Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Mpeleke basi makao makuu akamsaidie mchumba maana mchumba si muhasibu lakini ndio hivyo tena.
Wanawake kwa kupersue vitu wanavyovitamani au kushindana na wengine.....sasa wewe itakusaidia nini kumwita mke wa mtu mchumba?Ninawasikia wanawake wa kiswahili km wewe wengi tuu mjini wakiwasema wengine kuwa hawaendani na waume zao km vimada wao.Ninaopata muda nao huwa nawacheka sana..kwani hiyo kiburi ya kijinga ndio mategemeo yasiyofikiwa yanayoweza washikilia ktk maumivu haki kifo.Na hiyo ndio inawap wanaume wajanaj edge ya kuwafanay wawatumie hadi mwisho ...huku manunga embe yakidhani kuwa yanakomoa mama kubwa.
Josephine...atakufunika no matter what..jipe matumaini kwa chochote unachoweza dhani kuwa umemshinda....ila mwihso wa siku atakupiga bao bila ubishi.
Naona umeamua kutulete kaumbea fulani hivi.......kuna sheria nyingi sana zinazoongoza vyama vya kisiasa..pole sana.Mke wangu anafanya kazi anayopenda na si mbay aakipenda ya familia.