Mnafiki ni mnafiki tu hata akiwa jk au slaa wote sawa tu.
Hapo umeandika point,hicho ndicho nilichomaanisha mtenda Unafiki ni mnafiki tu,haijarishi yupo upande upi.
Mnafiki ni mnafiki tu hata akiwa jk au slaa wote sawa tu.
Kwa heshima na unyenyekevu, waumini wote walio funga funga za kweli na haki na kujifunza kwa kuyarejerea yale mafunzo mema ya kiislamu niiungane na waumini wengine kote nchini kuipokea salaam na heri ya Eid El Fitri kutoka kwa kiongozi huyu aliye onyesha upendo kwa kuungana na viongozi wengine kututakia sikukuu njema baada ya kuwa kwenye ibada na nguzo muhimu kwenye mafundisho ya dini yetu.
Eid Mubarak
huyu kafiri anatakiwa apelekwe milembe
Hapo umeandika point,hicho ndicho nilichomaanisha mtenda Unafiki ni mnafiki tu,haijarishi yupo upande upi.
Wewe ni walewale.wanafki mnamkaribisha nyoka ndani akikuuma unaanza kumlaum mungu wako
huyu kafiri anatakiwa apelekwe milembe
Minal Faidhina Dr Slaa... Mshikamano ni Muhimu sana kwani Watanzania wote tunategemeana, wote tumepigika ile mbaya kutokana na Sera mbovu za CCM, Wote tunaingia Gharama kubwa kuwasomesha wanetu wakati ni Jukumu la Serikali, Wote tunakoseshwa Huduma muhimu za Kijamii kama Maji, Umeme, Barabara, huduma za afya, Wote tunahangaika kuwahudumia Wazee walioitumikia nchi hii na sasa wametelekezwa na Serikali ya CCM... Sisi Waislamu tunaumia zaidi na Dhulma ya CCM kutulazimishia BAKWATA isiyotetea Maslahi yetu! Sisi Waislam hatutaki favor ya aina yoyote bali tunataka HAKI sawa kwa wote... Minal Faidhina, karibuni tusherehekee pamoja huku tukijua kua majukumu muhimu mbele yetu ni Kuing'oa CCM na mizizi yake yote...
Minal Faidhina Dr Slaa... Mshikamano ni Muhimu sana kwani Watanzania wote tunategemeana, wote tumepigika ile mbaya kutokana na Sera mbovu za CCM, Wote tunaingia Gharama kubwa kuwasomesha wanetu wakati ni Jukumu la Serikali, Wote tunakoseshwa Huduma muhimu za Kijamii kama Maji, Umeme, Barabara, huduma za afya, Wote tunahangaika kuwahudumia Wazee walioitumikia nchi hii na sasa wametelekezwa na Serikali ya CCM... Sisi Waislamu tunaumia zaidi na Dhulma ya CCM kutulazimishia BAKWATA isiyotetea Maslahi yetu! Sisi Waislam hatutaki favor ya aina yoyote bali tunataka HAKI sawa kwa wote... Minal Faidhina, karibuni tusherehekee pamoja huku tukijua kua majukumu muhimu mbele yetu ni Kuing'oa CCM na mizizi yake yote...
Hoja za Udini ni kwa ajili ya Wapumbavu. Rais Slaa anatuusia Eid hii ituunganishe zaidi na kudumisha amani na upendo miongoni mwetu. Kwa watoto tujifunzeni
Ndugu waislaamu, na Watanzania wote kwa ujumla,
Awali yote napenda kutoa salaam za pekee kwa ndugu zetu Waislaamu ambao wanaungana na wenzao wa Dunia nzima kusherehekea sikukuu ya Eid baada ya kumalizia Mfungo Mtukufu wa Mwezi wa Ramadhan. Ni Imani yangu kuwa kutokana na Mfungo huo kila Muislam amepata Rehema zinazoambatana na Mfungo huo Mtukufu, lakini pia Nina Imani Taifa letu katika ujumla wake limenufaika na Rehema na Baraka za Mfungo huo Mtukufu. Tunamshukuru Mwenyeenzi Mungu kwa kila mmoja aliyejaliwa kufunga kumalizia Mfungo vizuri na kutekeleza nguzo hii muhimu katika Imani ya ki-Islamu.
Ninawatakia pia Watanzania wenzangu wote tuungane na ndugu zetu Waislamu kuungana kwa Upendo wa Mwenyeenzi Mungu katika kusherehekea sikukuu hii kwa Amani na Upendo Kama ilivyo desturi ya Watanzania. Kwa utamaduni wa kitanzania, tumezoea kusherehekea Sikukuu pamoja Kama ndugu, marafiki, majirani na jamii kwa ujumla. Hiki ni kipindi ambapo watoto wetu hutoka Mitaani wakicheza na kufurahia pamoja. Watoto wakila na kucheza pamoja kusherehekea sikukuu mbali mbali .
Ni Imani yangu kuwa sikukuu hii ya Eid itazidi kutuunganisha Watanzania kwa Upendo mkubwa na mshikamano, itatuleta pamoja kutafakari rehema za Mwenyeenzi Mungu na kutafuta namna ya kuondoa Tofauti zetu ndogondogo tukizingatia kuwa sisi sote ni viumbe wa Mwenyenzi Mungu! Ni kipindi cha kuonyesha Upendo wetu kwa wote wenye kuhitaji zaidi na kipindi cha kurejesha Amani na matumaini kwa walio katika hatari ya kukata tamaa katika maisha yao ya kila siku.
Nawatakia wote Heri ya Eid el Fitr.
Idd Mbarak!
Dr. W.P.Slaa
Nakupongeza kwa kazi nzuri! Imenivutia sana utangulizi huo, miezi 149 simchezo, ni utafiti makini japo sijakiona kitabu chote!
Hongeara!!
Unaweza kuni pm unipe contact zako kiongozi
kusema kweli ur gud, mwanzo 2 unanipa hamasa yajuendelea kutamani kukisoma kitabu chako. I wish kikiwatayari 2takipata.
Nice piece of work, kama unaweza fanya mpango uki-upload kwenye site za vitabu ili tupate mlo kamili.
Ndugu waislaamu, na Watanzania wote kwa ujumla,
Awali yote napenda kutoa salaam za pekee kwa ndugu zetu Waislaamu ambao wanaungana na wenzao wa Dunia nzima kusherehekea sikukuu ya Eid baada ya kumalizia Mfungo Mtukufu wa Mwezi wa Ramadhan. Ni Imani yangu kuwa kutokana na Mfungo huo kila Muislam amepata Rehema zinazoambatana na Mfungo huo Mtukufu, lakini pia Nina Imani Taifa letu katika ujumla wake limenufaika na Rehema na Baraka za Mfungo huo Mtukufu. Tunamshukuru Mwenyeenzi Mungu kwa kila mmoja aliyejaliwa kufunga kumalizia Mfungo vizuri na kutekeleza nguzo hii muhimu katika Imani ya ki-Islamu.
Ninawatakia pia Watanzania wenzangu wote tuungane na ndugu zetu Waislamu kuungana kwa Upendo wa Mwenyeenzi Mungu katika kusherehekea sikukuu hii kwa Amani na Upendo Kama ilivyo desturi ya Watanzania. Kwa utamaduni wa kitanzania, tumezoea kusherehekea Sikukuu pamoja Kama ndugu, marafiki, majirani na jamii kwa ujumla. Hiki ni kipindi ambapo watoto wetu hutoka Mitaani wakicheza na kufurahia pamoja. Watoto wakila na kucheza pamoja kusherehekea sikukuu mbali mbali .
Ni Imani yangu kuwa sikukuu hii ya Eid itazidi kutuunganisha Watanzania kwa Upendo mkubwa na mshikamano, itatuleta pamoja kutafakari rehema za Mwenyeenzi Mungu na kutafuta namna ya kuondoa Tofauti zetu ndogondogo tukizingatia kuwa sisi sote ni viumbe wa Mwenyenzi Mungu! Ni kipindi cha kuonyesha Upendo wetu kwa wote wenye kuhitaji zaidi na kipindi cha kurejesha Amani na matumaini kwa walio katika hatari ya kukata tamaa katika maisha yao ya kila siku.
Nawatakia wote Heri ya Eid el Fitr.
Idd Mbarak!
Dr. W.P.Slaa
Mi nikiwa subiani,
Au jini makatani,
Slaa atakuwa nani?
Si kama pepo jamani?
Pepo silika ya Nyani,
Haoni la kalioni,
Shingwe afanya unyani,
Haoni lilo takoni.
Timu ya Ufipani,
Nyota wake nyani,
Mzee wetu Makani,
Akumbukwa si utani.
Slaa wa Kinondoni,
Ni vampya jamani,
Yu dhaifu kwa Satini,
Muasi wa kanisani
Nani wani'ta Shetani?
Wewe mlala jaani?
Kilaza wa Ufipani,
Zukule la kaskazini.
Mimi nikiwa shetani,
Slaa atakuwa nani?
Alokimbia kanisani,
Kwa kushikwa ugoni,
Kwa kushikwa ugoni,
Akakimbia kanisani,
Kazamia bungeni,
Kaibukia Ufipani,
Kaibukia Ufipani,
Huyu Bwana fanani,
Uchumba waisha lini?
Ndoa atafunga lini?
Ndoa atafunga lini?
Au ni TIMU KUZINI?
Tumpeleke Magogoni,
Huyu Padri fanani?
Huyu Padri ni fanani,
Katu si mtu makini,
Tena tusimuamini,
Afadhali ya Nyani.
Wamtaka punguani?
Mwenye matobo rasini?
Alotoka kanisani,
Kaibukia Bungeni
Kaibukia bungeni,
Huyo ndio punguani,
Hana cha mno rasini
Ana matobo kichwani.
Ana matobo kichwani,
Kaacha demuye ndani,
Kaenda zake kuzini,
Kwa kahaba Josefini,
Kwa kahaba Josefini,
Aso na haya usoni
Mwenye mke kabaini,
Kaingizwa mjini.
Hajaenda Magogoni,
Amekuwa firauni,
Akifika Magogoni,
Atakuwa ni Jununi,
Atakuwa ni Jununi
Tena kubwa Maluuni,
Kuzidi Nduli Amini,
Aso faa kanisani.
Aso faa kanisani,
Na pia msikitini,
Mahala pake jaani,
Autimize uhayawani,
Autimize uhayawani,
Atie ndimi puani,
Kama ngo'mbe bomani,
Au mbuzi wa zizini.
Ndugu waislaamu, na Watanzania wote kwa ujumla,
Awali yote napenda kutoa salaam za pekee kwa ndugu zetu Waislaamu ambao wanaungana na wenzao wa Dunia nzima kusherehekea sikukuu ya Eid baada ya kumalizia Mfungo Mtukufu wa Mwezi wa Ramadhan. Ni Imani yangu kuwa kutokana na Mfungo huo kila Muislam amepata Rehema zinazoambatana na Mfungo huo Mtukufu, lakini pia Nina Imani Taifa letu katika ujumla wake limenufaika na Rehema na Baraka za Mfungo huo Mtukufu. Tunamshukuru Mwenyeenzi Mungu kwa kila mmoja aliyejaliwa kufunga kumalizia Mfungo vizuri na kutekeleza nguzo hii muhimu katika Imani ya ki-Islamu.
Ninawatakia pia Watanzania wenzangu wote tuungane na ndugu zetu Waislamu kuungana kwa Upendo wa Mwenyeenzi Mungu katika kusherehekea sikukuu hii kwa Amani na Upendo Kama ilivyo desturi ya Watanzania. Kwa utamaduni wa kitanzania, tumezoea kusherehekea Sikukuu pamoja Kama ndugu, marafiki, majirani na jamii kwa ujumla. Hiki ni kipindi ambapo watoto wetu hutoka Mitaani wakicheza na kufurahia pamoja. Watoto wakila na kucheza pamoja kusherehekea sikukuu mbali mbali .
Ni Imani yangu kuwa sikukuu hii ya Eid itazidi kutuunganisha Watanzania kwa Upendo mkubwa na mshikamano, itatuleta pamoja kutafakari rehema za Mwenyeenzi Mungu na kutafuta namna ya kuondoa Tofauti zetu ndogondogo tukizingatia kuwa sisi sote ni viumbe wa Mwenyenzi Mungu! Ni kipindi cha kuonyesha Upendo wetu kwa wote wenye kuhitaji zaidi na kipindi cha kurejesha Amani na matumaini kwa walio katika hatari ya kukata tamaa katika maisha yao ya kila siku.
Nawatakia wote Heri ya Eid el Fitr.
Idd Mbarak!
Dr. W.P.Slaa
Mimi namjua vizuri Dr.Slaa hawezi hata siku moja akawatakia heri Waislam huyu aliyeandika huu uzi ni Makene au Yericko, Dr.Slaa hana muda wa kuongea na Waislam ingekuwa Pasaka sawa.
ila salamu za pinda sawa? Ndugu zangu waislamu huu ni zaidi ya unafiki, pinda kuhutubia baraza la Eid sawa? Lakini dr. Slaa kutoa salam za Eid siyo! Hatuitendei haki dinh ya mwenyezi mungu wallahi.BABU Slaa ishia hapo hapo!, salamu zako peleka kanisa katoliki.
Unaongea hivyo wewe kama nani!
Waislamu hatutaki salamu za kafikir mzinz kama wewe!
BABU Slaa ishia hapo hapo!, salamu zako peleka kanisa katoliki.
Unaongea hivyo wewe kama nani!
Waislamu hatutaki salamu za kafikir mzinz kama wewe!