AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Peoples..........................................
Power.............................................!
Power.............................................!
Chama= Chama cha MABWEPANDE!!! limejaaa wivu hilooo!!Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.
Chama
Gongo la mboto DSM
Molemo akili yako finyu sana hivi Kilombero ina wakazi wangapi mpaka iweke historia ambayo haiwezi kufutika katika Taifa ambalo linawakazi takribani mil. 40? historia ambayo haiwezi kufutika ni Dr. Slaa na wenzake kuigeuza Chadema saccos mkumbushe deni alilikopa saccos linatkiwa lilipwe.
Chama
Gongo la mboto DSM
Pipoz Pawa...Tanzania Tanzania...Pipoz Pawa.....chadema chadema chadema
Siyo lazima mpaka uone au uyashuhudie ndo utoe ushuhuda! Hata kwa kusikia na kufuatilia habari tu. Chama wa Gongo la Mboto huna jipya hapa! Katika medani za siasa hapa TZ kwa upinzani, CDM imepiga hatua kubwa sana! Usibdeze ukweli kwa sababu tu ya ushabiki na kupinga mambo yaliyo wazi kabisa!
chama Hizi ndio athari za kunywa mataputapu. Unashindwa kusoma hata kupapasa pia??
Nahisi ww ndo unamatatizo ukisoma vizuri hakuna sehem amesema haiwezi futika katika taifa. Ila kasema ni vigumu kufutika katika uzinduzi wa Operesheni Sangara. Ushabiki usikufumbe Macho
zitto Kabwe kama kawaida hakuepo....
Asante mkuu kwa kumpa darasa
Siyo lazima mpaka uone au uyashuhudie ndo utoe ushuhuda! Hata kwa kusikia na kufuatilia habari tu. Chama wa Gongo la Mboto huna jipya hapa! Katika medani za siasa hapa TZ kwa upinzani, CDM imepiga hatua kubwa sana! Usibdeze ukweli kwa sababu tu ya ushabiki na kupinga mambo yaliyo wazi kabisa!
watu wanakwenda kusikiliza mipasho na vijenbe,hao hao ukiwaambia kesho kuna semina ya ujasiamari ili wajiajiri hutwaona wote wamelewa,wakiambiwa mipasho na matumaini ya uongo wanajazana.
zitto Kabwe kama kawaida hakuepo....
Nadhan wewe Hata Darasani ulifeli!! Kwa kawaida kama kitongoji Kina watu 100,000 na ukaitishwa Mkutano na Turn out ikawa watu 70,000, hii ni 70% ya wakazi wamehudhuria!! na kama mji kama Dar Kuna watu 4,000,000 na ukaitisha Mkutano wakaja watu 100,000 Kati ya Hii mikutano upi umevunja Historia? Simple mathematics!! Ukiangalia Mkutano wa dar turn over ni 4% na Kwingine ni 70%. Amka ndugu yangu usiwe bado umedose!! Bravo Malemo!!
Chama,
Cha Majambazi eeh? Mijitu ya Chama Cha Mabwepande itaijua tu!
Hakika wewe unaonekana una IQ ya kuku haswa! Unapozungumzia idadi ya watu waliohudhuria inategemea idadi hiyo with reference to the same incidence at that particular area. Nakushangaa unapohusisha idadi ya watu zaidi ya milioni 40 walioko Tanzania na mahudhurio ya Kilombero! Je,Ulitaka watanzania wote waende Kilombero kwenye mkutano wa CDM ndiyo ukubali kwamba mkutano huo umeweka historia????????
Acha ubishi wa kipuuzi,ujingaujinga na ushabiki wa CCM: Chama Cha Majuha,Chama Cha Mafisadi,Chama Cha Majambazi na sasa Chama Cha Mabwepande. Hizo ndizo sifa cha Chama chako! Unatakiwa ujifunze kwamba katika dunia hii mahali popote na wakti wowote mtu hata kama ni adui yako akifanya vizuri jaribu kukubali na kumpongeza pale alipokuzidi maana haikugharimu chochote.
Bila shaka umenipata mhe.Chama.