Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Mkuu endelea kujifaragua na huku ukijipa matumaini yasiyokuwepo.
Ndani ya moyo wako mnajua kuwa mnalea yai viza.
Tatizo tu hamjui lina pasuka lini muifaidi hiyo hydrogen sulfide.

Halafu kama mwenda wazimu vile, unajikanganya sana kujieleza, while the allegations are bare.
Endekea kujifaragua wakati Fr analipia ada yake CCM.

Zile habari za wenawazimu wengine wanapobanwa wanaanza oho, shauri lako utachomwa na moto wa jehanum siku za mwisho, oh sijui unabishana na Mungu.Sasa ndio unaanza wehu kama huo.Haya ndio majibu unayoweza kuja nayo baad ay amatusi na kujifagilia kwa kiburi muda wote huu?Kweli unati ahuruma sana.

Rudi kamkumbushe Nape kuwa bado natapa aje na ushahidi kuwa malipo ya kadi yalifanywa na waliokuwa wakizishikilia hizo kadi.Umekimbia san ahii habari kwa vile una ubongo uliopikwa nusunusu kuhusu CCM.hujaona hili ni tatizo kubwa sana kuliko Nape na wewe unavyofikiri.
 
Mkuu endelea kujifaragua na huku ukijipa matumaini yasiyokuwepo.
Ndani ya moyo wako mnajua kuwa mnalea yai viza.
Tatizo tu hamjui lina pasuka lini muifaidi hiyo hydrogen sulfide.

Halafu kama mwenda wazimu vile, unajikanganya sana kujieleza, while the allegations are bare.
Endekea kujifaragua wakati Fr analipia ada yake CCM.
Still ni wewe unayehangaika na Slaa, kwa nini uhangaikie mtu anayekusaidia kummaliza nguvu mshindani wako? (Si unadai ni mamluki, endelea kumtumia mamluki wako)

Kwa nini ikuume wewe?

Nadhani ingepaswa kuwa concern kwa wanachadema na si kwako. Yaani "Pilipili usioila yakuwashiani?"

Kama problem ni Slaa anabomoa Chadema, sawa tumekusikia na tunasema ni propaganda.
 
CHAMI , Mtu wa Shamba, Nicholasnina kadi zenu za CCM katika tawi langu hapa Mchafukoge.
Ni nyie tu kusema nitawalipia ada.
CCM njema atakaye na aje.
Badili strategy kwanza. Achana na siasa za majitaka.

Mlianza na propanganda za udini na ukanda, bado m4c ikatinga hadi Mtwara na Lindi.

Mlishupalia mambo ya Upadri wa Slaa na mahusiana na Josephine/Rosemary bado hamjambandua mioyoni mwa wanachadema.

Mmetumia mabomu ya machozi na risasi za moto, bado mmeshindwa kuzuia kasi.

Mmejaribu kuwachonganisha viongozi wa chama, bado mmeshindwa.

Sasa hii ya kadi ni nyepesi saaaaaaaaaana haiingii akilini.

Ukiweza kufanya siasa za kuweka mikakati ya kuinua hali za maisha ya watanzania, ntakusikiliza. Lakini propaganda nyepesi nyepesi haziingii kabisa akilini mwangu.
 
Mimi SI MWANASHERIA ila common sense and the law of the jungle prevails.
But tha law can also be an ass!

Another CCM's bluff in progress to maintain Dodoma's declaration!

Kwanza sio kweli kama Dr Slaa alishindwa siasa za Karatu!Dr Slaa alimshinda incumbent Mzee Patrick Qorro kwa kura nyingi kwenye kura za maoni CCM lkn CC-Dodoma ikamrudisha Qorro na Dr Slaa akaenda upinzani na kushinda mara kiurahisi tu!Sasa mtu aliyeshindwa SIASA Karatu ikawaje awe anashinda Ubunge mfululizo?Kwa hapo umeonyesha ww ni mnazi tu wa CCM na upo tayari kugeuza ukweli kuwa uongo!

Hakuna hata uthibitisho mmoja unaonyesha kuwa Dr Slaa ni mamluki mbali na maneno ya HOVYO HOVYO kama haya eti Dr Slaa lishindwa siasa za karatu toka kwa Pro-CCM!

CCM leteni ushahidi kama Dr Slaa analipia kadi ya CCM na ndiyo utakuwa mwisho wa Dr Slaa kisiasa hasa ikithibitika kama ni kweli anailipia!

Kama issue ni kadi tu bila kuwa mwanachama hai mbona wengi tu wanazo!Nape HAJARUDISHA kadi ya CCJ;Waziri Wassira hajarudisha kadi ya NCCR na hata mm sijawahi rudisha kadi ya CCM nataka nije kuwaonyesha wanangu wakikua"ukatili wa mkoloni mweusi CCM kuigeuza TZ kama shamba la bibi"!
 
CHAMI , Mtu wa Shamba, Nicholasnina kadi zenu za CCM katika tawi langu hapa Mchafukoge.
Ni nyie tu kusema nitawalipia ada.
CCM njema atakaye na aje.

Duh..hapa ndipo umemalizia kila kitu.Jinsi gani umepoteza muda mrefu nasi hapa kumbe ni kauzu kama makauzu wengi wanaitwa CCM.

Kwa hiyo umeshanitengenezea kadi, na unaweza nilipia?Mnafanya hayo mazoezi mazi mara ngapi kwa mwaka?Ndicho Nape anachofanya kwa walioitosa CCM.After row CCM unachukua kad na hela, malipo ya nini sasa?Ahsante kwa kuthibitisha nilichokuwa nataka Nape athibitishe.
 
Duh..hapa ndipo umemalizia kila kitu.Jinsi gani umepoteza muda mrefu nasi hapa kumbe ni kauzu kama makauzu wengi wanaitwa CCM.

Kwa hiyo umeshanitengenezea kadi, na unaweza nilipia?Mnafanya hayo mazoezi mazi mara ngapi kwa mwaka?Ndicho Nape anachofanya kwa walioitosa CCM.After row CCM unachukua kad na hela, malipo ya nini sasa?Ahsante kwa kuthibitisha nilichokuwa nataka Nape athibitishe.
CHAMI, Mtu wa Shamba, Nicholas , you people know that you cant beat us, like Dr Slaa join us!
 
Last edited by a moderator:
Another CCM's bluff in progress to maintain Dodoma's declaration!

Kwanza sio kweli kama Dr Slaa alishindwa siasa za Karatu!Dr Slaa alimshinda incumbent Mzee Patrick Qorro kwa kura nyingi kwenye kura za maoni CCM lkn CC-Dodoma ikamrudisha Qorro na Dr Slaa akaenda upinzani na kushinda mara kiurahisi tu!Sasa mtu aliyeshindwa SIASA Karatu ikawaje awe anashinda Ubunge mfululizo?Kwa hapo umeonyesha ww ni mnazi tu wa CCM na upo tayari kugeuza ukweli kuwa uongo!

Hakuna hata uthibitisho mmoja unaonyesha kuwa Dr Slaa ni mamluki mbali na maneno ya HOVYO HOVYO kama haya eti Dr Slaa lishindwa siasa za karatu toka kwa Pro-CCM!

CCM leteni ushahidi kama Dr Slaa analipia kadi ya CCM na ndiyo utakuwa mwisho wa Dr Slaa kisiasa hasa ikithibitika kama ni kweli anailipia!

Kama issue ni kadi tu bila kuwa mwanachama hai mbona wengi tu wanazo!Nape HAJARUDISHA kadi ya CCJ;Waziri Wassira hajarudisha kadi ya NCCR na hata mm sijawahi rudisha kadi ya CCM nataka nije kuwaonyesha wanangu wakikua"ukatili wa mkoloni mweusi CCM kuigeuza TZ kama shamba la bibi"!

Nimeipenda hii, Kwani kama mtu akiwa amekata tiketi ya bus na baadaye katika safari yake akateseka sana na baadaye akaitunza ile tiketi kama kumbukumbu ya mateso aliyoyapata katika safari hiyo kuna ubaya?
 
ndio anayo na amekiri mwenyewe una lingine? kadi niyake wewe kikumacho ninini?
 
Kadi na uanachama wapi na wapi? Kuwa na kadi ni kigezo cha muhimu kwa uanachama lakini haitoshi. Inawezekana nikawa na kadi na kadi yenyewe ikawa kama pambo tu. Uanachama ni commitment, kama haipo utasemaje kuwa mimi ni mwanachama wa chama flani?
 
ili kujua idadi za kadi zenu ambazo hazijarudishwa ni vyema mkajaribu kuingia na kukagua rejista za wale waliopata kadi za chama chenu wakati wa chama kimoja ktk vikosi vya jeshi la kujenga taifa. Watajulikana hat wale ambao wanazo na hawalipii ada. Kwa jinsi mlivyoweza kumgudua Dr. Slaa kuwa na kadi yenu mtagundua na wengine wa aina yake kutoka kundi hili. Labda mkiwatambua itawasaidia kufikia lengo lenu
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.

Mbaya sana, nimejiona mjinga mi kadi yangu wakati nikiwa magamba niliirudisha kwa mbwembwe kwa Dr Slaa, sasa kumbe mwenzangu yake ya CCM anayo. Sipati majibu!
 
Kwa mujibu wa Star tv kuwa Dr. Slaa amewambia badala ya kujadili mambo ya kitaifa kama wizi wa nyara za serikali kama wizi wa tembo watanzania wanajaditi kadi, badala ya kujadili kwa nini watu wanalala njaa watu wanajadili kadi, watu wanauwawa na polisi watu wanajadili kadi.

Dr. Slaa kawauliza hivi hao wanaotoa matamko mmewachunguza na kuwajua ni kina nani??

Ukiwatazama watu hao ni mbumbumbu wa sheria na hawajui wanachokifanya na tunapoteza taifa kwa mambo ya kipuuzi tunaacha kujadili mambo ya kitaifa na mafisadi wanatumia mwanya huo kuiba zaidi raslimali za taifa
 
Back
Top Bottom