Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
Hiyo inaitwa onjeni muone chadema ilivyo nzuri. CCM imeshika nchi hii miaka 35 maji bado tatizo ubungo...achana na vijiji pembezoni! Nayalivyo makorofi yanawatesa wanaubungo kwa sababu za ovyo kabisa.
Hivi mnafitini Mnyika ili mweke nani nafasi hiyo.....hata hamwezi kuona umuhimu wa Mnyika Bungeni?...Tusipokuwa macho ccm watajaza mazezeta bungeni!
Hivi mnafitini Mnyika ili mweke nani nafasi hiyo.....hata hamwezi kuona umuhimu wa Mnyika Bungeni?...Tusipokuwa macho ccm watajaza mazezeta bungeni!