Dr Slaa: Mtwara wamepuuzwa!

Dr Slaa: Mtwara wamepuuzwa!

Siyo mikataba yote ni lazima iwekwe wazi. Kibiashara baadhi ya makampuni hayataki kuweka mikataba yao public ....kuna mikataba ya kijeshi kati ya serikali (hao IMF na WB wanashupalia hili) na serikal au na mashirika binafsi, na haiwekwi public.
Hata hivyo, linalojengwa ni pipeline, sasa wewe unatyaka mkataba gani? Wakujenga pipeline?? AU WA MATUMIZI YA GESI?? Mimi bado sijaelewa tatizo ni nini hasa.


Mkuu [MENTION]kobello,[/MENTION] mbona hoja ya[MENTION] Mikael P Aweda[/MENTION] iko wazi.

Msome vizuri hasa kwenye red mkuu wangu.


quote_icon.png
By Mikael P Aweda

Kwani wanamtwara siyo watanzania? Malalamiko ya wanamtwara ni ya watanzania wote. Na mikataba tunayotaka yawekwe hadharani kama nilivyosema siyo ya mtwara tu bali nchi nzima. Kwa hiyo, swali langu liko pale pale, kwa nini ccm hawataki kuonesha mikataba ya uchimbaji wa gesi kwa wanamtwara na watz wote wakati yanachimbwa katika ardhi yao/yetu (sisi watz +wanamtwara pamoja na wewe kobello)


Aweda ameweka kila kitu wazi.

1. Amekuuliza wanamtwara siyo watanzania? kama watanzania je hawana haki ya kudai kutekelezewa haki zao za msingi kutoka raslimali zinazopatikana katika mazingira yao kwanza na baada ya hapo zikawanufaishe na ndugu zao mikowa mingine. Serikali inapotosha kwamba wanamtwara wanazuia gesi huu ni uzushi na uwongo mkubwa.


2. swala la pili Aweda anauliza kwanini serikali inaficha mikataba? iwe ya madini, kubinafsisha ardhi au gesi?? nasiyo inawaficha wananchi tu bali inawaficha hata wawakilishi wa wanachi yaani wabunge wao! Aweda anapendekeza mambo yawekwe hadharani ilitufahamu tunapata nini kwanini tunapata hicho na siyo zaidi.

-Je tunaendelea kupewa asilimia za mrahaba chini ya 5% na 95% kuondoka na wawekezaji? mkuu kobello unafahamu tutapata % kutoka mapato ya gesi?

-Je tunalipa gharama shahihi za unzenzi wa mitambo na bomba kwa ujumla (Value for money related to the actual cost of the project) au tunaibiwa kwa kulipa mara kumi au zaidi ya gharama halisi??

-Je wananchi kwanza wa maeneo husika na pili wanzania kwa ujumla watapata faida staihiki au magumashi kutoka mikataba hii??

Haya ndiyo mawazo na matazamo wa mkuu Aweda, hujaelewa nini bwana Kobello?
 
Huu ndiyo wakati wa kuonesha uwepo wa serikali jk usilegeze kamba.
 
Hivi kwa maoni yako, kwa nini JK na serikali yake hawataki kuonesha mikataba ya uchimbaji gesi kwa watu wa mtwara na wabunge? Hili ndilo linalosababisha vurugu. Je, ni sawa?

Tatizo lako wewe unaongea sana hebu tupe mchanganuo wa michango ya M4C toka muanze kuwachangisha wananchi mmekusanya kiasi gani ni matumizi yake.
 
Kwa nini slaa hajawahi kusema kuwa karatu na kilimanjaro kuwa patachimbika hata mandamano hayapanwi mokoa na maeneo hayo.
 


naongea ukweli halisi ... hali ilivyo CDM ni kaskazini tu !



Possibly yes, other wise you look to be imperfect.

Zito Zuberi kabwe ?????????

Joseph Mbilinyi????

Prof Safari???

Wenje???

Halima Mdeee?? and many more

Any comment [MENTION] Njiwa[/MENTION] ?
 
Mtwara chamtoto. Na bado. Hadi kileileweke

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tatizo lako wewe unaongea sana hebu tupo mchanganuo wa michango ya M4C toka muanze kuwachangisha wananchi mmekusanya kiasi gani ni matumizi yake.


Mkuu Ritz,

naona jamaa kakubana kwa hoja na sasa umekimbilia kwenye M4C!!

Hoja hapa ni kuhusu Mtwara na Gesi, we need facts on this, NOT blaabraa!!

Unaweza m-PM hata mpiga tarumbeta mwenzio Chama ili mjenge hoja kumkabiri M. Aweda!!
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.

Umeelewa vizuri alichozungumzia Dr Slaa? Kasema hivi:Rais Kikwete aombe hekima za Mungu ili kutatua tatizo la Mtwara
 
Huu ndiyo wakati wa kuonesha uwepo wa serikali jk usilegeze kamba.

Tangu lini Kiwete amekaza kamba??

a) Wezi wa Epa alisema anawajuwa mbona ameduwaa kama kobe tena kimyaa kama maji mtungini!

b) Kashifa ya mkataba wa Richmond amekaza kamba au amelegeza kamba?

c) Watoto wamefeli 90% mbona ameshindwa kuwakazia kamba Kawambwa na wasaidizi wake?

d) Mzee wa visenti badala ya kushughulikiwa ndo kwanza anapeta, unaongelea kamba gani?

Kamba unayongelea wewe ndugu Kibwete ni kukomoa watu bila makosa? au unalenga nini?? haki ya mtu haipokwi! Amini nakuambia.

Kwa nini slaa hajawahi kusema kuwa karatu na kilimanjaro kuwa patachimbika hata mandamano hayapanwi mokoa na maeneo hayo.

Utanzania wake unampa uhuru wa kutamka na kufanya chochote popote juu ya ardhi ya Tanzania ilmradi havunji sheria. Ni matakwa ya katiba yetu

- Unamuamuru kupitia katiba ipi?
ya ccm?
Ya mafisadi?
ya ukanda?
ya ukabila kama anavofanya kikwete kila ktu Bagamoyo kwa wakwere?



kibwete angalia usije kuwa na akili za Kibwetere
 
laana kutoka kwa nani..?

Hivi bado mnadhani slaa alishinda ... Znz kura hazikutosha.. Miji ya pwani hana umaarufu.. Labda kaskazini huko

wewe kweli amnazo....hivi unajuwa idadi ya wa zanziba? je idadi ya watu wa pwan?....unaijua idadi ya watu wa shinyanga? ye unajua idadi ya kura zilizo pigwa zanziba? unajua ccm na cuf waligawana kura kiasi gan? kijana siku nyingine fanya utafiti kwanza usikurupuke kwa ngonjera! JF ni kwa watu makini
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.

maneno ya khanga na ngojera....JF sio mahali pake....
 
Huu ni mtihani mwingine wa kifikra kwa slaa, hivi anadhani ataendelea kuwahadaa wananchi kupitia matatizo yao hadi lini??? Kwa hiyo anashangilia vifo vya askari na mali za umma zilizoharibiwa???

wewe unafikiri kweli. .. ccm na chadema ipi ina wahadaa wananch?...ikowap maakama ya khadhi?...
 
Watu wana protest mpaka wanakufa kudai haki zao wewe unasema hawajui haki zao, wapewe elimu.

Viongozi wetu wanapokosea ni kutudhania Wanachi ni majuha wa kutupwa, Kikwete anasema vurugu ni za kuchochewa, yani sisi wenyewe wananchi anaamini hatuwezi kupinga mambo fyongo mpaka tuamshwe, tuchochewe.

Slaa nae, ungedhani angekuwa na falsafa tofauti kuhusu uelewa wa Wananchi, lakini nae anasema Wananchi hatujui haki zetu tupewe elimu!
ndo mnaprotest kwa kulipua madaraja?,majumba na ofisi,hiyo ni protest au hujuma?
 
Viongozi wa nchi na ccm wana maslahi binafsi na gesi ya mtwara ndio maana wakisikia wananchi wanapinga wanatokwa na mapovu na wako radhi hata kumuua yeyote anayepinga bomba la gesi kujengwa!!!
 
Hiyo ya kusimama dakika moja ni mbwembwe ya kisiasa tu, wizi mtupu....unatoa kauli tata na za kichochezi halafu unawahadaa watu eti wasimame dakika moja, mbona umeliasi kanisa???





Weka mbali na wake za watu

JF imeingiliwa na wehu....wewe una fikra mfu...
jenga hoja kijana sio unakuja na mipasho hapa
 
kauli za slaa siyo za kujenga daima huwa ni za kubomoa siku zote sielewi nia yake ni nini.
 
Huyu naye apunguze unafki kidogo,lakini ndiko kwenye siasa panamfaa, maana dini ilimshinda pinda alikwenda mtwara akaa nao na kufikia muafaka na rais ali adress issue hii kwa public through speech yake ya mwezi,sasa tunataka wafanye nini zaidi? Jk alisema kama kunakuwapuuza watu wa mtwara basi yeye atakuwa mtz wa mwisho kufanya hvyo. Huyu slaa aangalie sana kauli zake maana ikitokea bahati mbaya wakaingia ikulu watu wanataraji mabomba ya maziwa

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

yaleyale watu awajengi hoja mna kurupuka kama ng'ombe.....
 
Back
Top Bottom