Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Hvi Kyela nako kuna shida ya maji? Iweje chadema hiyo hiyo chini ya kamanda Mnyika inashindwa kuleta maji ubungo?

Kwani ni wapi serikali yenu imeweza kupeleka Maji? Au kwa vile unakaa Moshi unaenjoy mafanikio ya cdm ndio unadhani ni kila mahali? Tulieni tuwaoneshe kazi zinavyofanywa kwa vitendo!
 
Mpala ju kyala , tunawashukuru sana wananchi wa kyela kwa kuiamini chadema , na matunda yake mmeyaona , wiki 2 visima tayari ! Swali ni je kama tukiwapa hawa cdm miaka mitano maendeleo ya kyela yatakuwaje ? Nakuhakikishieni kwamba kutakuwa na lami kutoka Ngana mpaka kapamisya , ngyekye , matema , bukinga hadi njugilo , tukuti ndaga kyala gwe ubatwele abha chadema mwa kyela .
 
Chadema wameshindwa kuzindua miradi ya maji Ubungo kwenye shida ya maji wanaenda Kyela ambako hamna shida ya maji. Kyela hamna shida ya maji

Iulize serikali yenu ya escrow inayoongoza Kinondoni. Hapa tunazungumzia serikali ya mji mdogo kyela ambayo inaongozwa na cdm!
 
Mpinga ufisadi yoyote lazima ataungana na Dr. Slaa asante sana wananchi kwa kua na imani na Dr. Tumeanza kuelewana
 
Hvi Kyela nako kuna shida ya maji? Iweje chadema hiyo hiyo chini ya kamanda Mnyika inashindwa kuleta maji ubungo?

Wewe jamaa ni mzigo, acha kupost ujinga wako tutakuumbua siku moja humu.
 
Kwani ni wapi serikali yenu imeweza kupeleka Maji? Au kwa vile unakaa Moshi unaenjoy mafanikio ya cdm ndio unadhani ni kila mahali? Tulieni tuwaoneshe kazi zinavyofanywa kwa vitendo!

Asante Filipo Kwa hili jibu lako sidhani kama huyu adui wa Warioba atarudi tena!
 
Last edited by a moderator:
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa anatarajiwa kuzindua visima sita vya maji katika jimbo la Kyela.

Akizungumza na wanahabari kiongozi wa Chadema Kyela na Mjumbe wa mkutano mkuu Taifa Abraham Mwamanyaki amesema visima hivyo vimefufuliwa na Chadema mara tu baada ya kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa Vijiji na kufanikiwa kuongoza halmashauri ya mji wa Kyela.

Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na CCM yenye madiwani wengi walishindwa kufufua visima hivyo kwa madai hamna hela kutokana na ufisadi mkubwa uliopo ndani ya Halmashauri hiyo.

Dr Slaa amealikwa kuzindua visima hivyo kutokana na maombi ya wananchi wa Kyela ambao wana imani kubwa Dr Slaa ndiye atakayekuwa Rais wa awamu ya tano.
Mkuu molemo Mungu akubariki sana kwa habari hii njema sana kwa sisi wanakyela , japokuwa sijapata lunch bado lakini kwa uzi huu nahisi kushiba mno ! Asante Dr Slaa kwa kuwarudishia wana kyela japo muda wako tu , ikumbukwe kwamba Dr slaa ni rais wa kyela , ALISHINDA KWA KISHINDO 2010 .
 
Atakuwa anatafuta mke mwingine wa mtu kazi yake kuvizia wake za watu.

ni makubaliano yao,
tunamtaka Dk, sio hao waliokupa hela ujitoe akili na kutetea wanaonunua urais,
 
Asanteni Sana wana Kyela....Kwa wale wanaomtaka Mwakyembe Waambieni wambebe Kyela hamu mtaki tena.....

VIVA CHADEMA.
 
Asanteni Sana wana Kyela....Kwa wale wanaomtaka Mwakyembe Waambieni wambebe Kyela hamu mtaki tena.....

VIVA CHADEMA.
Mwakyembe yule mbunge wa treni na meli za dar es salaam ? Huku imebaki stori .
 
Back
Top Bottom