Nina wasiwasi huenda ulimtaarifu kabla ya kupost! Any way just guessing!
Zitto asafishiki kabisa
Nina wasiwasi huenda ulimtaarifu kabla ya kupost! Any way just guessing!
Duh.Mwandishi wa Habari hiyo alikua nani?
kama tanzania daima wanavyomchafua kapuya bila kumsikiliza.
Mimi niko arachuga nimeona jinsi mawio ilivyojaribu kupotosha kuhusu mh lema kwa wiki tatu mfululizo na likiendelea hivi tutaanza kuli treat kama uhuru na habari leolakini na yeye kama kiongozi tungependa atoe msimamo wake wazi wazi kama kiongozi mkuu wa chama because the issue is so serious au hadi afe mtu ndo aamini the situation in chadema is so hot?
Punguza Hasira....JF ilishawahi kutafuta ukweli kwa kuwasiliana na verified Member mmoja hapa!
Punguza Hasira....JF ilishawahi kutafuta ukweli kwa kuwasiliana na verified Member mmoja hapa!
Anaitwa Yusuf Aboud!
Una swali lingine?!
Naunga mkono slaa atafutwe kama alivyoatafutwa zito japo unaogopa kuandika jina lake.
Uzembe wa kufikiri wa baadhi ya viongozi wa chadema ni chanzo cha huo muonekano wa kutojipanga. Kama wameanza ugomvi wao kwa wao ndani ya chama na kutumia mitandao ya kijamii kutatua migogoro Yao badala ya kutumia vikao ni dalili ya anguko kama ilivyokuwa kwa NCCR.
Uzembe wa kufikiri wa baadhi ya viongozi wa chadema ni chanzo cha huo muonekano wa kutojipanga. Kama wameanza ugomvi wao kwa wao ndani ya chama na kutumia mitandao ya kijamii kutatua migogoro Yao badala ya kutumia vikao ni dalili ya anguko kama ilivyokuwa kwa NCCR.
Mkuu hakuna hasira hapa,halafu kwenye Mawio hilo hilo umeona ile Makala ya kurasa mbili iliyochambua namna ambavyo Lema amekuwa anakihujumu chama pamoja na viongozi wake?!
Imeandikwa Mwigamba :Mfuga nyoka aliyegongwa na nyoka wake.
Alikua wapi siku zote hizo?
Duh Sasa MAWIO imekuaje tena?
Kama ndio hivyo nashauri JF iwasiliane na Dr.Slaa kama ambavyo imewahi kufanya kutafuta ukweli ili isijekuwa hapa pia amelishwa maneno
wakati ndo jina mnalolidiscuss kuliko yote kila siku,humuwezi Zitto na degree yako ya chuo cha kata indiaSina muda na majina ya watu.Petty !
Hali pata wapi hizi habari? Au mwigamba kaandika?
Mh Slaa yupo jf bila shaka atathibitisha,
Hongera Ben kwa kuwa wa kwanza kupost!!!!!!!!!!!!!! yaan tofauti ya dakika 3 tu!!!