Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 623
- 378
Dr Slaa hajafika Same? Mbona kimya huko?
Mchawi wake yupo sehemu inaitwa MSARANGA kule Kihurio. Unavuka ziwa Karamba, halafu unakwenda ndani kidogo kama unaelekea Mkundi ya Mnazi. Watu walisha wahi muona akigagula mtupu. Uongozi kaaaazi kweli kweli.
Le Mutus na Tentemeke ni ndugu?eeh! Akiwa mtupu? My foot. Sina imani na huyu age mate wa Le Mutuz
Endelea tu kutujuza Kamanda yaani ni full shangwe kupata mawasiliano.wajumbe wa ccm kata ya mshewa..wenyeviti watatu wamejivua gamba..ccm hali mbaya hapa!!
anamwambia OCD aache kutumika na maccm,kushusha bendera ya chama na umbumbu wa kichwa!!Dr.ni nouma aisee!!simu yangu ya mchina nashindwa kuupload picha aisee!!
Taarifa nzuri sanaHongereni makamanda wa Hedaru, hakikisheni CCM inakuwa Chama cha Upinzani kuanzia katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2014. "NYIKA NA VOME"