Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
sasa mtu anajiita greenstar unategemea ashabikie makamanda, huyu bwana ametumia masaburi kufikiri..
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
sasa mtu anajiita greenstar unategemea ashabikie makamanda, huyu bwana ametumia masaburi kufikiri..
Duh! kweli hii kali! NAPE awe Rais?Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
Nimekuwa nikifatilia mitazamo ya wanasiasa ndani ya AFRIKA ambao wengi wao wamelaani kuuawawa kwa GADDAFI lakini bwana SLAA kwake ni furaha kama waasi wa LIBYA ndipo nikagundua SLAA ni kivuli cha MABEPARI ambao anadhani watamsaidia baadae! Bora ya NAPE anaweza akawatetea watanzania wanyonge kuliko wewe unayefikiria madaraka tu! NAPE jipange sawa sawa nakutabiria uje uwe RAIS wa TZ nyota yako inang'aa hadi mafisadi wanakuogopa kuliko upizani kwa vile upo makini sanaa...
..ni kweli mkuu. Nadhani watanzania wanamatatizo ya kifikra, uwezo wao wakufikiri ni mdogo haswa ktk mambo muhimu ya maendeleo. Na kwa mtaji huu TZ tusitegemee maendeleo au mabadiliko, kwani kizazi hiki ni waoga na wanapenda uchukulia mambo kwa historia kama vile CCM walivyokuwa wanatisha wapiga kura kwa kuonesha movie za mauaji ya rwanda. Na huu ndiyo mtaji wa CCM, nadhani solution ni kutengeneza masiha tu binafisi lakini siyo kuwafikiria watanzania,Ghaddafi anafahamika kua alikua Dikteta.
Unaweza kumsaport kua alitoa huduma mbalimbali bure hivyo ukampa credit zake nyingi tu kama huijui Libya,
Na labda umezoea hapa kwenu bongo kila kitu unalipia hata huduma muhimu, pamoja na kua unavipata kwa magumashi.
Lakini una uhakika kua hicho alichowapa Libya ndicho alichostahili kuwapa kutokana na uchumi wa Libya ulivyo?
Kumsifia Ghaddafi kwa aliyowafanyia Libya ni dalili kua Magamba yamekufilisi mawazo kiasi kwamba hata huduma muhimu ambazo ilitakiwa uzipate bure, wewe unaona ni sawa tu kuzilipia, hivyo nchi nyingine wanaozipata bure wanapendelewa.
Funguka mawazo, chukua mfano kidogo tu kua Tanzania katika kila mapato ya 20Unit, mnagawana na mafisadi 10 kwa 10,
Halafu libya mapato ya 100Units, Wananchi wachukue 30Units na Ghaddaf achukue 70Units, utasema wananchi wa Libya wasichukue hatua kwa kua wamepewa 30units tofauti na 10uliyopewa wewe?
Una uhakika hicho walichoachiwa wananchi wa Libya baada ya Ghaddaf kumega zake ni asilimia ngapi ya mapato yote ya nchi hiyo?
Ukiacha Uchumi na mambo ya Ufisadi alioufanya, unamtoa vipi Gaddaf katika masuala mazima ya kukiuka utu wa mtu kwa mauai aliyoyafanya?
Kama sababu za umasikini wa Tanzania ni pamoja na Vita tulivyopigana na Uganda ambapo yeye alikua dhidi yetu, leo amegeuka Mungu mtu kwa lipi hasa mpaka tumtetee?
Ya Ngoswe, .........!!!!!