Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

zilikuja zikapendwa, zikapendwa zikaenda!
Najaribu kuzikumbuka santuri chache zilizo chezwa humu lakini kwa sasa ukiziweka hata kwenye "Mchina" hazisomi
1. Anaishi na mke wa mtu
2. Ana miriki na kulipia card yake ya ccm
3. Kawekewa pingamizi mahakamani
4. Mchonganishi
zipo nyingi tujikumbushe kwani ndio historia yenyewe ya jinsi cdm inavyo kwenda kulikomboa taifa hili. Na hii cd ya sasa ya Kigaidi itavunjika kabla ya kufanyiwa show!
 
* kajikopesha fedha. * alifukuzwa upadre.
* ni babu

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ndugu zanguni,

Nimekaa na kujiuliza , hivi kwa nini kila kukicha kinanuka ndani ya chadema?

Nimegundua kuwa hiki chama sio salama kabisa na haya yamedhihirishwa na katibu mkuu wake Dr Slaa kwa kuamua kubaki na kadi ya CCM kwani anajua tu iko siku kitanuka huko hivyo itabidi arudi nyumbani tu.

Chadema walifanya kosa kubwa kumpa Mbowe uenyekiti kwa sababu ya uwezo wake kifedha na haya ndio malipo yake. Kila siku ni timua timua... Anatimua wanachama na viongozi kama vile anavyotimua wahudumu wake pale bilicannas


JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Nimekaa na kujiuliza , hivi kwa nini kila kukicha kinanuka ndani ya chadema?

Nimegundua kuwa hiki chama sio salama kabisa na haya yamedhihirishwa na katibu mkuu wake Dr Slaa kwa kuamua kubaki na kadi ya CCM kwani anajua tu iko siku kitanuka huko hivyo itabidi arudi nyumbani tu.

Chadema walifanya kosa kubwa kumpa Mbowe uenyekiti kwa sababu ya uwezo wake kifedha na haya ndio malipo yake. Kila siku ni timua timua...


JITAMBUE!
Matokeo ya shule za kata na Division V, Why dont you pretend to have respect to elderly people. It lookd like you are one among the uncultured fellow? Why dont you ask your lovely Party to go around the country explain to all Tanzanians why are we poor in the midst of tremendous natural resources? Can you explain to us why are we not developed, Because the found fathers of the nation once said "For Tanzania to develop we basically needed four things, PEOPLE. LAND, GOOD POLICIES, AND GOOD GOVERNANCE" What is missing under the leadership of CCM for more than a half of the century?

Let us talk issues and not personalities, You are suffering from a disease called Slaaism, Mboweism and CHADEMAISM.

Pole Kamanda,
Njoo tujenge nchi bila Mafisadi ili tunufaike na raslimali zetu achana na madalali wa kuuza raslimali kwa wageni huku wakiwatukana watanzxania eti hawawezi kuwekeza kwenye gesi wafanye biashara ya Juice, eti tutumie Koroboi kama hatuwezi gharanmma za Umeme.

Pole kaka mkataa mila za kwao ni Mtumwa Nyerere alisema tuwe na SiaSA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA. Ninyi endeleeni kuwategemea wachina na Wamarekani "Ukicheka na Nyani utavuna mabua" KATHIBITISHE HAYA NIKWAMBIAYO BUHEMBA, NORTH MARA, NZEGA, MERERANI.

Wewe SHUHUDIA MAMBO YA MENNO YA TEMBO, MISITU, NA MADAWA YA KULEVYA. Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe, Kama angalau unayo akili ya kutosha utanielewa ila "La kuvunda halina......."
 
the same shit over and over again....CCm wana kazi kubwa sana...kama vijana wanaowategemea ndo hawa
 
Mwenyewe alisema "akiba haiozi" kumbe alikuwa anajua anachomaanisha...
Siku zite naamini kuwa Dr ana busara sana ukija kwenye masuala ya akiba na hazina.

Ndio maana huko Chadema analamba tu ruzuku na hela za sabodo kwani anajua hakuna future...
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Slaa amehojiwa na gazeti la Mwananchi (Ukurasa wa Sita gazeti la Leo Tar31.12.2013) amekili kuwa anakadi yq CCM hadi leo na haoni sababu ya kuitupa kwani ni mali yake na ameilipia.
"Katoba inaniruhusu,hakuna sehemu iliposema nikihama chama nirudishe kadi,niacheni".
MODS naomba Attachment hiyo muiweke vizuri isomeke yote.
 
Slaa ana akil I sana, anajua nyumba anayoishi sasa no ya barafu, jua likiwaka itapotea.

Hata Mimi nilipokuwa chadema sikurudisha kadi ya CCM, niliitunza kwani nilijua no muhimu kuliko gwanda
 
Na kwani akiwa nayo kuna shida gani wakati ndie mpinzani wa Ukweli
 
Slaa ana akil I sana, anajua nyumba anayoishi sasa no ya barafu, jua likiwaka itapotea.

Hata Mimi nilipokuwa chadema sikurudisha kadi, niliitunza kwani nilijua no muhimu kuliko gwanda
r-UGLY-MODELS-large570.jpg
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA
Slaa amehojiwa na gazeti la Mwananchi (Ukurasa wa Sita gazeti la Leo
Tar31.12.2013) amekili kuwa anakadi yq CCM hadi leo na haoni sababu ya
kuitupa kwani ni mali yake na ameilipia.
"Katoba inaniruhusu,hakuna sehemu iliposema nikihama chama nirudishe
kadi,niacheni".
MODS naomba Attachment hiyo muiweke vizuri isomeke yote.
huyo mzee nae ni gamba tu.alifanya kazi na tiss kupata majina ya mafisadi papa.ndo maana Zzk anakomaa nae.
 
Back
Top Bottom