Guys kuna vitu vya kushabikia na vile vya kutanguliza utaifa mbele, Sasa akitokea mtu akaingiza ushabiki kwenye mambo ya kitaifa na kijamii kama haya KUMPUUZA ni jambo la msingi sana
Wala haipendezi kwenye mitandao hii ya kijamii wapo Wakenya,Wauganda,Rwanda nk wanatusoma na kutujaji..Sipati picha wanatuona ni watu wa aina gani? Kama tunaweza kumtusi mtu kwa just salam Kheri na maombi kwa taifa zima basi ni nini KINATUUNGANISHA watanzania?
Ni vema tukawapuuza watu wa namna hii,, Kumpuuza mtu ni fimbo tosha na Karipio kali lisilo tumia nguvu, usipomjibu mtu ktk ujinga wake anao uandika hapa lazima atajigundua kwamba yeye nie mjinga kiasi gani..
Nikushukuru sana Dr Slaa kwa kuwatakia kheri wenzetu Waislam na Watanzania kwa ujumla ktk kusheherekea sikukuu hii muhimu kwa Waislam wote duniani, Niungane pia na Dr kuwatakia wenzetu Waislam sikukuu njema na yenye baraka tele..........Amin
BACK TANGANYIKA