". Wanajua walichokifanya ndo maana alikuwa anashangaa kumbe hajafa!!! Nikiangalia picha nashindwa kutofautisha Tanzania na Syria.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tuwaombee madaktari wanaomhudumia ili Mungu awape hekima na maarifa katika kushiriki kazi ya Mungu wapate kuokoa maisha ya huyu jemedari. Tuongeze maombi kwa ajili ya Dr. Ulimboka, mkono wa Mungu wa uponyaji uwe juu yake. Kwa Mungu hakuna lisilowezekana! Tusikate tamaa.
 
Mwenyezi Mungu mwingi wa karama na haya yote yalompata Ulimboka yalikuwa lazima yatokee ili sisi tupate kujifunza na kuwa wabora zaidi na pengine kuchukua maamuzi magumu zaidi. Sasa jamani, sii kila siku mnasema JK dhaifu ilihali sisi wote ni wadhaifu vile vile kama yeye ktk kuchukua maamuzi magumu tunawalinda wale wale tunaowakemea siku zote.

Mimi siku zote nasikia domotindi tu, sijui ikitokea hivi watatukoma! Leo Dr.Ulimboka amelala peke yake Hospital watu wengine ndio kwanza wanatafuta vijiwei ktk Club za bia kwenda danganya watu wengineo wakati undani wa swala hili unauma zaidi. Kuna kina Ulimboka karibu 100 ICU huko Mahospitalini ambao wao hawapati huduma ya matibabu kwa sababu ya mgomo wa Madaktari na Mungu mwingi wa makarama katuonyesha leo kamweka Dr wetu Ulimboka ktk kiatu cha wagonjwa maana angeweza kabisa kumwondoa roho akiwa porini lakini kamleta Hospital awe na wagonjwa wengine walokuwa ktk hali kama yake mwenyewe (aonje joto la jiwe).

Watu mnamwombea Mungu sana apone na kuilaani serikali ambayo nyote bado mnaitumikia na kuwalinda hawa hawa mnaowalaani. Aaaah! Mola wangu wee nimechoka na Unafiki wa Wabongo jamani!..
Mkandara, kwa heshma zote ningeshukuru kama ungetoa hii hoja siku na wasaa mwingine. Timing yake is very painful to read. Dr Ulimboka ameng'olewa meno na plaizi, ameng'olewa kucha, amevunjwa mbavu, mikono, taya. Unaweza ukawa na muono tofauti kuhusu huu mgomo wa madaktari, lakini kama nilivyosema nimefadhaishwa sana na comment yako kwenye huu uzi unaongelea hali ya Dr Ulimboka kubadilika ghafla! I almost felt kama mtu kanipiga teke la tumbuno.
 
Last edited by a moderator:
What a sad news ! But let's pray and even if possible,raise funds to order the machine that machine and how long will it take to reach here and under those circumstances will our great hero be able to survive?
 
kuna tetesi kuwa hali ya Dr Ulimboka sio nzuri kwa sasa.
Tuendelee kumuombea.
Haya maelezo ya mwanajf lasikoki yanashabihiana na taarifa nilizozipata.

mnasema kuna ulinzi mkali wa wenyewe madaktari?? hao wanaomponya mnauhakika nao????? kuna yeyote kati yenu kawahii Kuangalia picha inaitwa 24????.kama ndio basi mtapata jibu nini naamanisha.....
 
Mungu aliyemponya Ayubu na magonjwa yake ndiye yeye atakaye mponya Dr Uli kwani yeye ndiye aliyachukua magonjwa yetu na kuchukua udhaifu wetu tunaimani kuwa atamponya pia Dr Uli jina la Bwana libarikiwe
 
Back
Top Bottom