Dr Slaa kutikisa Same Jumanne

Dr Slaa kutikisa Same Jumanne

Wao wakeshe JF sisi kwa wananchi na kupiga kazi tu...

Crashwise,Hakika ni kweli Dr Slaa anaonekana ana mkakati mzito mwaka huu.Mkakati ambao ni wazi huenda ukakizika chama cha Mapinduzi.

Huwa ninajiuliza mbona Dr Slaa hachuji kisiasa? Ana bahati gani au ni Siri gani iliyoko nyuma ya mvuto wake.?
 
Last edited by a moderator:
Crashwise,Hakika ni kweli Dr Slaa anaonekana ana mkakati mzito mwaka huu.Mkakati ambao ni wazi huenda ukakizika chama cha Mapinduzi.

Huwa ninajiuliza mbona Dr Slaa hachuji kisiasa? Ana bahati gani au ni Siri gani iliyoko nyuma ya mvuto wake.?
Kipindi kama hichi Mrema alikuwa ameshatekezwa na CCM. Nafikiri hii PHD ya Dr anaitumia vizuri sana kusoma Nyakati na nini sisi wananchi tunahitaji. Sultani kikwete sasa hivi kachuja kuliko Mrema anabebwa na huo Urais wa Kupora kura tu.
 
Jamani afike basi na huko kwa anayeitwa Mathayo D Mathayo mana kuna hali ngumu
 
Huyo Lemutuz ndiye mtu wa kumpuuza kabisa.
Mzee anayekaribia miaka 60 lakini hekima haimo kabisa ndani yake.
Anashindana na watoto wa Sutani Makamba(Januari Makamba) wakati anamzidi Januari na miaka 20 kwi! kwi! kwi! teh! teh! wakati wenzake wanasoma yeye alikuwa anakula burger
 
Jamani afike basi na huko kwa anayeitwa Mathayo D Mathayo mana kuna hali ngumu
Mkuu Mdau35 haitwi Mathayo D Mathayo jina Lake halisi ni Mathayo Cleopa Msuya alibadilisha jina kuficha Usultani wa kupeana vyeo
 
Last edited by a moderator:
Yule mama yake wa kambo wa LEMUTUZ atakuwa keshatia timu kutengeneza mambo,mama mchawi sana yule
 
Wao wakeshe JF sisi kwa wananchi na kupiga kazi tu...

Hii mbinu ya CDM imetulia,wahakikishe wanapita kijiji hadi kijiji kwenye majimbo yote yanayotawaliwa na maCCM (mwanga,Same magharibi na mashariki,moshi vijijini na Siha). Hii itasaidia 2015 kuyatwaa yote,
 
Mzee Le Mutuz akisikia hii, ilhali anajua kuwa wanaishi na kutanua mjini kwa fedha za ubunge wa huyu mama, nadhani atadondoka Pressure!
 
Wao wakeshe JF sisi kwa wananchi na kupiga kazi tu...

Magamba kwisha kazi, 2015 ni kwenda kutimiza tuu matakwa ya kikatiba ila kwa sasa ni kwamba chadema ndio inaongoza nchi!
 
Hii mbinu ya CDM imetulia,wahakikishe wanapita kijiji hadi kijiji kwenye majimbo yote yanayotawaliwa na maCCM (mwanga,Same magharibi na mashariki,moshi vijijini na Siha). Hii itasaidia 2015 kuyatwaa yote,

kuna takiwa utafiti kwa nn tulipoteza jimbo la moshi vijijini! huwa naamini siku zote tulishinda jimbo hili!!
 
kuna takiwa utafiti kwa nn tulipoteza jimbo la moshi vijijini! huwa naamini siku zote tulishinda jimbo hili!!

Sekretariati ya chama ipokee na kupitia taarifa ya chama wilayani humo na then kufanya recommendation
 
wana Same tunamuomba Dr.W.Slaa atembelee eneo la Chome ambako kuna uharibifu mkubwa wa mazingira kutokana na mradi wa uchimbaji wa madini ya bauxite. tunaiomba Chadema iliangalie suala hili kwa umakini zaidi kwasababu mazingira ya msitu wa Shengena ambao ndiyo chanzo cha maji kwa wilaya nzima ya Same yanaathiriwa kwa kiasi kikubwa. athari za uharibifu huo wa mazingira umeanza kuonekana katika mto Saseni.

tunawaomba CHADEMA waliwasilishe tena suala hili BUNGENI, pamoja na kwa wanaharakati wa mazingira ndani na nje ya nchi. suala hili lilifika bungeni ambapo mbunge wa Same Mashariki, Mama Kilango Malecela alidai ana video zinazoonyesha uharibifu wa mazingira msitu wa Chome. WAZIRI MKUU alitoa amri bungeni kwamba uchimbaji wa bauxite usimamishwe, kitu ambacho kilifanyika. Muda mfupi baada ya kikao cha bunge kuisha, mwekezaji amekwenda baraza la mazingira na kupata barua ya kutengua agizo la Waziri Mkuu, na sasa hivi uchimbaji unaendelea kwa kasi ya kutisha.

Wananchi tunataka kujua huyu mwekezaji ametoa wapi kiburi cha kutengua amri na maagizo ya Waziri Mkuu? Je, kwanini Waziri Mkuu, Waziri wa Mazingira, pamoja na wabunge wa Same[Malecela, Mathayo] wote wamekaa kimya huku maisha ya wananchi yakiathirika kiasi hiki? Je, viongozi hao wamenunuliwa?? Serikali iko wapi? CCM iko wapi?

Kwasababu wabunge wa CCM wameshindwa kutusaidia wananchi wa Same sasa tunaomba msaada wa Chadema tuone na nyinyi mtatusaidia vipi.

nakala: Zitto, John Mnyika, Mikael P Aweda, Josephine, Molemo, Mwita Maranya, Edwin Mtei, MTENGETI, Nape Nnauye
 
Last edited by a moderator:
Hii mbinu ya CDM imetulia,wahakikishe wanapita kijiji hadi kijiji kwenye majimbo yote yanayotawaliwa na maCCM (mwanga,Same magharibi na mashariki,moshi vijijini na Siha). Hii itasaidia 2015 kuyatwaa yote,
Chadema Arusha na Kilimanjaro ndiko nyumbani bana.
 
Mmm, wengine wanaimba mgogoro, wengine wanapeta. Mambo hayo, 2015 tutajua mgogoro ni nini?
 
Back
Top Bottom