NA SULEIMAN JONGO
KATIBU Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibroad Slaa, amekiri kuwa chama chake kimetozwa fain
Hatua hiyo imetokana na chama hicho kudaiwa kukwepa kulipa kodi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). za mishahara na posho za watumishi wake kwa miaka kadhaa. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam, jana, Dk. Slaa alisema TRA imeitoza CHADEMA faini ya sh. milioni 94. "Ni kweli tumepigwa faini na TRA kulipa sh. milioni 94...
Soma zaidi:
https://groups.google.com/forum/#!topic/wanabidii/t4tY0SbFlu0