kwanza anatakiwa akamatwe kwa uchochezi na kauli mbiu zake za uchochezi mfano nchi haitatawalika,mpaka kieleweke.slaa ni janga la kitaifa.
haya nenda kachukue book saba msomi mzima unajidharilisha namna hiyo au pale UDOM ulikuwa unasindikiza watu
kwanza anatakiwa akamatwe kwa uchochezi na kauli mbiu zake za uchochezi mfano nchi haitatawalika,mpaka kieleweke.slaa ni janga la kitaifa.
kauli za slaa siyo za kujenga daima huwa ni za kubomoa siku zote sielewi nia yake ni nini.
Tatizo la Kikwete ni kuongoza nchi kwa nguvu za giza bila kumtegemea Mungu. Sheikh Yahya alipotamka hadharani kwamba amemtumia majeshi ya mapepo ili kumlinda alichekelea na kuyapokea kwa shangwe, hoihoi, vifijo na ndelemo bila kujua madhara yake. Sasa hayo mapepo ndiyo yanayomtafuna!!
Bado mnabishana tu na watoto wa Mungu?Jibu la swali lako hata wewe unalijualaana kutoka kwa nani..?
Hivi bado mnadhani slaa alishinda ... Znz kura hazikutosha.. Miji ya pwani hana umaarufu.. Labda kaskazini huko
laana kutoka kwa nani..?
Hivi bado mnadhani slaa alishinda ... Znz kura hazikutosha.. Miji ya pwani hana umaarufu.. Labda kaskazini huko
Kweli nyie ni mabingwa wa kusingizia watu, hapo kwenye Bold hivi hata hilo nalo alisababisha Slaa kweli, aliyewambia washeikh, maskofu na wachungaji kwambva wenye mamlaka ya kuchinja nchi hii ni Waislam nadhani ndiye aliyesabiasha mgogoro, tena alizungumzia Hotelini, hawa walikua viongozi wa chama cha magamba, pale Mwanza, naomba nikukumbushe, wa kwanza ni Steven Wassira na bwana Ndikiro, hili la haki ya kuchinja mbona hata Sitta aliliyesema Bungeni alipokua akikaimu nafasi ya PM? Anywa, kusingizia watu wengine nyie mmeisha zoea, hata Nyerere aliisha singiziwa kua eti alifuta mahakama za Kadhi kumbe hata hazikuwepo.huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.
...Tumuombee asichoke aendelee kuchochea serikali iache kupiga risasi na kuua wanachi.huyu mzee anahangaika tu amechoka kuchochea suala la kuchinja sasa kahamia kwingine,swali dogo hivi mzee slaa na jk nani aliyejitenga na mungu,kwa sababu mzee slaa aliasi dini na kufanya uovu mwingi ndani ya kanisa sasa uko wapi uadilifu wa slaa.
kwanza anatakiwa akamatwe kwa uchochezi na kauli mbiu zake za uchochezi mfano nchi haitatawalika,mpaka kieleweke.slaa ni janga la kitaifa.
On Mtwara: Kikwete, Muhongo na Bunge - Mnayakumbuka haya?
linalojengwa ni bomba la kupeleka gesi kwenda kutumika kwenye viwanda vilivyopo dar es salaam,na pia matumizi mengine kama kupikia wananchi na pia kuzalishia umeme utakaoingia kwenye grid ya taifa...sasa hapa mrahaba sijui mrabaha unatokea wapi?na gesi itakayopitia hilo bomba ni asilimia 6 ya gesi yote.Mkuu [MENTION]kobello,[/MENTION] mbona hoja ya[MENTION] Mikael P Aweda[/MENTION] iko wazi.
Msome vizuri hasa kwenye red mkuu wangu.
Aweda ameweka kila kitu wazi.
1. Amekuuliza wanamtwara siyo watanzania? kama watanzania je hawana haki ya kudai kutekelezewa haki zao za msingi kutoka raslimali zinazopatikana katika mazingira yao kwanza na baada ya hapo zikawanufaishe na ndugu zao mikowa mingine. Serikali inapotosha kwamba wanamtwara wanazuia gesi huu ni uzushi na uwongo mkubwa.
2. swala la pili Aweda anauliza kwanini serikali inaficha mikataba? iwe ya madini, kubinafsisha ardhi au gesi?? nasiyo inawaficha wananchi tu bali inawaficha hata wawakilishi wa wanachi yaani wabunge wao! Aweda anapendekeza mambo yawekwe hadharani ilitufahamu tunapata nini kwanini tunapata hicho na siyo zaidi.
-Je tunaendelea kupewa asilimia za mrahaba chini ya 5% na 95% kuondoka na wawekezaji? mkuu kobello unafahamu tutapata % kutoka mapato ya gesi?
-Je tunalipa gharama shahihi za unzenzi wa mitambo na bomba kwa ujumla (Value for money related to the actual cost of the project) au tunaibiwa kwa kulipa mara kumi au zaidi ya gharama halisi??
-Je wananchi kwanza wa maeneo husika na pili wanzania kwa ujumla watapata faida staihiki au magumashi kutoka mikataba hii??
Haya ndiyo mawazo na matazamo wa mkuu Aweda, hujaelewa nini bwana Kobello? [/COLOR]
Siyo mikataba yote ni lazima iwekwe wazi. Kibiashara baadhi ya makampuni hayataki kuweka mikataba yao public ....kuna mikataba ya kijeshi kati ya serikali (hao IMF na WB wanashupalia hili) na serikal au na mashirika binafsi, na haiwekwi public.
Hata hivyo, linalojengwa ni pipeline, sasa wewe unatyaka mkataba gani? Wakujenga pipeline?? AU WA MATUMIZI YA GESI?? Mimi bado sijaelewa tatizo ni nini hasa.
Huu ni mtihani mwingine wa kifikra kwa slaa, hivi anadhani ataendelea kuwahadaa wananchi kupitia matatizo yao hadi lini??? Kwa hiyo anashangilia vifo vya askari na mali za umma zilizoharibiwa???
Huyu naye apunguze unafki kidogo,lakini ndiko kwenye siasa panamfaa, maana dini ilimshinda pinda alikwenda mtwara akaa nao na kufikia muafaka na rais ali adress issue hii kwa public through speech yake ya mwezi,sasa tunataka wafanye nini zaidi? Jk alisema kama kunakuwapuuza watu wa mtwara basi yeye atakuwa mtz wa mwisho kufanya hvyo. Huyu slaa aangalie sana kauli zake maana ikitokea bahati mbaya wakaingia ikulu watu wanataraji mabomba ya maziwa
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Ongeza na @Ngw'amapalala siku hizi kabadilika sana.mwenzio Ritz na ZeMarcopolo wameamua kurudi CDM baada ya kuona buku 7 haina thamani ya maisha ya watanzania wewe bado unahangaika lumumba?
wewe unaongea vitu bila hata kuweka ushahidi wa unachokisema,umekaririshwa.Zanzibar inawapiga kura wachache kuliko Ubungo Miji ya pwani hana umaarufu kwa waislamu wachache waliolishwa sumu kama wewe kwamba Slaa akishinda ataendesha nchi kama kanisa. Tuwe wakweli jamani kwa muhula ule wa kwanza wa Kikwete alivyoboronga ulimuondolea kabisa na kumfanya asiwe na personality ya kuwa Rais wa nchi kama alivyokuwa Mkapa, na huyu jamaa alipoona amefunikwa sana na utendaji wa mtangulizi wake ndo akaingiza propaganda za udini kwamba wanaomsema sana Kikwete wanamsema vibaya kwasababu ya dini yake, lakini ki ukweli mimi naifaham vizuri CCM utendaji wa Mkapa huwezi kuufananisha hata chembe na huyu mswahili, Nyie waislam ni wadhaifu sana kisaikolojia, kipindi watu wanamponda Mkapa kuhusiana na mgodi wa makaa ya mawe pale Kiwila sikuona mkristo aliye leta malalamiko ya udini, wapuuzi kweli nyie
Tatizo lako wewe unaongea sana hebu tupe mchanganuo wa michango ya M4C toka muanze kuwachangisha wananchi mmekusanya kiasi gani ni matumizi yake.
Hizo kura laki 2 za znbar nazo unahesabu? Kwa taarifa yako jk aliiba kura zaidi ya million moja. Mimi naamini siri itafichuka tu huko tuendako.