Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,387
- 10,964
CHADEMA kwa Arusha wana majimbo mawili, Karatu na Arusha Mjini; kwa Manyara wana jimbo moja, Mbulu. Hivyo wana majimbo matatu Arusha na ManyaraKwani Dar kuna uchaguzi wapi? List of shame ilifukuliwa wapi vile; Mwembeyanga na si Dar! MaJimbo ya Kawe na Ubungo yako Arusha siku hizi, lakini cha kushangaza Arusha na Manyara, CDM wana majimbo mawili tu!