FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Ni yupi mwenye akili timamu.mliye nae?
Kuna Ombaomba Mkubwa kumshinda Chief Mangungo?Nashangaa anakazana kuondoa ombaomba mjini kipindi alipokuja Obama ansahau yeye ni Ombaomba wa kiwango cha kimataifa.Anaidhalilisha nchi katika kiwango cha kimataifa.
Raia wanaoomba ndani ya nchi yao kwa watanzania wenzao wanawaondoa na kuwanyanyasa.Yeye anaomba hadi anahongwa suti.Hakuna fedheha kubwa zaidi ya hii
Si bora huyo umsemae anaenda kuiombea nchi, Slaa anaendaa kumuombea nani maana hata safari inasemekana siyo ya chadema. Hapo sasa.