Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,129
- 4,285
Tatizo lako wewe unaongea sana hebu tupe mchanganuo wa michango ya M4C toka muanze kuwachangisha wananchi mmekusanya kiasi gani ni matumizi yake.
Mimi nilikuuliza kwa nini serikali inaficha mikataba, wewe wewe ukatoa majibu haya in red abve. Kwa hiyo, kwa kauli yako, wewe umekubali kwamba kuna wizi kwenye mikataba inayofichwa na unadhani mimi nisihoji sana wizi wenu kwa kuwa unadhani na sisi tuko kama ninyi.