Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
"Sikuzungumza na chombo chochote kuhusu kinachoitwa ripoti, Mawio waliniomba nizungumze nikawaambia chama tayari kishatoa kauli kupitia msemaji wa chama ndugu John Mnyika, nashangaa niliyoyaona wameyaandika"
My take:
Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.
My take:
Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.