Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Chadema wameshindwa kuzindua miradi ya maji Ubungo kwenye shida ya maji wanaenda Kyela ambako hamna shida ya maji. Kyela hamna shida ya maji
 
Mkuu, hivi Mbowe alibeba fedha zake kwa njia ipi vile?

tatizo lowasa hakupewa ndio maana huna kiki na wewe ni mdogo sana hapo unafaa ubwatukaji ila mambo ya bilioni wewe huusiki ccm ina wenyewe wewe kama toilet paper
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa anatarajiwa kuzindua visima sita vya maji katika jimbo la Kyela.

Akizungumza na wanahabari kiongozi wa Chadema Kyela na Mjumbecwa mkutano mkuu amesema visima hivyo vimefufuliwa na Chadema mara tu baada ya kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi wa Vijiji na kufanikiwa kuongoza halmashauri ya mji wa Kyela.

Mbunge wa Kyela Harrison Mwakyembe na CCM yenye madiwani wengi walishindwa kufufua visima hivyo kwa madai hamna hela kutokana na ufisadi mkubwa uliopo ndani ya Halmashauri hiyo.

Dr Slaa amealikwa kuzindua visima hivyo kutokana na maombi ya wananchi wa Kyela ambao wana imani kubwa Dr Slaa ndiye atakayekuwa Rais wa awamu ya tano.

Nani Wile, labda rais wa wazinzi.
 
Safi sana makamanda hakikisheni madiwani mnapata 80% na mbunge atokane na ukawa.
 
Back
Top Bottom