Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Dr Slaa kuzindua miradi ya maji Kyela

Sina povu mkuu namhurumia babu slaa na uzee wake ndiyo anashtuka mzee wa failure upadri na urais pia mtamuua mzee wa watu

Unajua hata Ngombe akichinjwa wakati roho inatoka anarusha rusha miguu nilishasema huu moto nimpaka uchaguzi mkuu
 
Mkuu, hivi Mbowe alibeba fedha zake kwa njia ipi vile?

Kumbe ni Mbowe aliyebeba zaidi ya bil 70 kupitia Stanbic anayeogopwa kutajwa na Kikwete? lakini anamuonea Tibaijuka aliyeiba bil1.6?
Nimekushtukia we utakuwa BAVICHA wewe - umeamua kumsema rais wetu kuwa ni DHAIFU.
 
Unajua hata Ngombe akichinjwa wakati roho inatoka anarusha rusha miguu nilishasema huu moto nimpaka uchaguzi mkuu

Baada ya uchaguzi atakuwepo mh EL huyo msimchukulie poa poa kama JK mtakufa kibudu
 
Habari njema sana hii,,, ccm yamebanwa balaaa,,, na bado mpaka mtoe funza mwaka huu. Go ukawa.... go CDM... GOOOOOOO
 
Mkuu ukawa ndiyo nini? Au ni kitu gani? Kwahiyo chadema umaarufu hakuna wameamua kujificha nyuma ya ukawa?

Naona joto la hapo Lumumba ukichanganya na hivyo vibuyu linakunyevua nyevua.. mesikia dr. Slaa povu mtafikiri mnafua watanzania wameshawashtukia na wanasema NO kwa Mafisadi
 
Hvi Kyela nako kuna shida ya maji? Iweje chadema hiyo hiyo chini ya kamanda Mnyika inashindwa kuleta maji ubungo?

Suala la Maji Ubungo limebeba sura ya kitaifa zaidi! Dar yote inakabiliwa na tatizo sugu la maji. Binafsi naona kama Mnyoka amejitahidi sana kupambana kwa ajili ya Dar kwani mfumo wa maji unaoleta maji ni mmoja na umekumbatiwa na ukiritimba mkubwa wenye harufu ya kisiasa ili kukandamiza jitihada zake. Mimi naishi ubungo na hakika kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita hali ilikuwa mbaya mno. Angalau hali imetengamaa kidogo sasa. Sina uhakika kama ni endelevu au ni kwa muda tu. Tusubiri tuone.
 
Hebu tuwekane sawa. Hivi halmashauri inaongozwa na wenyeviti wa mitaa? Wapi nafasi ya madiwani?

Tangu umeongoza kundi haramu la kutaka kumuua Mzee Warioba nimekuona ni sawa na taahira tu!
 
Hvi Kyela nako kuna shida ya maji? Iweje chadema hiyo hiyo chini ya kamanda Mnyika inashindwa kuleta maji ubungo?

Huna hata aibu.Nikisikiliza Clip yako ya kumtukana matusi ya nguoni Lowassa nakudharau sana.

Pamoja na kuwa na Itikadi tofauti na Lowassa lakini siwezi kumtusi kwani ni Mzee sawa na baba yangu.

Sasa wewe kwa kuwa kundi la Samwel Sitta tu unaona ni sawa sawa kumvunjia heshima Lowassa kiasi kile.

Hakika umelaaniwa!
 
Povu la nini? Ukoo wa panya mwisho wake october mwaka huu

Hiyo ndio october ya mwisho kwa kibabu, kikiona matokeo na uzee ule kitadondoka kwa presha. Ccm haina mpinzani labda atoke ndani ya ccm na asitoke kwa visa.
 
Unajua hata Ngombe akichinjwa wakati roho inatoka anarusha rusha miguu nilishasema huu moto nimpaka uchaguzi mkuu

Nyie mtazimia mkiona matokeo ya uchaguzi mkuu au mtakufa kabisaa, wananchi kwenye chaguzi ndogo hawana presha na wanayemchgua maana wataishi naye mtaani, lakini urais, hakuna mwananchi anaweza kutest kumpa nchi mtu ajifunze kuongoza. Slaa hana woga wa kuongoza kazi ya Mungu ndio atakuwa na woga kwa wananchi! Hakuna anachoweza zaidi ya maandamano.
 
Back
Top Bottom