Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

Status
Not open for further replies.
kama tanzania daima wanavyomchafua kapuya bila kumsikiliza.

Kapuya ana crooked past ; alipokuwa mwalimu chuo kikuu aliwahi kubaka mfanya kazi wake lakini mambo yakafunikwa, kwani wakati huo wakina mama hawakuwa na mwamko kama hivi leo!!!
 
Mda wa kuweweseka jf umekwisha, mwambieni atangulie mahakamani, tutalutana huko huko

Thibitisha kwanza kuwa wewe ndio umeileta ile Report toka Makao Makuu ya Chadema inakuaje unasema huhusiki wewe umeiona kama mimi nilivoiona halafu unasema Mtakutana Mahakamani?, maana inaonekana Ukifika Mahakami kazi yako itakuwa kuikana ile Report kuwa huhusiki nayo badala ya kuthibitisha kuwa kuwa Dkt Kitila Mkumbo alihongwa Fedha na Zitto toka Dkt Charles Kimei kama ilivooneshwa kwenye Report uliyoikana kama walivoikana waliokutuma wakakuingiza Mkenge na kusingizia eti wewe ni CCM na Usalama wa Taifa
 
lakini na yeye kama kiongozi tungependa atoe msimamo wake wazi wazi kama kiongozi mkuu wa chama because the issue is so serious au hadi afe mtu ndo aamini the situation in chadema is so hot?

CHADEMA haikurupuki kama ccm. Tamko limeshatolewa kupitia kurugenzi ya habari inatosha
 
wapi hiyo ripoti iliponitaja Mimi kuwa ninahusika?

Mimi nimeiona mitandaoni kama engine walivyoiona,

lete ushahidi kuwa Mimi "ninahusika"
Umeomba kutolewa nembo ya verified user ili uje na utetezi wa kusema uliokota kwenye mitandano.

Hakijabadilika kitu. You're just dancing the same tune.

This is digital age. Ulikuwa unafikiri hii ni analog and you can just wipe it within a second.

You are in for it.
 
tusichonganishwe nas tukakubal ujinga huo....

BEN......name wengn tuwe makn.
 
Kapuya ana crooked past ; alipokuwa mwalimu chuo kikuu aliwahi kubaka mfanya kazi wake lakini mambo yakafunikwa, kwani wakati huo wakina mama hawakuwa na mwamko kama hivi leo!!!

hiyo nayo lazima ifufuliwe , tunakushukuru kwa taarifa nzuri .
 
Papara ya nini? Bosi wenu si ameshakwenda kufungua kesi? Acha dola ithibitishe

Kazi ya kuthibitisha ile Report sio ya Dola ni kazi yenu nyie mlioileta mnataka kumtupia nani zigo la kuthibitisha Uongo wenu? Aliekwenda kufungua kesi ni Bosi wa Chadema Naibu katibu Mkuu, au wewe sio Chadema siku hizi?
 
Kumbe Elimu yako ni Zao la Juhudi ya Serikali ya CCM,

Iliyokua inatoa elimu kibaguzi baada ya kukusanya kodi na kuwanyima wengine kama akina Lusinde na Maji Marefu huku ikukumbatia mawaziri wenye Ph.D fake.

Guys tuache masikhara tuimarishe sera ya Elimu.Hakuna haja ya kutumia gharama kubwa kusomesha wanafunzi nje wakati tunaweza kuboresha sera ya elimu na kufanya investment kwenye elimu
 
umeomba kutolewa nembo ya verified user ili uje na utetezi wa kusema uliokota kwenye mitandano.

Hakijabadilika kitu. You're just dancing the same tune.

This is digital age. Ulikuwa unafikiri hii ni analog and you can just wipe it within a second.

You are in for it.

ya chadema yanakuhusu nini wewe , nyie ndio mnasababisha hata zitto anatiliwa mashaka , hayakuhusu bhana !
 
Hata Mrs Mushumbuzi Mlimdanganya ivo ivo akamuacha Mumewe sasa kutwa kucha analea Libabu.

ah ah chuki binafsi izo bhana, wamuonea wivu j.mushumbusi, uyu ni dokta wa ukwel mtaalam wa kutafakari kabla ya kutenda, na si yule alogeuzwa (poyoyo)na wazungu wanampa miPHD kwa ulaghai wanaompa ili ahachie rasilimali zetu bwelele na pia awaruhusu wapitishe unga Tz, yatakushinda wewe,

sasa jibu umeolewa? natmai naweza kukuGuide accordingly Dr
 
Mimi niko arachuga nimeona jinsi mawio ilivyojaribu kupotosha kuhusu mh lema kwa wiki tatu mfululizo na likiendelea hivi tutaanza kuli treat kama uhuru na habari leo
mkuu kwa hiyo unapenda liandike mazuri tu? Au yale unayoyapenda tu? Wapi uhuru wa habari tu?
 
Kwa hiyo slaa anakataa maneno yaliyoandikwa na zitto? Ukweli utatuweka huru.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom