Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Rais wa WATU wa Tanzania Dr. Wilbroad Peter Slaa pamoja na Mbunge wa WATU wa Segerea Fredy Mpendazoe watanguruma siku ya Jumapili katika viwanja vya shule ya Msingi Liwiti iliyoko Tabata.
Watu wote munakaribishwa sana.
Nimekusahihisha kidogo Mkuu.
Source?
ngoja, tusikie dr wa ukweli atasema nini