Wala huitaji kufungua mioyo yao. Unaweza kuwajua tuu kwa kuangalia threads wanazochangia.
Alichosema Dkt Slaa hakina tofauti na tunachohoji hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kwete-muhongo-na-bunge-mnayakumbuka-haya.html
Mfano angalia posts kama hizi kwenye hii thread. Utanote wengi wameanza maneno "Huyu, Huu, Hiyo." In writing language this means a lot.
Lakini waliondika haya hawajakanyaga kwenye hii thread:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kwete-muhongo-na-bunge-mnayakumbuka-haya.html
Unafikiri ni kwa nini? Wengi watakuambia eti hizo ni thread za magriti thinka. Wao wanapenda zile nyepesi nyepesi za "huyu", "huyo", "yule", "nyie", na siyo "why", au "how".
Huitaji kisu wala shoka kupasua mioyo yao, ili kujua yaliyo mioyoni mwao. Their writing language tells everything.
Kama hujui kutumia writing language ya mtu kujua kama anachokisema ndicho anachokiami, inabidi uende kozi.