Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Dr.Slaa: Eid izidi kutuunganisha Watanzania

Status
Not open for further replies.
Dini yetu haitaki wanafki.mzinzi,mwizi kama huyu slaa wenu
Mkuu kati ya kikwete na Dr. Slaa mwisilamu ni yupi? Tuambie kikweta ana wake wangapi mbona watoto kibao na je mama wa hawa watoto wote alishawahi kuwaoa?

Acha kutumia argument za kitoto hapa sisi ni watu tunaoweza kupambanua mambo! Kawandanganyeni huko vijijini lakini siyo hapa JF! Na huko vijijini siku hizi shule za kata zimeamusha watu mtapata shida sana maana hamwezi kutawala kama mnavyotaka, ni either mkubali kupote heshima yenu na utajiri mlioupta kwa kuwanyonya masikini wa nchi hii or msipo kubali kubadilika mtang'olewa tu ni swala la muda tu and God is watching!
 
Mkuu kati ya kikwete na Dr. Slaa mwisilamu ni yupi? Tuambie kikweta ana wake wangapi mbona watoto kibao na je mama wa hawa watoto wote alishawahi kuwaoa?

Acha kutumia argument za kitoto hapa sisi ni watu tunaoweza kupambanua mambo! Kawandanganyeni huko vijijini lakini siyo hapa JF! Na huko vijijini siku hizi shule za kata zimeamusha watu mtapata shida sana maana hamwezi kutawala kama mnavyotaka, ni either mkubali kupote heshima yenu na utajiri mlioupta kwa kuwanyonya masikini wa nchi hii or msipo kubali kubadilika mtang'olewa tu ni swala la muda tu and God is watching!

kwa maana hiyo unamtetea slaa kwa uzinzi wake na unafiki wake kwakuwa kikwete nae anatabia hizo?

Daima ukweli unauma sana,hiki kibabu kimeshindwa kutii kiapo cha kanisa na mungu wake.kwatamaa za kuzini na unafiki wake.Salam zake za kinafiki apeleke kwa makafiri wenzake huko
 
Chadema wameanza drama zao toka lini wakawapenda Waislam wakati wafuasi wao wanakesha JF kuwatukana Waislam, Dr.W.Slaa ni member humu JF kashindwa nini kuja na ID yake mwenyewe.

Na wewe ulipata kazi Uhamiaji?
 
Last edited by a moderator:
Mara kwa mara, tatizo lenu mnajificha baadae mnajitokeza kuushambulia uislamu

Mkuu swala la waislamu kujisikia hawapendwi nchi hii ni kitu ambacho hakina uhalisia na kama ukipewa uhuru wa kwenda kuthibitisha haya kwenye mahakama huru kama za kimataifa wewe mwenyewe ndugu yangu hutakuwa na cha kusema maana ni kitu cha kuambiwa na wala hujawahi kukiishi wewe! Hebu toa experience yako binafsi ni lini na wapi ulishawahi kubaguliwa? Tumekuwa na maraisi wawili wakristo na wawili waislamu, kama kungekuwa na kunyanyasika kwa waislamu au wakristo basi tungekuwa tulishapigana maana kila Raisi angeingia madarakani na kupendelea dini yake na kuwanyanyasa wengine. Kama waislamu kweli wangekuwa wanayanyaswa basi Maraisi wa kiislamu wasingepigiwa kura na wakristo kwa sababu wangehofia kulipiziwa kisasi!

Mkuu tuache kufikiri kama watu ambao hawajaenda darasani maana kama sisi tulioenda darasani tunaanza kuchochea udini kwa maandishi hapa JF basi wale ndugu zetu ambao hawakubahatika kusoma wao watafanya nini? Hawa ni watu wakuambiwa na kutekeleza hawatapata muda hata wa kutafakari athari zake maana tayari kwa umasikini na shida zao hawana cha kupoteza!
Unaweza kuona ni vizuri kutumia propaganda za udini ukidhani unaiharibia chadema lakini kumbuka madhara yake ni zaidi ya kuiharibia chadema, hata hao ccm hawatapata kitu maana kama watu wakijua chadema ni wakristo tu basi wakristo wote wataisupport chadema na hapo ndo utakuwa mmwanzo wa utungu na mtakuwa mmeshachelewa hamtaweza kuwarudisha watu nyuma tena!

Lakini sishangai sana maana wapo watu nadhani hawana matumaini tena , wamefika mwisho na kwao sasa hivi ni "Bora tukose wote"

Kama sisi watu wa kawaida tungejua kinachotafutwa basi tungekuwa makini sana na kauli zetu za kuwagawa watanzania kwa dini zao maana zitatuasili wenyewe na wala sio wengine!
 
Tena mnafiki kafiri anaunafuu kwasababu usha mjuwa.kuliko anaejidai mwislamu kumbe nimnafiki mkubwa kama hawa BAKWATA na ccm yao

Yani ww una frustrations zako za siku nyingi unaiparamia cdm. sasa Bakwata inaingiaje hapa?
 
Yani ww una frustrations zako za siku nyingi unaiparamia cdm. sasa Bakwata inaingiaje hapa?

Bakwata na cdm na ccm wote wanafiki raana iwe juu yao.mashekhe wa bakwata hawa ndio anao wasema lisu wala rushwa
 
Bakwata na cdm na ccm wote wanafiki raana iwe juu yao.mashekhe wa bakwata hawa ndio anao wasema lisu wala rushwa
Waislam mnapenda kulalamika kama akina mama, nyie kila siku ni kuonewa tu?
 
Kwa heshima na unyenyekevu, waumini wote walio funga funga za kweli na haki na kujifunza kwa kuyarejerea yale mafunzo mema ya kiislamu niiungane na waumini wengine kote nchini kuipokea salaam na heri ya Eid El Fitri kutoka kwa kiongozi huyu aliye onyesha upendo kwa kuungana na viongozi wengine kututakia sikukuu njema baada ya kuwa kwenye ibada na nguzo muhimu kwenye mafundisho ya dini yetu.

Eid Mubarak

ﻭَﺩَّ ﻛَﺜِﻴﺮٌ ﻣِﻦْ ﺃَﻫْﻞِ ﺍﻟْﻜِﺘَﺎﺏِ ﻟَﻮْ ﻳَﺮُﺩُّﻭﻧَﻜُﻢْ ﻣِﻦْ ﺑَﻌْﺪِ ﺇِﻳﻤَﺎﻧِﻜُﻢْ ﻛُﻔَّﺎﺭًﺍ ﺣَﺴَﺪًﺍ ﻣِﻦْ ﻋِﻨْﺪِ ﺃَﻧْﻔُﺴِﻬِﻢْ ﻣِﻦْ ﺑَﻌْﺪِ ﻣَﺎ ﺗَﺒَﻴَّﻦَ ﻟَﻬُﻢُ ﺍﻟْﺤَﻖُّ ۖ ﻓَﺎﻋْﻔُﻮﺍ ﻭَﺍﺻْﻔَﺤُﻮﺍ ﺣَﺘَّﻰٰ ﻳَﺄْﺗِﻲَ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﺑِﺄَﻣْﺮِﻩِ ۗ ﺇِﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪَ ﻋَﻠَﻰٰ ﻛُﻞِّ ﺷَﻲْءٍ ﻗَﺪِﻳﺮٌ

Wengi miongoni mwa watu wa Kitabu wanatamani lau wange kurudisheni nyinyi muwe makafiri baada ya kuamini kwenu, kwa ajili ya uhasidi uliomo ndani ya nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia Haki. Basi sameheni na wachilieni mbali mpaka Mwenyezi Mungu atapo leta amri yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.

ﻭَﻟَﻦْ ﺗَﺮْﺿَﻰٰ ﻋَﻨْﻚَ ﺍﻟْﻴَﻬُﻮﺩُ ﻭَﻻَ ﺍﻟﻨَّﺼَﺎﺭَﻯٰ ﺣَﺘَّﻰٰ ﺗَﺘَّﺒِﻊَ ﻣِﻠَّﺘَﻬُﻢْ ۗ ﻗُﻞْ ﺇِﻥَّ ﻫُﺪَﻯ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻫُﻮَ ﺍﻟْﻬُﺪَﻯٰ ۗ ﻭَﻟَﺌِﻦِ ﺍﺗَّﺒَﻌْﺖَ ﺃَﻫْﻮَﺍءَﻫُﻢْ ﺑَﻌْﺪَ ﺍﻟَّﺬِﻱ ﺟَﺎءَﻙَ ﻣِﻦَ ﺍﻟْﻌِﻠْﻢِ ۙ ﻣَﺎ ﻟَﻚَ ﻣِﻦَ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻣِﻦْ ﻭَﻟِﻲٍّ ﻭَﻻَ ﻧَﺼِﻴﺮٍ

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
ﻭَﺩَّ ﻛَﺜِﻴﺮٌ ﻣِﻦْ ﺃَﻫْﻞِ ﺍﻟْﻜِﺘَﺎﺏِ ﻟَﻮْ ﻳَﺮُﺩُّﻭﻧَﻜُﻢْ ﻣِﻦْ ﺑَﻌْﺪِ ﺇِﻳﻤَﺎﻧِﻜُﻢْ ﻛُﻔَّﺎﺭًﺍ ﺣَﺴَﺪًﺍ ﻣِﻦْ ﻋِﻨْﺪِ ﺃَﻧْﻔُﺴِﻬِﻢْ ﻣِﻦْ ﺑَﻌْﺪِ ﻣَﺎ ﺗَﺒَﻴَّﻦَ ﻟَﻬُﻢُ ﺍﻟْﺤَﻖُّ ۖ ﻓَﺎﻋْﻔُﻮﺍ ﻭَﺍﺻْﻔَﺤُﻮﺍ ﺣَﺘَّﻰٰ ﻳَﺄْﺗِﻲَ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﺑِﺄَﻣْﺮِﻩِ ۗ ﺇِﻥَّ ﺍﻟﻠَّﻪَ ﻋَﻠَﻰٰ ﻛُﻞِّ ﺷَﻲْءٍ ﻗَﺪِﻳﺮٌ

Wengi miongoni mwa watu wa Kitabu wanatamani lau wange kurudisheni nyinyi muwe makafiri baada ya kuamini kwenu, kwa ajili ya uhasidi uliomo ndani ya nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia Haki. Basi sameheni na wachilieni mbali mpaka Mwenyezi Mungu atapo leta amri yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.

ﻭَﻟَﻦْ ﺗَﺮْﺿَﻰٰ ﻋَﻨْﻚَ ﺍﻟْﻴَﻬُﻮﺩُ ﻭَﻻَ ﺍﻟﻨَّﺼَﺎﺭَﻯٰ ﺣَﺘَّﻰٰ ﺗَﺘَّﺒِﻊَ ﻣِﻠَّﺘَﻬُﻢْ ۗ ﻗُﻞْ ﺇِﻥَّ ﻫُﺪَﻯ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻫُﻮَ ﺍﻟْﻬُﺪَﻯٰ ۗ ﻭَﻟَﺌِﻦِ ﺍﺗَّﺒَﻌْﺖَ ﺃَﻫْﻮَﺍءَﻫُﻢْ ﺑَﻌْﺪَ ﺍﻟَّﺬِﻱ ﺟَﺎءَﻙَ ﻣِﻦَ ﺍﻟْﻌِﻠْﻢِ ۙ ﻣَﺎ ﻟَﻚَ ﻣِﻦَ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﻣِﻦْ ﻭَﻟِﻲٍّ ﻭَﻻَ ﻧَﺼِﻴﺮٍ

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

Allah akulipe kila lililo jema
 
Mi nikiwa subiani,
Au jini makatani,
Slaa atakuwa nani?
Si kama pepo jamani?

Pepo silika ya Nyani,
Haoni la kalioni,
Shingwe afanya unyani,
Haoni lilo takoni.

Timu ya Ufipani,
Nyota wake nyani,
Mzee wetu Makani,
Akumbukwa si utani.

Slaa wa Kinondoni,
Ni vampya jamani,
Yu dhaifu kwa Satini,
Muasi wa kanisani

Nani wani'ta Shetani?
Wewe mlala jaani?
Kilaza wa Ufipani,
Zukule la kaskazini.

Mimi nikiwa shetani,
Slaa atakuwa nani?
Alokimbia kanisani,
Kwa kushikwa ugoni,

Kwa kushikwa ugoni,
Akakimbia kanisani,
Kazamia bungeni,
Kaibukia Ufipani,

Kaibukia Ufipani,
Huyu Bwana fanani,
Uchumba waisha lini?
Ndoa atafunga lini?

Ndoa atafunga lini?
Au ni TIMU KUZINI?
Tumpeleke Magogoni,
Huyu Padri fanani?

Huyu Padri ni fanani,
Katu si mtu makini,
Tena tusimuamini,
Afadhali ya Nyani.

Wamtaka punguani?
Mwenye matobo rasini?
Alotoka kanisani,
Kaibukia Bungeni

Kaibukia bungeni,
Huyo ndio punguani,
Hana cha mno rasini
Ana matobo kichwani.

Ana matobo kichwani,
Kaacha demuye ndani,
Kaenda zake kuzini,
Kwa kahaba Josefini,

Kwa kahaba Josefini,
Aso na haya usoni
Mwenye mke kabaini,
Kaingizwa mjini.

Hajaenda Magogoni,
Amekuwa firauni,
Akifika Magogoni,
Atakuwa ni Jununi,

Atakuwa ni Jununi
Tena kubwa Maluuni,
Kuzidi Nduli Amini,
Aso faa kanisani.

Aso faa kanisani,
Na pia msikitini,
Mahala pake jaani,
Autimize uhayawani,

Autimize uhayawani,
Atie ndimi puani,
Kama ngo'mbe bomani,
Au mbuzi wa zizini.

Khaa!!! Tiririka mwanangu !!
 
Mimi namjua vizuri Dr.Slaa hawezi hata siku moja akawatakia heri Waislam huyu aliyeandika huu uzi ni Makene au Yericko, Dr.Slaa hana muda wa kuongea na Waislam ingekuwa Pasaka sawa.

Hapo ndo mnaponichekesha! Mmefunga mwezi mzima mkae mbali na dhambi kufungua tu mnaanza na ya uongo! Dr Slaa Humjui hakujui
 
Bakwata na cdm na ccm wote wanafiki raana iwe juu yao.mashekhe wa bakwata hawa ndio anao wasema lisu wala rushwa

Sasa Bakwata inahusika vipi na Chadema we mbwa mwenye udhu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom