Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Imeshindwa kitambo sana , serikali mpya ya UKAWA inayotawala mji mdogo wa kyela haitaki kabisa ujinga huu .

....Hapa itakuwa Msoga wana shida ya maji ile mbaya mbuzi , mbwa na binadam kisima kimoja !!!

attachment.php
 
Mkuu samahani naomba kuuliza.
Hivi hizi sifa mnazommwagia Slaa huwa ni jokes au mko Serious?

ni jokes mtu mkuu umewahi kusikia kilemba cha ukoka? ndio anavalishwa huyu babu
 
Back
Top Bottom