Dr. Slaa, Mbowe wanguruma!

Status
Not open for further replies.
Si unajua siasa za Tanzania? ni malumbano kwa kwenda mbele. 2010 imekaribia tutayasikia mengi sana!!

Lakini kumbuka huu ni mhimili wa tatu baada ya Bunge na serikali. Yaani habari.
Mimi nitafurahi kama kutakuwa na press conference kila siku maana huko tutapata mengi na vita ya panzi ni furaha ya nani???????
Wanao uhuru wa kusema na wasemee wapi ili watanzania wote tusikie kama tunavyojadili hapa? kwa vyovyote ni pale watakaposema na vyombo vya habari.
 
Unamzungumzia Badra? huyu dada ndo amehama kiajabuajabu nashangaa kusikia sasa yupo Tanesco... sasa huyu dada wa kirangi ana uhusiano gani na Lowassa?

Yes, Badra Masoud. Ni publicist mzuri sana.

Alipokuwa mwandishi wa habari, alikuwa mzuri sana. Lowassa &co wakaona wanaweza kumtumia kunyooshea mambo yao.

Assignment ya kwanza aliyopewa ilikuwa kumsaidia Bw. Kaaya, ambaye pia aliwekwa na Lowassa kule Dawasco, baada ya kuwatimua City Water. Umaarufu wa Badra uliishia alipojaribu kumchafua Dr. Mwakyembe kuwa mwizi wa maji.

Baada ya hapo akaingizwa Tanesco ili ku-control messages za Tanesco specificaly ile ya Richmond-Dowans.
 
Mwiba kwa habari ya ukabila Chadema umechemka maana nawe umeingia kwenye ule mtego wa Sultani kwamba hiki ni chama Chadema ni cha kikabila na chako Kafu ni cha kidini! je tuamini hivyo?

Huyu Mwiba naona anazidi kujichoma tu na miiba yake anajaribu kuamini kile anacho kikataa mwe!
 
Lakini kumbuka huu ni mhimili wa tatu baada ya Bunge na serikali. Yaani habari.
Mimi nitafurahi kama kutakuwa na press conference kila siku maana huko tutapata mengi na vita ya panzi ni furaha ya nani???????
Wanao uhuru wa kusema na wasemee wapi ili watanzania wote tusikie kama tunavyojadili hapa? kwa vyovyote ni pale watakaposema na vyombo vya habari.

Wanasema habari ni muhimili wa nne (unofficially), baada ya mitatu ya bunge, mahakama na serikali.
 
Ninakumbuka kuwa nilikuiwa mtu wa kwanza kuweka post hapa nikimuonya Zitto kuhusu yeye kuwa na msimamo juu ya Dowans ,na nilipoandika nilishambuliwa sana na baadhi ya watu na ambaye ninamkumbuka sana ni Omary Illyas.

Leo hapa kuna kitu kipya kimeanza kujitokeza hapa na kama unaweza kuangalia kwa umakini unaweza kusoma anachokiandika Mwiba ambaye ni kiongozi wa juu wa CUF, kuwa Zitto aende CUF ,hii kauli ichukulieni kwa uzito mkubwa.

Lipumba alijitokeza pale Kempinski akiwa anasema kuwa kununua mitambo ya Dowans hakuna tatizo kwani tumeshanunua mitambo mingi chakavu hivyo hakuna tatizo kununua mitambo ile.

Kuna haja ya kumuambia Zitto, kama amewahi kufanya mazungumzo ya kuhama CHADEMA na kujiunga na CUF anapaswa kujua kuwa huo ni uamuzi mbaya na utamuangamiza kabisa kisiasa na atafutika kwenye siasa za Nchi hii.

Zitto, anapaswa kujua kuwa kinachompa umaarufui yeye ni pamoja na aina ya timu ambayo anafanya nayo kazi na vision ya hiyo timu hivyo yafaa ajiulize marambilimbili, kwani ameijenga CHADEMA na anayofursa ya kukua zaidi akiwa huko kama ataacha kushauriwa na watu ambao hawataki kumwambia ukweli juu ya jambo ambalo analifanya na kulipigia chapuo.

Kwa taarifa nilizonazo ni kuwa washauri wa Zitto na haswa ambao anawatumia kufanya media spinning ni watu ambao hawana uzoefu katika kufanya mambo hayo, anapaswa kujua kuwa kazi ya media spinning is a proffession na sio kitu cha kumchukua tuu mtu ama kwa sababu anayotaaluma ya kuandika habari na au makala.

Nimemaliza kusema na kuonya , asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
 
Kiranja:

Leo hapa kuna kitu kipya kimeanza kujitokeza hapa na kama unaweza kuangalia kwa umakini unaweza kusoma anachokiandika Mwiba ambaye ni kiongozi wa juu wa CUF

- Whaaat Mwiba ni kiongozi wa juu wa CUF hii ni kweli au Sasa mzee thibitisha hili au kubali umekurupuka!
 
Kiranja,
Mkuu mbona wanitishaaaa! nikisoma ya Zitto na haya ya Mwiba naona kama sinema vile!..
Ama kweli!.. najuta kukujua mkuu wangu..
 
- Nani wanaosema, mkuu hapa ni zero tolerance nani wanasema?

Umeshaipenda zero tolerance tayari eeh? Kumbuka inakata kuwili hiyo.

Intelligentsia,Opus Dei, Skulls and Bones, Medusa,The Council of Nicea, Columbia Journalism Review, The New York Times, Time Magazine, Politico, Montesquieu,Thomas Carlyle, Edmund Burke,Jeffrey Archer Thomas Macaulay, Meier Schlesinger Jr, Johnson Mbwambo, Abdul Mtemvu, Maggid Mjengwa...
 
Umeshaipenda zero tolerance tayari eeh? Kumbuka inakata kuwili hiyo.

Intelligentsia,Opus Dei, Skulls and Bones, Medusa,The Council of Nicea, Columbia Journalism Review, The New York Times, Time Magazine, Politico, Montesquieu,Thomas Carlyle, Edmund Burke,Jeffrey Archer Thomas Macaulay, Meier Schlesinger Jr, Johnson Mbwambo, Abdul Mtemvu...

- Off course ninazimia sana na kaulimtu, ahsante sana kwa hili la wanaosema.
 
Nimeanza kufanya Zoezi la kulenga kichwa chenye MVI NYINGI na kile cha ki Bamasinde ili akikosekana sniper kazi niifanye mwenyewe kwa mkono wangu.
Hatuwezi kufanywa wajinga mara mbili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom