Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Zile anazozikusanya wao walipewa bure?

Chama
Gongo la mboto DSM

Wale watu wamepeleka kwa hiari yao kwa sababu hawataki kuwa na kumbukumbu ya ccm maishani mwao ingawa kadi hizo ni mali yao,mtu mzima unawezaje kumlazimisha akachukue kadi yake ali pohifadhi ije ichomwe?Tukirudi kwenye mada,umeelewa sasa kuwa kadi ni mali ya mtu na sio chama hivyo CCM hawana mamlaka kisheria kudai "kadi yao"?Kama umeelewa basi mshukuru Dr kwa kutoa tuisheni ya bure pia mwambie Nape hivi alirudisha lini cheti cha ubatizo cha kanisa la Lutheran alipobatizwa akingali mtoto?kwa sababu hivi sasa najua amebatizwa upya kwa maji mengi katika kanisa la EAGT ingawa "ulokole" wake una madoa mengi
 
hautaishi kwa kupandikiza chuki na kugawa watu kwa mithili ya kidini au ukabila ID unayotumia sio kinga dhidi ya laana itakayokupata

Laana utaipata wewe; mwambie ajaribu kugombea pesa za fomu nitatoa mimi halafu majibu yake atakuja JF kutupa

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wale watu wamepeleka kwa hiari yao kwa sababu hawataki kuwa na kumbukumbu ya ccm maishani mwao ingawa kadi hizo ni mali yao,mtu mzima unawezaje kumlazimisha akachukue kadi yake ali pohifadhi ije ichomwe?Tukirudi kwenye mada,umeelewa sasa kuwa kadi ni mali ya mtu na sio chama hivyo CCM hawana mamlaka kisheria kudai "kadi yao"?Kama umeelewa basi mshukuru Dr kwa kutoa tuisheni ya bure pia mwambie Nape hivi alirudisha lini cheti cha ubatizo cha kanisa la Lutheran alipobatizwa akingali mtoto?kwa sababu hivi sasa najua amebatizwa upya kwa maji mengi katika kanisa la EAGT ingawa "ulokole" wake una madoa mengi

Kwa hiyo yeye anahitaji zaidi kumbukumbu kuliko hao wenzake?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
kwani slaa amejadili mangapi ya kipuuzi na kuzunguka nchi nzima kuyanadi? jf vp? mnashindwa kupambanuwa mambo?

mambo aliyojadili ni haya:
1. list of shame-mafisadi
2. CCM imemtupa maskini wa tanzania na kukumbatia mafisadi
3. halmashauri zina mchwa wanaokula fedha za miradi

Endelea.......................
 
mbona umeshadanganyika kuwa yupo CCM. maneno yako yanadhihiri uwezo wako kiakili

Nimedanganyika vipi wakati amekiri mwenyewe kuwa kadi anayo... wakati huo yeye ni bingwa wa kukusanya za wenzake? How comes ukusanye za wenzako halafu wewe ya kwako usiichanganye na hizo, na ukabaki nayo? Halafu anakiri kuwa anayo baada ya kusemwa. Kwa nini asingejisema kabla kuwa yake anabaki na yake ya CCM kwa ajili ya ukumbusho wakati akichoma za wenzake? Au kwa nini asingewaambia wale waliomletea za kwao kutoka vyama vingine wabaki na zao kwa ajili ya ukumbusho wao?

Narudia tena Sidanganyiki....
 
huwa naheshimu michango yako lakini linapofika swala la wewe kuweka udini na ukabila hapo ndio huwa nakutoa kwenye fikra zangu kama great thinker. ipo siku mtu wa dini au kabila hilo hilo atakufanya ukumbuke kuwa maeneno yako ni laana na ningependa itokee kabla ya 31st december 2012

Tatizo lako unaniangalia mie niliyojibu, yeye ndiyo kanianza kwa maneno ya kejeli na mie ndiyo nikajibu. Mkatazeni.
 
The society that major in minor things! Watapepetwa na kina Nape kama hawako makini
 
Nimedanganyika vipi wakati amekiri mwenyewe kuwa kadi anayo... wakati huo yeye ni bingwa wa kukusanya za wenzake? How comes ukusanye za wenzako halafu wewe ya kwako usiichanganye na hizo, na ukabaki nayo? Halafu anakiri kuwa anayo baada ya kusemwa. Kwa nini asingejisema kabla kuwa yake anabaki na yake ya CCM kwa ajili ya ukumbusho wakati akichoma za wenzake? Au kwa nini asingewaambia wale waliomletea za kwao kutoka vyama vingine wabaki na zao kwa ajili ya ukumbusho wao?

Narudia tena Sidanganyiki....

.
Kwa hiyo hofu yenu juu ya Dr Slaa ni jinsi anvyozichoma moto kadi za vyama vingine?
Mwache azichome hasa hizi za sisiem kwani hiki chama kimetuingiza katika umasikini wa kifikra hadi wa material.
.
 
Ukiwa na kadi ya chama flani sio lazima kwamba ni mwanachama wa chama hicho, ni sawa na mtu aliyetunza kitambulisho cha chuo au shule aliyosoma hakimfanyi kuwa mwanafunzi, magamba acheni propaganda za kitoto.
 
Kwa mujibu wa Star tv kuwa Dr. Slaa amewambia badala ya kujadili mambo ya kitaifa kama wizi wa nyara za serikali kama wizi wa tembo watanzania wanajaditi kadi, badala ya kujadili kwa nini watu wanalala njaa watu wanajadili kadi, watu wanauwawa na polisi watu wanajadili kadi.

Dr. Slaa kawauliza hivi hao wanaotoa matamko mmewachunguza na kuwajua ni kina nani??

Ukiwatazama watu hao ni mbumbumbu wa sheria na hawajui wanachokifanya na tunapoteza taifa kwa mambo ya kipuuzi tunaacha kujadili mambo ya kitaifa na mafisadi wanatumia mwanya huo kuiba zaidi raslimali za taifa
Babu Huyu ni mamluki kishenzi Hana hoja akishinda kujiudhuru kwa hili hatuwezi kumpa nchi hii maaana ataonyesha uroho aw madaraka Kama alikosa uaminifu kwa dini yake Alizaa 1987 na 1989 Huku akiwa padri Huku ameziudhuru upadri 1992
 
Ladies and gentlemen '' the hardest people tp lead is yourself' shishiem walikwisha kukata tamaa muda mrefu,anagalia Mangula kaja na mbwebwe za kutoa mafisadi katulia, kaja kinana kakiona arusha akisema shishiem oyee watu wanatembea tembea. Nape muangalieni sasa hivi amenenepeana tumboni na chini ya mbavu, analipwa kwa mambo ya ovyo ovyo:majani7:
 
Sasa jamaa anayeitwa KISANDU katibu BAVICHA Tanga kushadadia swala hili itakuwaje?
 
Kwa mujibu wa Star tv kuwa Dr. Slaa amewambia badala ya kujadili mambo ya kitaifa kama wizi wa nyara za serikali kama wizi wa tembo watanzania wanajaditi kadi, badala ya kujadili kwa nini watu wanalala njaa watu wanajadili kadi, watu wanauwawa na polisi watu wanajadili kadi.

Dr. Slaa kawauliza hivi hao wanaotoa matamko mmewachunguza na kuwajua ni kina nani??

Ukiwatazama watu hao ni mbumbumbu wa sheria na hawajui wanachokifanya na tunapoteza taifa kwa mambo ya kipuuzi tunaacha kujadili mambo ya kitaifa na mafisadi wanatumia mwanya huo kuiba zaidi raslimali za taifa
slaa achaa na hizi pumba za kadi, endelea kuwaelemisha wananchi haki zao. kadi kitu gani bana, mi mwenyewe sina hizo kadi lakini nina chama kichwani.
 
.
Kwa hiyo hofu yenu juu ya Dr Slaa ni jinsi anvyozichoma moto kadi za vyama vingine?
Mwache azichome hasa hizi za sisiem kwani hiki chama kimetuingiza katika umasikini wa kifikra hadi wa material.
.

Kuzichoma kadi hata mimi naafiki sana. Tatizo langu ni kwa nini achome za wengine wakati ya kwake kaificha? Jinsi ilivyokaa kwa mtu anayetafakari kwa kina utaona huyu jamaa amekaa anapimia upepo. Akiona huku CDM kutamu ataendelea kuchakarika. Kukiwa kuchungu ndio wale wanaorudi na kusema nilikosea jamani, oooohhhh sijui hivi na vile.... nimeamua kurudi kwenye chama changu, si mnaona hata kadi sikurudisha? This guy is not a material type kwa CHADEMA kwa sasa. Tutafute atakayetufaa kwa wakati huu.
 
Back
Top Bottom