Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Me nafikiri umekimbia kuanzisha uzi ili uwe wa kwanza lakini uzi wako hauna nyama!
Source Star Tv
Source Star Tv
Source Star Tv
Kwa mujibu wa star tv kuwa Dr. Slaa amewambia badala ya kujadili mambo ya kitaifa kama wizi wa nyara za serikali kama wizi wa tembo watanzania wanajaditi kadi, badala ya kujadili kwa nini watu wanalala njaa watu wanajadili kadi, watu wanauwawa na polisi watu wanajadili kadi.
Dr. Slaa kawauliza hivi hao wanao toa matamko mmewachunguza na kuwajua ni kina nani??
Ukiwatazama watu hao ni mbumbumbu wa sheria na hawajui wanachokifanya na tunapoteza taifa kwa mambo ya kipuuzi tunaacha kujadili mambo ya kitaifa na mafisadi wanatumia mwanya huo kuiba zaidi raslimali za taifa
Pilau la Lumumba limekuvimbia hata hujui hapa watu wanajadili nini!!Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusa sijaona.
Wameumbuka sana.Sasa yule kijana aliyejinadi kuwa ana digrii ya sheria sijui atakuwa katika hali gani.Tusikubali kutoka kwenye mstari.Hoja ni mabadiliko tu
Amesema kwamba waTz wajiulize kuwa hao wanaosambaza maneno hayo wana vyeo gani, halafu wajiulize kama vyeo hivyo vipo, na kisha wajiulize kuwa watu hao wanalipwa na nani kwa maslahi ya nani.
Ameendelea kusema kuwa watu wanakwepeshwa kwenye mjadala wa kitaifa wa msingi kuhusu Elimu, ufisadi, maji na mambo mengine, na kuhamishiwa kwenye vitu visivyo na maslahi.
Sina hata la kuongeza hapa ajenda ni moja tu vita dhidi ya Mafisadi na kuhakikisha CCM Inang'olewa madarakani.hoja ni ufisadi tu na si vinginevyo!
Wameumbuka sana.Sasa yule kijana aliyejinadi kuwa ana digrii ya sheria sijui atakuwa katika hali gani.Tusikubali kutoka kwenye mstari.Hoja ni mabadiliko tu
Hivi ni kweli hao graduate wa sheria hawajui sheria?njaa mbaya sana,yaani kijana kama Magafu anakubali kujidhalilisha namna hii!
Ni umbumbu wa hali ya juu kuanza kuzungumzia card na kuacha mambo ya msingi kama elimu, wanafunzi hawana madawati mashuleni.
Haya ni matokea ya digrii za kucheza kuch-kuch!
Hizo Degree uchwara hata Chadema zipo, kuna Kilaza anaitwa Deo Kisandu kwa kweli anaiabisha sana Chadema hasa hapa JF kwa kuweka mabandiko ambayo hayana quality za Kichadema na hata mtoto mdogo wa Primary Shool hawezi kuwa Kilaza namna hiyo.Hao magraduates walikurupuka.siku zote kadi ni mali ya mwanachama.shame on them.nape kawa use kama toilet paper
Member