Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,247
Vile "vilivyojengwa" kwa pesa ya SABODO vinazinduliwa lini?
Vinasubiri hadi fedha za Escrow zirudishwe kwanza
Vile "vilivyojengwa" kwa pesa ya SABODO vinazinduliwa lini?
Atakuwa anatafuta mke mwingine wa mtu kazi yake kuvizia wake za watu.
raheli = La Kheri
Hvi Kyela nako kuna shida ya maji? Iweje chadema hiyo hiyo chini ya kamanda Mnyika inashindwa kuleta maji ubungo?
Mkuu molemo Mungu akubariki sana kwa habari hii njema sana kwa sisi wanakyela , japokuwa sijapata lunch bado lakini kwa uzi huu nahisi kushiba mno ! Asante Dr Slaa kwa kuwarudishia wana kyela japo muda wako tu , ikumbukwe kwamba Dr slaa ni rais wa kyela , ALISHINDA KWA KISHINDO 2010 .
Chadema wameshindwa kuzindua miradi ya maji Ubungo kwenye shida ya maji wanaenda Kyela ambako hamna shida ya maji. Kyela hamna shida ya maji
Asanteni Sana wana Kyela....Kwa wale wanaomtaka Mwakyembe Waambieni wambebe Kyela hamu mtaki tena.....
VIVA CHADEMA.
Atakuwa anatafuta mke mwingine wa mtu kazi yake kuvizia wake za watu.[/QUOT
si yuko na mama yako
Filipo we ni kuboko ya buku 7
Sabodo alitoa mamilioni cdm ikafisadi! Au ndo zmepelekwa kyela
Kuboko = Kiboko
Kwa mbali nauona ukomboz kwa wazalendo wa nchi hii ukitukarbia "EE MUNGU ZIDI KUTUSAIDIA"
Freedom is coming now
Msalani=chooraheli = La Kheri
watu kama wewe ni shida sana kueleweka; nimekuona kwenye uzi mwengine ukichangia kuwa rais mwaka huu kutoka ccm lazima awe mkirsto, lakini huku umekuja kivingine. hivi huu udini utawafikisha wapi?kila la heri rais wa awamu ya tano tanzania
Sabodo alitoa mamilioni cdm ikafisadi! Au ndo zmepelekwa kyela