Dr.SLAA kumbe Kibaraka!

Tatizo hapa ni ujinga kana kwamba out of approximately 46 millions people of Tanzania SLAA he is the only SMARTER ishy.......what ever comes out his mouth ni sahihi tuna akili zetu Bwana
Kwa Uwezo gani basi na elimu gani basi

Hoja hapa ni je Libya itastawi iwapo kuna uncensored weapons kila kona na nini madhara yake kwa uongozi ujao

Pili, je kila Hawa mabwana wakubwa wanachotuaminisha na kututaka kukifuate what are the long term outcomes.

Tatu
 
Tatu , tuluaminisha kua saadam ana silaha za maangamizi (weapons of mass destruction zilipatikana.

Suala hapa ni ku outline well defined disciplines that will guide our leaders whether it be chdm or CCM or Cuf ambazo tutaongozwa nazo

Lingine ni kwamba Libya kuna mikono ya waume wa dunia. US,UK and FRANCE sasa Hawa. NTC wanatakiwa kupokea maelekezo toka Kwao na wamegawanyika there is some who are loyal to FRANCE some UK and Some US and at different occasion they both recruited their puppets and they supported them kwahiyo na Hawa waume hawana kificho as far as interest is concerned ... National interest should be served first at any cost.....

Sasa wasiwasi wa wanao mshangaa na kumuita SLAA kibaraka ni kua anafadhikiwa Sanaa na Hawa waume inawaje kwa wenye akili timamu hawakutarajia SLAA amlilie Ghadaf ila ni kwamba pengine hawajui hii ngoma inavyichezwa...

Angalizo

Sio SLAA pekee ndio mwenye akili nchi hii na yeye sio suluhisho la matatizo yetu Tanzania
Tuchangie Bila kuvutwa na hisia kua anaekosoa yoyote ni CCM na chadema ndio wazalendo kuliko wengine wote siamini.
 
iVI UNAAKILI WEWE AU? UNAWAZAJE KUMFANANISHA DR. NA HUYO MTOTO.... NDO MASABURI NINI
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
 
changia maada kama wewe mjanja usikurupuke...tunahitaji AFRIKA HURU siyo kuletewa vichaa wa madaraka kama anavyofikiria SLAA.WE NEED ONE VOICE OF AFRICA BY AFRICANS NO MATTER WHAT POOR WE ARE!!!GADAFI DID A LOTS FOR LIBYANS THAN WHAT HE HAD BN FAULTED

Dr. Slaa ni mlima Kilimanjaro Nape ni Kichuguu tu cha sisimizi
 
Tatu , tuluaminisha kua saadam ana silaha za maangamizi (weapons of mass destruction zilipatikana.

Suala hapa ni ku outline well defined disciplines that will guide our leaders whether it be chdm or CCM or Cuf ambazo tutaongozwa nazo

Lingine ni kwamba Libya kuna mikono ya waume wa dunia. US,UK and FRANCE sasa Hawa. NTC wanatakiwa kupokea maelekezo toka Kwao na wamegawanyika there is some who are loyal to FRANCE some UK and Some US and at different occasion they both recruited their puppets and they supported them kwahiyo na Hawa waume hawana kificho as far as interest is concerned ... National interest should be served first at any cost.....

Sasa wasiwasi wa wanao mshangaa na kumuita SLAA kibaraka ni kua anafadhikiwa Sanaa na Hawa waume inawaje kwa wenye akili timamu hawakutarajia SLAA amlilie Ghadaf ila ni kwamba pengine hawajui hii ngoma inavyichezwa...

Angalizo

Sio SLAA pekee ndio mwenye akili nchi hii na yeye sio suluhisho la matatizo yetu Tanzania
Tuchangie Bila kuvutwa na hisia kua anaekosoa yoyote ni CCM na chadema ndio wazalendo kuliko wengine wote siamini.

When I was a boy I was told that anybody could become President; I'm beginning to believe it.

MWALIMU NYERERE is the only president who didn't blame the previous administration for his troubles

Mankind will never see an end of trouble until... lovers of wisdom come to hold political power, or the holders of power... become lovers of wisdom.
 
Imekaa vizuri ingekuwa hivyo leo tusingetofautiana na Ivory Coast.time will tell kama Libya walichoka na mfumo wa kidictetor basi nasisi watanzania tutafika,tuko karibu meli inaelekea kuzama.

Thank you my First lady
 
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...

We Nyota ya Gamba, litazame swala la kifo cha Gaddafi (na kilichopelekea hadi waLibya wakamkataa) katika mtizamo wa kwamba wewe ni mLibya, na si mtTanzania au Mwafrika waliomtelekeza Gaddafi hadi akatoweka.
Walibya pamoja na kupewa kila kitu muhimu na utawala wa Gaddafi kumbuka hawakuwa mazuzu, wameelimika. Na ninaposema elimu ni katika elimu ya utambuzi kipi kizuri na kipi kibaya. Kwao kujikomba kulifika mwisho.
Gaddfai inasemekana kaacha akiba ya pesa taslimu 'cash deposit' inayolingana na Tshs. Trilllion 140, pesa ambayo inaweza kutuendesha sisi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi na mbili, kumbuka tuko zaidi ya watu millioni 40 ukilinganisha na milioni 7 za Libya!
Ni mlingano upi wa keki ya taifa wa kumpa mwananchi wa kawaida nyumba ya vyumba vitatu na kigari cha kifaransa kimoja na mfuta ya kila wiki? Habari zinakuwa censored, n.k
Watoto wa Gaddafi walikulia Ikulu wakijua Libya ni mali ya baba yao, na ajabu wale watoto tangia wansoma shule walikuwa wanakwenda na escort hadi walipokuwa wakubwa wanakubwa na body guards - hata wanapokuwa holiday Ulaya - hii ni kufuru kwa maskini wa kiafrika.
Matusi ya kuwatukana wanaume wa Libya eti hawawezi kuwa waaminifu hawawezi kuwa walinzi wake hadi akawa anaajiri wanwake kuwa ndo walinzi wake, uislamu gani huu?
Kwaujumla huyu mtu alikuwa na mtatizo kuliko hata ya Saddam, nakumbuka hadi alishawahi kuleta wanajeshi watupige enzi za vita vya Iddi Amini.
Alichopata ni saizi yake, wewe Gamba nambie viongozi wa Afrika walisema nini wakati wanamapinduzi wamekaza kamba zaidi ya kukaa kimya kwa sababu kila kiongozi anajua ana matatizo yake.
Hapa kwetu ufisadi umeshika kasi, wizi, rushwa nk.
 
changia maada kama wewe mjanja usikurupuke...tunahitaji AFRIKA HURU siyo kuletewa vichaa wa madaraka kama anavyofikiria SLAA.WE NEED ONE VOICE OF AFRICA BY AFRICANS NO MATTER WHAT POOR WE ARE!!!GADAFI DID A LOTS FOR LIBYANS THAN WHAT HE HAD BN FAULTED

This is how I fault GADDAFI

Gaddafi-Amin-in-Gulu-1973-bordered-500x343.jpg
 
nadhani huyu jamaa kaamua kuchekesha tuuuu. ukweli Gadafi alikua dicteta hata kama alisaidia baadhi ya watu wake. hata umsaidie mtu vipi, hakuna kosa baya kama kumnyima uhuru haswa wa kuongea.
 
Tuambie ni kwa vipi Dr anafikiria madaraka tu na kuwa hana uchungu na watanzania. Hapo utakuwa ni Great Thinker vinginevyo UNAKUWA loudspeaker tu with baseless arguments. Au basi tell us CCM imeibua ufisadi upi zaidi ya kukimbililia zile za Wapinzani. Huyo NAPE wako nilimsikia akikandia mikakati ya kuandamana kupinga kulipwa Dowans nikashangaa kweli. Eti wao ndo wako makini, wanaenda kukata rufaa na kwamba maandamano hayasaidii. Sasa kama mtu ana suport jitihada zako unakerwa na nini? maana hakuna anayepiga rufaa dhidi ya DOWANS. Lakini CCM wanacheza na akili za watanzania, hivi si ndo hao waliokaa kama CC na kukubaliana kulipa deni ndani ya Kamati kuu ya CCM? Halafu Chiligati anasema kama sheria inakubana unalipa tu. Mlimsikia Januari kwenye mdahalo, anasema ni mchezo wa kuigiza.Halafu mshamba huyu anatumia kifo cha Ghadafi kama mtaji wa kisiasa, idiot!!!.
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madara..
 
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...

Hawa ndio wanachama waliojiunga wakati wa uchaguzi wa Igunga....very stupid!!!
 
Hivi huyu Slaa ni Mungu naye ni binadamu anahisia zake na mitazamo yake pia hizo ni hisia zake. kwa hiyo mkuu acha kuwa na mawazo mgando
 
Hivi huyu Slaa ni Mungu naye ni binadamu anahisia zake na mitazamo yake pia hizo ni hisia zake. kwa hiyo mkuu acha kuwa na mawazo mgando

wanajf
issue ni principle. Kama mtu huna principle hutaweza kuhukumu jambo lolote kwa dhamira. I. Udikteta ni mbaya na unapaswa kukemewa bila kumumunya maneno. 2. Haki za binadamu zinapaswa kulindwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura,rangi,kabila au taifa la mkandamizaji. Wenye uwoga wa kuchukua maamuzi ni wale ambao kwa namna moja au nyingine ni beneficiaries wa udikteta huo. Ukiishi katika ukweli au unachoamini kwa dhati within limits humanly possible utaishi,kutenda na kunena uhuru.
 
wanajf
issue ni principle. Kama mtu huna principle hutaweza kuhukumu jambo lolote kwa dhamira. I. Udikteta ni mbaya na unapaswa kukemewa bila kumumunya maneno. 2. Haki za binadamu zinapaswa kulindwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura,rangi,kabila au taifa la mkandamizaji. Wenye uwoga wa kuchukua maamuzi ni wale ambao kwa namna moja au nyingine ni beneficiaries wa udikteta huo. Ukiishi katika ukweli au unachoamini kwa dhati within limits humanly possible utaishi,kutenda na kunena uhuru.

Pole na majukumu mheshimiwa,Tumekuelewa Doctor Wetu mpendwa ,watu wanataka kuleta falsafa ya Dictector mzuri na mbaya!
 
wanajf
issue ni principle. Kama mtu huna principle hutaweza kuhukumu jambo lolote kwa dhamira. I. Udikteta ni mbaya na unapaswa kukemewa bila kumumunya maneno. 2. Haki za binadamu zinapaswa kulindwa kwa nguvu zote bila kuangalia sura,rangi,kabila au taifa la mkandamizaji. Wenye uwoga wa kuchukua maamuzi ni wale ambao kwa namna moja au nyingine ni beneficiaries wa udikteta huo. Ukiishi katika ukweli au unachoamini kwa dhati within limits humanly possible utaishi,kutenda na kunena uhuru.

thanks Dr. kwa majibu yako yalioenda shule, wenye akili wameelewa ile hotuba ya Membe, ni hotuba ya kinafiki kwakweli.
ingekuwa enzi za utawala wa Nyerere nina hakika majeshi yetu yangeenda kusaidia ukombozi wa libya, japo nina mashaka kidogo na maisha ya hawa raia wa libya, isije kuwa wametoa dikteta wameingiza aina mpya ya udikteta.
 
thanks Dr. kwa majibu yako yalioenda shule, wenye akili wameelewa ile hotuba ya Membe, ni hotuba ya kinafiki kwakweli.
ingekuwa enzi za utawala wa Nyerere nina hakika majeshi yetu yangeenda kusaidia ukombozi wa libya, japo nina mashaka kidogo na maisha ya hawa raia wa libya, isije kuwa wametoa dikteta wameingiza aina mpya ya udikteta.

Zumbemkuu
Thanks. The problem is people tend not to look at issues with objevtivity needed. It is also sad when people confuse the issues. You never reach a definitive and objective conclusion from scrambled premises. Tutenganishe ubaya wa msingi na mema yaliyofanyika kwa kutumia rasilimali za Taifa, wakati huo huo uwema huo upimwe dhidi ya rasilimali zilizokuwa misappropriated.we need to look at such issues with unquestionable objectivity and put aside our ushabiki. Kuna mambo tunaweza kufanya ushabiki na utani na kuna mambo lazima tuwe serious. Maisha ya watu, haki za binadamu hazina cha kufananisha nayo.
 
Zumbemkuu
Thanks. The problem is people tend not to look at issues with objevtivity needed. It is also sad when people confuse the issues. You never reach a definitive and objective conclusion from scrambled premises. Tutenganishe ubaya wa msingi na mema yaliyofanyika kwa kutumia rasilimali za Taifa, wakati huo huo uwema huo upimwe dhidi ya rasilimali zilizokuwa misappropriated.we need to look at such issues with unquestionable objectivity and put aside our ushabiki. Kuna mambo tunaweza kufanya ushabiki na utani na kuna mambo lazima tuwe serious. Maisha ya watu, haki za binadamu hazina cha kufananisha nayo.

nakukubali sana jembe langu...ata kina kikwete wenyewe wanakukubali sema basi tu
 
Yeah! He did a LOT! PAmoja na Kushirikiana na Nduli IDD AMIN kuvamia Tanzania 1978 na hadi Anakufa hakuwahi Kutubu kosa hilo! Huyo ndiye shijaa wanaemsifu waTZ. SHAME!!!
 
Back
Top Bottom