Dr Slaa: Mtwara wamepuuzwa!

Dr Slaa: Mtwara wamepuuzwa!

Kuna msemo kuwa flani anazeeka vibaya, hapa msemo huo unaweza kutumika ukaleta maana
 
Huyu mzee kauli zake huwa ni kuongeza tatizo badala ya kutatua, kweli laana ya kuiba wake za watu ni mbaya sana
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.
Tutamkata mapembe mchochezi mkubwa.
 
Huu ni mtihani mwingine wa kifikra kwa slaa, hivi anadhani ataendelea kuwahadaa wananchi kupitia matatizo yao hadi lini??? Kwa hiyo anashangilia vifo vya askari na mali za umma zilizoharibiwa???

Mwingine huyu huku,Sifa yenu kubwa wanaCCM ni kutokielewa kitu kisha kupenda kukitolea maoni.Kwani alipowaambia wafuasi wake wakae kimya kwa dk kadhaa kuwaombea wahanga aliwaamanisha akina nani?
 
Huu ni mtihani mwingine wa kifikra kwa slaa, hivi anadhani ataendelea kuwahadaa wananchi kupitia matatizo yao hadi lini??? Kwa hiyo anashangilia vifo vya askari na mali za umma zilizoharibiwa???
Iwapo mnadhani ni Dr Slaa amehamasisha wananchi wa Mtwara nao waka-react kiasi hicho basi Dr Slaa ni jembe, ni tishio... anafaa!!
 
Wewe ni maskini wa fikra...aina ya bacteria chafu ndani ya chakula!!
Kama huna cha kuchangia kaa kimya! Humu unajivua nguo kwa comments zako

tatizo la macdm ni kujiona mnajua kila kitu,mawazo ya kibavicha.
 
Hebu wakuu tuwekeni ushabiki wa vyama pembeni kisha tusaidine jibu la swali hili; Hivi ni kwa nini serikali toka uhuru haikujikita katika kuleta maendeleo nchini kwa kuzingatia usawa katika mikoa yote,wilaya zote na kanda zote! kinyume chake baadhi ya mikoa waliiendeleza zaidi ya mingine? Nimejaribu kufanya tathmini ya mitaa iliyo mingi Mtwara mjini; nyumba zake zina hadhi duni kuliko hata nyumba za kijijini kwetu huko pembezoni kabisa mwa mkoa mmoja hivi hapa hapa Tanzania.Kwa nini hii ilikuwa na iko hivi?
 
Hiyo ya kusimama dakika moja ni mbwembwe ya kisiasa tu, wizi mtupu....unatoa kauli tata na za kichochezi halafu unawahadaa watu eti wasimame dakika moja, mbona umeliasi kanisa???





Weka mbali na wake za watu
 
Huyu naye apunguze unafki kidogo,lakini ndiko kwenye siasa panamfaa, maana dini ilimshinda pinda alikwenda mtwara akaa nao na kufikia muafaka na rais ali adress issue hii kwa public through speech yake ya mwezi,sasa tunataka wafanye nini zaidi? Jk alisema kama kunakuwapuuza watu wa mtwara basi yeye atakuwa mtz wa mwisho kufanya hvyo. Huyu slaa aangalie sana kauli zake maana ikitokea bahati mbaya wakaingia ikulu watu wanataraji mabomba ya maziwa

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
kwanza anatakiwa akamatwe kwa uchochezi na kauli mbiu zake za uchochezi mfano nchi haitatawalika,mpaka kieleweke.slaa ni janga la kitaifa.

Nawewe niwakukamatwa mbona ulilipua watu kanisani kule arusha. Nawewe tunakutafuta.
 
Hebu wakuu tuwekeni ushabiki wa vyama pembeni kisha tusaidine jibu la swali hili; Hivi ni kwa nini serikali toka uhuru haikujikita katika kuleta maendeleo nchini kwa kuzingatia usawa katika mikoa yote,wilaya zote na kanda zote! kinyume chake baadhi ya mikoa waliiendeleza zaidi ya mingine? Nimejaribu kufanya tathmini ya mitaa iliyo mingi Mtwara mjini; nyumba zake zina hadhi duni kuliko hata nyumba za kijijini kwetu huko pembezoni kabisa mwa mkoa mmoja hivi hapa hapa Tanzania.Kwa nini hii ilikuwa na iko hivi?
Kwenu ni kilimanjaro??? Leo ndio unajifanya unawapenda wana mtwara kinafiki??? Sio nyie mnaosema kaskazini ijitenge??? Acha usanii wa kisiasa mkuu
 
laana kutoka kwa nani..?

Hivi bado mnadhani slaa alishinda ... Znz kura hazikutosha.. Miji ya pwani hana umaarufu.. Labda kaskazini huko


Utapigwa na bomu lenye kishindo
 
kwanza anatakiwa akamatwe kwa uchochezi na kauli mbiu zake za uchochezi mfano nchi haitatawalika,mpaka kieleweke.slaa ni janga la kitaifa.
Povu la nini we gamba? Iwapo unawashwa si uende mahakamani??? unamtaka nani akukamatie?
 
huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.
hahahaaaa

kweli sarah alikua sahihi kusema ficha upumbavu wako..

Hivi dini ni nini??
uaidlifu ni nini?
kujitenga na mungu ni kupi??
uovu ndani ya kanisa ni upi hasa??


nadhani kakasamu umepotea
 
Nawewe niwakukamatwa mbona ulilipua watu kanisani kule arusha. Nawewe tunakutafuta.
Kumbe huyu ni kilema wa arusha mjini ee??? Anayafanya halafu anakimbilia kwenye media kuchafua wengine, angepataje ushahidi aliotakiwa kupeleka bungeni??
 
hahahaaaa

kweli sarah alikua sahihi kusema ficha upumbavu wako..

Hivi dini ni nini??
uaidlifu ni nini?
kujitenga na mungu ni kupi??
uovu ndani ya kanisa ni upi hasa??


nadhani kakasamu umepotea

Unajipofusha na kuziba masikio kwa pamba ee??? Kuiba mke wa mtu na kuvunja ndoa, kuasi kanisa na kula pesa za ujio wa papa huku ukijiita padre kwako ni mazuri hayo??
 
Dr.m Slaa siwezi kumshangaa kwa kauli yake hiyo.

Lakini NAMLAUMU SANA JK KWA "UJINGA" WAKE WA KUDHANI KILA KITU NI KAULI INAYOPITA AU NI UPEPO UNAPEPEA NA UTAPITA.

MARA BAADA YA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2010. DR. SLAA ALIKUWA ANATOA KAULI NYINGI ZA KULETA UCHOCHEZI MOJA YA KAULI HIYO ALIWAHI KUSEMA KUWA ATAHAKIKISHA NCHI HII HAITAWALIKI" NA MATOKEO YAKE TUNAYAONA.

INGEKUWA NCHI YENYE RAIS MAKINI NA MWELEWA KWA KAULI YA DR. SLAA YA KUHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI NI UHAINI ANGEKAMATWA NA KUWEKWA KIZUWIZINI NA HATIMAE ASEME MAANA YAKE NINI ANAPOSEMA NCHI HAITAWALIKI. NA ANGEHUSISHWA KWA KILA JAMBO LINALOLETA MATATIZO YA KIULINZI NA KIUSALAMA KATIKA NCHI. LKN MASKINI RAIS WETU PENGINE ANADHANI UHAINI NI MTU KUCHIKA BUNDUKI NA KWENDA KUPIGANA VITA ILI APINDUE NCHI, MASIKINI RAIS WETU HAJUWI KAULI INA NGUVU KULIKO HIYO BUNDUKI.
 
Back
Top Bottom