Dr slaa ziarani katika mikoa ya shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida.

Kamanda waitara tunakushukuru sana kwa taarifa yako iliyo nyooka , tunasema hivi ukitaka kuua nyoka , PIGA KICHWANI .
 
haya ndo mambo siyo matamko, tena amefanya mvizuri kwenda kanda aliyokuwa anaongoza Zitto ili kupima upepo, ingawaje nina hofu dola za ujerumani zinaweza kuhusika kuhujumu mikutano hiyo.

Ujerumani ndio mfadhiri mkubwa wa harakati za M4C so uwe na amani braza, Muhuni mmoja hawezi kuzuia matakwa ya watanzania
 
Ingelikuwa amri yangu slaa asije huku maana aibu atakayoipata ni aibu kwa chama. Na ni ushindi kwa zzk
 
Kamanda waitara tunakushukuru sana kwa taarifa yako iliyo nyooka , tunasema hivi ukitaka kuua nyoka , PIGA KICHWANI .
 


Mzimu huu utawafuata Popote Walipo katika Maisha yao yaliyobaki.


wakuu tumwache wangwe apumzike kwa amani ikumbukwe aliaga dunia kwa ajali ya gari na dereva wake alishafungwa jela
 

.
Haya ndio mambo tunayotaka kusikia. Ukaguzi wa uhai wa chama ni muhimu. Masuala ya malumbano kuhusu maamuzi ya cc hayana mshiko kwa sasa. Siku 14 tangia mtu kupewa barua yake ndio zitakazo amua mbichi na mbivu.
Tahadhari: kuwe na umakini sana kwa sababu jamaa kutoka magamba mtaalam wa mabomu kutoka China anaweza kwa kushirikiana na vibaraka wake waliokuwa chadema kulipua mkutano mmoja wapo. Utabiri wa TBJ kwa nchi mojawapo ya Africa mash. (kenya ikiondolewa) bado haujatimia. TBj alimtabiria Lowasa urais ilii huo unabii utimie na kwa kuzingatia mtu muhimu na anaetajwa kuukwaa urais ni Dr wa ukweli, basi majasusi wa nabii wanaweza kuingia kazini. Ilikuwa hivyo kwa Joyce Banda wa Malawi kwani baada ya Banda kuhudhuria sinagogini na kupeleka Zaka kule alitabiriwa urais. Baada tu ya ktabiriwa urais majasusi yaliingia kazini hadi rais Mutharika wa Malawi wakati huo alipofariki ili kuutia muhuri unabii wa mstahiki nabii wa ug'haibuni.
CHADEMA UNGEZENI UMAKINI, SISI RAIA TUPO PAMOJA NANYI KATIKA MOVEMENT YA UKOMBOZI WA TAIFA LETU.
.
 
ww sio chadema acha kelele. unajua nini ww au ni walewale msiopenda kuwajibishwa? mkamateni kapuya jirani yenu hapo tabora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…