Dr. Slaa in Tunduma (photo)

Dr. Slaa in Tunduma (photo)

Safi.

Vibaraka Synovate wametoa utafiti wao wa maruhani.

Kinyume na hali halisi.

Katika pumba zao hakuna hata mahali wamedokeza kuhusu chama kinachoongoza kwa kubeba wafuasi kwa malori.
 
Mi sina neno zaid ya kusema Tusubiri oct 31, TUTAKAPO ICHAKACHUA CCM
 
Mungu wabari watanzania waendelee na moyo wa kutaka mabadiliko na uzidi kuwaepusha na udanganyifu wa Mafisadi
 
Kila siku nazidi kufarijika kwani watanzania wamechoka kuzugwa na hawadanganyiki tena.
 
Ni kweli pale border hawasikii, hawaambiwi, wala hawaelewi. Kwenye vinywa vyao ni Slaa, Silinde na chadema tu. Na ukitaka kila mtu pale akushangae tamka jina Siame au ccm. Hilo jimbo la Mbozi mashariki ccm imeshaandikiwa talaka kinachosubiriwa ni mda tu wa kuikabizi hiyo talaka. Itakabiziwa rasmi tarehe 31 ya hii october. CCM SII BABA YANGU WALA MAMA YANGU. by JK WA KWELI
 
Mugumu, Excelleent for a good post.

Bendera hii ni moja ya zile za vyama vya upinzani 2010. Mabadiliko ni lazima.

attachment.php
 
Hii sasa ni CHANGE na si CHENGE, ohh sorry, watu balaa, mzee wa kuanguka anapata hizi data kweli? ukiangalia mikutano ya DR Slaa kila mahali, Songea, Iringa, Mbeya, Arusha, Mara, Mwanza, Singida, kilimanjaro, kote ni balaaaa, watuuuuuuz, wengiiiiii, i don't know how to say it, in english Peopleez powerz.

JK anaona hizi picha kweli? Unaweza ukazimia puffffffffffffff....fffffffffffff, leteni maji, majii, where is DR Yahya, mpungeni upepo, hili ni jini, ooohhhh, call Dr Yahya, plse, puffffffffffffff....fffffffffff continue.

31 Oct Dr. Slaa nuru ya matumaini mapya.
 
CCM a.k.a Chama Cha Mafisadi kwa heri ya kuonana, wengi wape....nami naahidi kumchagua Chadema na Slaa wake, na diwani wake na mbunge pia.
 
Kwa wingi huo na imani kwamba saa ya ukombozi ni sasa..ile kasumba ya kwamba wingi wa watu sio kilelezo cha kukubalika na ushindi natumai ni propaganda za CCM kuhalalishaa wizi wao..mwaka huu TAFUTA KURA, PIGA KURA, LINDA KURA YAKO MPAKA KILEWEKEEEEE....

GO DR SLAAA, GO CHADEMA...
 
Haya jamani nimewaelewa ya kwamba sijapost kitu wala kuchangia kwa several weeks. Nilikuwa Sumbawanga na jana nikakutana na hii ya Dr. Slaa, mkiipenda nitawapa full coverage alivyoingia, mapokezi, hotuba na kishino chake. Je, niendeleze hapa au nifungue uzi mpya wa WPS in Swanga? Tazama hii jana na ninazo kibao tuuuuuuuu
051020102643.jpg
 
Mugumu, Excelleent for a good post.

Bendera hii ni moja ya zile za vyama vya upinzani 2010. Mabadiliko ni lazima.

attachment.php

Mkuu umenifanya niwaze taarifa za habari zitakavyokuwa...Chama cha upinzani cha CCM kimesema ....
 
watakiona cha moto waliozoea kula kutumia nguvu za wanyonge.watagawa kanga na tshirt na kura zetu hawapat.
 
haya jamani nimewaelewa ya kwamba sijapost kitu wala kuchangia kwa several weeks. Nilikuwa sumbawanga na jana nikakutana na hii ya dr. Slaa, mkiipenda nitawapa full coverage alivyoingia, mapokezi, hotuba na kishino chake. Je, niendeleze hapa au nifungue uzi mpya wa wps in swanga? Tazama hii jana na ninazo kibao tuuuuuuuu
View attachment 14802
mkuu tunazihitaji hizi pia, tupeni za sumbawanga any body help kuikuza hii picha.
 
Back
Top Bottom