Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

Dr Slaa: Nimelishwa maneno na magazeti

Status
Not open for further replies.

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,026
Reaction score
20,511
"Sikuzungumza na chombo chochote kuhusu kinachoitwa ripoti, Mawio waliniomba nizungumze nikawaambia chama tayari kishatoa kauli kupitia msemaji wa chama ndugu John Mnyika, nashangaa niliyoyaona wameyaandika"

My take:

Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.
 
Duh Sasa MAWIO imekuaje tena?

Kama ndio hivyo nashauri JF iwasiliane na Dr.Slaa kama ambavyo imewahi kufanya kutafuta ukweli ili isijekuwa hapa pia amelishwa maneno
 
"Sikuzungumza na chombo chochote kuhusu kinachoitwa ripoti, Mawio waliniomba nizungumze nikawaambia chama tayari kishatoa kauli kupitia msemaji wa chama ndugu John Mnyika, nashangaa niliyoyaona wameyaandika"

My take:

Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.

Tasnia ya Habari Tanzania,Imekua ni pango la makanjanja wa Kisiasa, Wanachukua Maneno Makali na Kusema Kiongozi fulani Kasema, Ifike wakati Mwandishi anaporipoti habari aifanyie Utafitishi, Bila Uvivu.
 
lakini na yeye kama kiongozi tungependa atoe msimamo wake wazi wazi kama kiongozi mkuu wa chama because the issue is so serious au hadi afe mtu ndo aamini the situation in chadema is so hot?
 
"Sikuzungumza na chombo chochote kuhusu kinachoitwa ripoti, Mawio waliniomba nizungumze nikawaambia chama tayari kishatoa kauli kupitia msemaji wa chama ndugu John Mnyika, nashangaa niliyoyaona wameyaandika"

My take:

Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.

babu kwa kuruka kimanga. anakukana mchana kweupee.
 
Tasnia ya Habari Tanzania,Imekua ni pango la makanjanja wa Kisiasa, Wanachukua Maneno Makali na Kusema Kiongozi fulani Kasema, Ifike wakati Mwandishi anaporipoti habari aifanyie Utafitishi, Bila Uvivu.

kama tanzania daima wanavyomchafua kapuya bila kumsikiliza.
 
lakini na yeye kama kiongozi tungependa atoe msimamo wake wazi wazi kama kiongozi mkuu wa chama because the issue is so serious au hadi afe mtu ndo aamini the situation in chadema is so hot?
Chadema ni taasisi Slaa kasema keshatoa kauli kupitia kwa msemaji wa chama.
 
Hayo maneno ameyasema wapi na uliyeleta hayo maneno umeyanukuu wapi?
 
Duh Sasa MAWIO imekuaje tena?

Kama ndio hivyo nashauri JF iwasiliane na Dr.Slaa kama ambavyo imewahi kufanya kutafuta ukweli ili isijekuwa hapa pia amelishwa maneno

Ben

Mimi pia sijui Mawio imekuwaje,kuna mambo kadhaa nimeyaona wiki za karibuni nashindwa kuwaelewa
 
"Sikuzungumza na chombo chochote kuhusu kinachoitwa ripoti, Mawio waliniomba nizungumze nikawaambia chama tayari kishatoa kauli kupitia msemaji wa chama ndugu John Mnyika, nashangaa niliyoyaona wameyaandika"

My take:

Katika hali hii sass inaonekana hata Mwanasheria wa chama Mh Marando na Mzee wetu mzee Mtei nao wamelishwa maneno katika mkakati huo huo.

Chanzo cha habari hii ni kipi?
 
Duh Sasa MAWIO imekuaje tena?

Kama ndio hivyo nashauri JF iwasiliane na Dr.Slaa kama ambavyo imewahi kufanya kutafuta ukweli ili isijekuwa hapa pia amelishwa maneno

Hongera Ben kwa kuwa wa kwanza kupost!!!!!!!!!!!!!! yaan tofauti ya dakika 3 tu!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom